Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Heshima kwenu! Najitokeza kwa mara kwanza kuanzisha mjadala unogusa maslahi ya taifa. Jana nilikuwa nikimsikiliza Prof. Sospiter Mhongo waziri wa Nishati na Madini (Kipindi Dakika 45 ITV)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimenunua nondo lakini fundi chuma ambae ndio anazitumia anadai hizo nondo ni fake kwani akizikunja zinavunjika wakati nondo inatakiwa kupinda. Wapi natakiwa kupeleka sample ya hizi nondo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Utaipata hapa (http://www.dbresearch.com/PROD/DBR_INTERNET_EN-PROD/PROD0000000000296087/Tanzania.pdf;jsessionid=3552D04F62DC88E5F322825033141DA9.srv-loc-dbr-com): Key strengths Broad political...
10 Reactions
29 Replies
3K Views
Habari wana jamvini. Kuna wachina wana kampuni ya kuuza vifaa vya solar (umeme wa nguvu ya jua) wanataka kuja kuwekeza katika vijiji vya tanzania. Kwa mwenye uzoefu na hii industry hapa kwetu...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
By Jackson Okoth The Isuzu brand, sold by General Motors East Africa, has maintained its lead in sales figures at 246 units, followed by...
0 Reactions
0 Replies
869 Views
Tumejipanga vya kutosha?? miundombimu iko fresh? Madeleva wetu wa daladala na boda boda wawe makini sana na wafuate sheria za barabarani ili wasije wakagonga treni na kusababisha maafa makubwa!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana JF hawa financialfreedomtz walitoa tangazo lao la ajira lililokuwa linasomeka kuwa "Are you a graduate?" sasa hawa jamaa wamenipigia simu niende kwenye interview leo saa tisa pale shinyanga...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wandugu,naomba tubadilishane uzoefu hapa, nitawezaje kuzuia pirates wasiibe kitabu changu ambacho nimekiandika na ninatarajia kukisambaza hapahapa tz? je? wanaoiba ni publishing company au mtu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hey there, It's Sherman Smith here, business partner with the "Income Experts" You just visited my website and watched this video... and opted in to receive more information about how you...
0 Reactions
2 Replies
907 Views
Vifaa vya kampuni ya scandinavia vikiwa vimetolewa nje na kampuni ya udalali ya Yono.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mtwara kumebarikiwa kwa kweli hakika MUNGU ni mwema. Mfumuko mkubwa wa madini ya dhahabu umegunduliwa katika kijiji cha LUKWIKA wilayani NANYUMBU MKOANI MTWARA. Taarifa hiyo imetolewa na kamishina...
2 Reactions
26 Replies
6K Views
Supply dilemma: Has bulk oil buying failed? Thursday, 25 October 2012 22:32 The Citizen Reporters Dar es Salaam. Questions are being raised over whether the bulk procurement...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mon, Oct 22nd, 2012 Headlines / Tanzania | Tanzanian wildlife authorities have disowned a consignment of elephant tusks seized in Hong Kong that were reported to have been shipped from the...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Nahitaji mkopo wa kama Millioni moja. Ila taasisi zinazotoa mikopo zimekuwa na vigezo vingi mno. Je? nawezapata mhisani mmoja anipe, tukubaliane mkataba wa kulipa? kama yupo, ni inbox...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nisaidieni kufumbua maswali ninayojiuliza dhidi ya hawa dawasa na wananchi walipa kodi waishio Kibaha. Naamini wengi mnajua kuwa DAWASA huchukua maji hapo mto Ruvu, abadani ili maji hayo yafike...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani wa jf, kampuni ya african barrick wanauza hiza zao 74% kwenye kampuni ya kichina. Kwa anayefahamu nini sisi wafanyakazi tunaweza kudai kama malipo na stahili yetu kwakuwa tume wafanyia kazi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nafikiri tunakoelekea ni mradi kama huu;sijui,anyway tusibiri tuone kama itakuwa hivyo.
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Ndugu zangu mimi kama vijana wengine ninafikiria kujenga nyumbani lakini Gharama za ujenzi ni kubwa sana na sijui vizuri sababu hasa ni nini? Miaka ya nyuma 1995-2000 nakumbuka gharama za ujenzi...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Nimeduazwa na kampeni za Obama na Romney kwenye mbio za kuelekea IKULU ya Marekani hivi juzi kwenye mdahalo wao wa pili. Obama na Romney yeyote atakaepita sera yake ya kwanza ni kurudisha viwanda...
2 Reactions
23 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…