Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Juzi Niliwasiliana nao wanifikishe hapo Johannesburg..ndipo Nilipojibiwa kwamba Routes za South Africa Zimefutwa ... NikijumlishA za Zile Delay za flights zao nakuwa nime elewa ... Wadau...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani hivi hizi ac za crdb tawi la mwanza zina tatizo gani?wateja wengi na hewa ni mbaya mno,ni tatizo la mda mrefu jaman wahusika tunaomba mshughulikie hii kero maana tumechoka.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani wapendwa naomba mtu anayeweza kunisaidia kuniunganisha na mtu tigo ili nipate uwakala wa tigo pesa. Nimekwenda mahali fulani nikaacha hela yangu tshs. I million kwa miezi kadhaa kila siku...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kampuni ya simu ya Airtel wanaibia wateja wao kupitia modem zao, wameshanijeruhi zaidi ya mara tano. Wanaiba kupitia bundle unazonunua, mfano leo unanunua bundle unatumia kwa siku 9 siku ya pili...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau, Leo napenda kutoa machache kuhusu vyuo vya uandishi wa habari na utangazaji hapa Tanzania kuanzia ngazi ya cheti na hata ngazi ya juu. Ukweli usiopingika bidhaa au wanafunzi wanaotoka...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Monday, 17 September 2012 FastJet, Africa’s first low-cost carrier, announced that it will establish its first operating base at Dar es Salaam, Tanzania. The airline will commence flying in...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
The former Minister for East African Cooperation and the current Ambassador to Belgium, the Netherlands, Luxembourg and the European Union, Dr Diodorus Kamala, has said that Tanzania remains the...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau nasikitika kuwa kampuni ya simu ya mikononi Tigo wanakata fedha katika simu kila wanapotuma SMS zao juu ya ujio wa Rick Ross kwenye tamasha la fiesta. Binafsi sijaomba kupewa taaarifa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
HE Fair Competition Tribunal has thrown out an appeal filed by 13 Oil Marketing Companies (OMCs) opposing the Energy and Water Utilities Regulatory Authority (Ewura) new oil pricing formula of...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wapendwa wana JF, Asalaam Aleykum/Bwana Yesu apewe sifa. Natumai wote mu wazima wa afya. Mimi ni mjasiliamali, katika pita pita zangu nilikutana hii kampuni (TPSF) ikitoa grant kwa wafanya...
5 Reactions
21 Replies
6K Views
Dear Members, Naomba mtu anisaidie maelekezo ya kutoa mzigo ambao umetumwa kwenye taasisi ya elimu ambao unakuja kama donation. Kuna jamaa yangu anasoma huko nje sasa sehemu ya project yake...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natarajia kurudi Tanzania ili kuendesha maisha yangu yaliyobaki mpaka kitakapoeleweka. Nina Kiwanja Kibaha Lower Density , nataka kukitumia Kuombea Mkopo kwenye Mabenki yetu ya Biashara ! Je...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanajamii, hali ya mauzo ya sukari ya ndani ni mbaya. Magodown ya kiwanda cha sukari cha kilombero yamejaa na sasa sukari inawekwa nje ikipigwa na jua tuombe mvua za vuli zichelewe kunusuru sukari...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Most of us are born procrastinators. That’s why we start saving late in life and hope to make up the difference by hitting the lotto or, if we must, by working longer. Neither is a great strategy...
0 Reactions
0 Replies
968 Views
wadau naomba mnipe uzoefu wenu kuhusu namna ya kusajili bidhaa kwenye Shirika la viwango vya ubora wa bidhaa Tanzania (TBS) na Mamlaka ya kudhibiti chakula na dawa Tanzania (TFDA). naomba kujua...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Shirika la tanesco linafanya mabadiriko katika utendaji mzima,je unataka iweje? Tao Maoni yako kupitia Email:tanesco.iweje@tanesco.co.tz Facebook:Tanesco Iweje
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Aliongeza gesi asili ni nafuu kwani mteja aliyekuwa anatumia mitungi miwili ya LPG ya kilo 15 kwa mwezi atapunguza gharama kwa kutumia gesi asili ya Sh. 50,000 kwa miezi sita. Mtungi wa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kutokana na location niliyopo ni wilayan ofisi za tra hawatoi tin mpaka mkoan nami nature ya kazi Inabana kutoka weekdays mpaka wkend, je naweza kujiregister kupata tin online? Or any other option?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kama soko la uhakika lipo, Ni kazi ipi kati ya kufuga kuku wa nyama na kuku wa mayai inalipa au ina faida zaidi?
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Serikali imeanzisha mfumo wa kuweka rekodi za wakopaji wa taasisi za fedha ili kudhibiti upotevu wa mikopo kupitia wateja wasio waaminifu. Pia mfumo huo utasaidia kupunguza masharti ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom