Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Mashirika ya ndege ya nchi maskini, hasa Afrika, yamejikuta yakikumbwa na ajali nyingi za ndege kutokana na kununua ndege chakavu kutoka makampuni ya ndege ya ulaya na marekani. Ndege...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau salama? Natafuta mdau aliye sehemu yoyote ya Japan,ambaye naweza kufanya nae business. Tafadhali ni PM au rakeyescarl@yahoo.ie
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau, wapi ninaweza kupata solar panels Tanzania? Unaelewa gharama zake (minimum)? Natanguliza shukurani kwa watakaonipatia taarifa.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hello wana JF! Hivi matatizo ya wakulima wa miwa huko mtibwa mbona huwa ni kitendawili kisichoteguka? Akienda Mkuu wa nchi hana majibu, mkuu wa mkoa, yale yale, mawaziri hamna kitu. Huko kulikoni...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Hello Microtelecomms Tanzania ni kampuni iliyosajiliwa inayojihusiaha na masuala ya Web Designing, Web Registration, and Web Hosting technology ambapo yatafanikisha wewe/kampuni yako kumiliki...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
niwashukuru wadau walioniunga mkono katika kuipitia thread yangu ya somo la mjasiriamali mdogo na wa kati na kuniomba niendelee kutoa somo hili ambalo wengi hulitafuta kwa gharama kubwa lakini...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Gari linauzwa ni aina ya gx100 bei ni milioni saba laki sita 7,600,000 kwa maelezo zaidi nitafute
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo unaanza mkutano unaowakutanisha makandarasi wa aina zote katika ukuumbi wa Karimjee jijini Dar es Salamu! Tutawaletea hatua kwa hatua mkutano huo utakavyo kuwa ukienda! UPDATES: Mada...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Ukitaka kuchungulia kaburi kwa kufa na presha, kutana na Benk yenye matangazo makubwa yenye nakishi nakishi, ndio utajua kuwa Benki hii haifai, Benki hii licha ya kuweka vipeperushi vingi vya...
1 Reactions
13 Replies
7K Views
Habari wakuu, nafikiri mtakubaliana nami kuwa idadi ya members wa JF inaongezeka kila dakika, na wengi wao si watundu wa kuweza kuperuzi nyuzi zilizotumwa siku, miezi au miaka ya nyuma kitu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
naitaj water pump kwa ajir ya umwagiliaji kwenye shamba ekari 1 na nusu natoa maj mita 200,,,,,kwa mwnye uzoefu naomba msaada wenu wa aina,,,bei zake wapi ntapata kiurahiski
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Thats some great basics there, already knew some of that, but you can always learn . I doubt a ?kid? could put together such information as dolphin278 suggested. Maybe he's just attempting to...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu heshima yenu, Nafikiria kuanzisha biashara ya kuuza nafaka ua mkaa, lakini baada ya kutafakari kwa kina nikaona kuwa kwa kuwa natarajia kuweka mtu wa kuuza wakati mimi nikihangaika na...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kweli ukiwa na hasira unaweza ukapiga mtu risasi. Nimemsikiliza Mh. Mwakyembe akiongea na staff wa ATCL nikapandwa na hasira. Hii ni baada ya kulinganisha nilichokisikia kwenye Power Breakfast...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wadau. Hapo juzi Serikali kupitia Manispaa ya Temeke imetangaza kuuza viwanja vilivyopimwa maeneo ya Gezaulole na kuwataka wanaohitaji kulipia form Tshs 30,000/- pamoja na picha 3. Habari...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
People, hivi hii brela ipo wapi, naisaka dar nzima nimeenda pale mnazi mmoja nimekutna na ujenzi!!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
There's a big difference between making a good living and enjoying a good life. You demonstrate respect and appreciation for money the same way you would anything else of value in your life, be...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
wanajamii naomba msaada kujua ubora wa hiz water pump za JD kwa aliyekwisha zitumia,,,mi naitaj moja ya 3" kwa ajir ya bustan natoa maji mton mita ka 100 hiv na kumwagilia ekar ka 2,,,,
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Canadian Barrick Gold (TSX:ABX) announced Wednesday a major shakeup of its management team, saying that it has replaced Aaron Regent as president and chief executive officer by Jamie Sokalsky...
0 Reactions
0 Replies
985 Views
  • Closed
Jaman duniani kuna mengi, kila aliyefanikiwa upeo wake umemuwezesha pakubwa hasa aliopewa na Mungu. Siwezi kuamini nilikuwa masikini sana hivi majuzi nikafundishwa biashara ya mtandao na rafiki...
1 Reactions
6 Replies
7K Views
Back
Top Bottom