Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Bei ya vifurushi Airtel imepanda, 25MB=1500, 150MB Sikumbuki, ila 1GB 15000 2GB........huko hakushikiki! Kisa mtandao wao una kasi, Kwa ujumla vifurushi havinunuliki jana nimejaribu kununua...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Gavana wa Benki kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndullu, amesema uchumi wa Tanzania umeendelea kukua kwa asilimia 6.4 kwa mwaka 2011 zaidi ya ilivyokadiriwa kuwa ungekua kwa asilimia 6 kwa...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kampuni ya Simgas Tanzania limited, itafanya maonesho ya gesi yake ya kutumia taka na mabaki ya chakula ( Gesi 550), Mlimani city kuanzia tarehe 31 may hadi 3 june. Wadau wote watakaopenda kuona...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
JF!Tangu 1:04 jioni nimekuwa nikinunua muda wa hewani kwa M-Pesa bila mafanikio hadi nimeenda kununua vcha dukani.Kulkn?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tigo is back with a bumper xtreme package where I am enjoying 15 minutes Tigo to Tigo, 100 SMS, 50 MB which can be used for Facebook, Internet Browsing, E-mail and Twitter, all for only Tsh450! I...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
INASEMEKANA kwamba baadhi ya majumba mazuri na ya kisasa yaliyojengwa mjini Arusha, ni matunda ya tanzanite, magari ya kifahari yanayoendeshwa na matajiri pia ni matunda ya tanzanite...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Source: http://www.itij.co.uk/story/139 Concern raised over violence against tourists in Tanzania...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
  • Poll Poll
Hii imezoeleka sana kwenye makampuni, huwa wakitoa nafasi za kazi wanahitaji more than 3 years of experience.Je kwa wanafunzi waliomaliza chuo miaka hii ya karibuni wana hizo sifa?, au ni...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ni eneo linalofaa kuwekeza shule,chuo,kiwanda,limepimwa na lina hati zote bei milioni 15 kwa eka,lipo karibu na maeneo ya uwekezaji karibu na uwanja mpya wa ndege ulio taveta. Piga simu namba...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna hii web inatoa 100,000tsh, 50,000 au 20,000 kwa kuchat. cheki apa
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Uchumi wetu kama nchi inayoendelea unatakiwa kuimarika kupitia uzalishaji na kuongeza thamani ya malighafi tulizo nazo. Ili kufanya hayo inahitajika uendelezaji wa viwanda. Uendelezaji wa viwanda...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa muda wa siku tano sasa mafuta ya taa yameadimika ukanda wa huku kwetu mikoa ya Iringa, Njombe, na Mbeya. Sijui na nyie wenzetu huko Dar mtindo ni huohuo? Wanasema mpaka jumanne! Jamani...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Pamoja na tuhuma na maovu mengi ya awamu ya tatu ya uongozi Tanzania, Mzee Mkapa, nitaendelea kumkubali nikilinganisha na wengine. Hebu ona takwimu hizi za mfumuko wa bei jinsi alivyorekebisha...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Nimepokea email kutoka kwa hawa jamaa baada ya kujaza details zangu kwenye ukurasa wao. Nikiangalia nani ananitumia e-mail naona kuwa anatumia free gmail.com email account na zaidi, hiyo e-mail...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ease of Doing Business Rank ▲ Starting a Business Dealing with Construction Permits Getting Electricity Registering Property Getting Credit Protecting Investors Paying Taxes Trading...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Still enjoying the Tigo Black berry streaming promotion with my BB7 package . I have had an amazing service and kinda sad it ends on June 2 . My friend bought a BB180 and got 2 weeks streaming...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ijumaa nilinunua muda wa maongezi wa 30 elfu kwa niaba ya kununua BIS service ya vodacom via M-pesa nikapata bonas ya 50% ambayo ni elf kumi na tano ss cha kushaangaza leo imebaki 9,105 lakini...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Leo katika tembea tembea zangu, nimepitia tovuti ya Inter-Consult nikakutana na news article kuwa aliyekuwa Mkurungenzi wa Inter-Consult Eng. Mark W. Njiu amestaafu baada ya kufikisha miaka 60...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Bank of Tanzania (BoT) Governor Professor Benno Ndulu has said on average the country’s economy grew at 6.4 percent in 2011 above the estimated growth rate of 6 percent. The sectors that...
0 Reactions
0 Replies
818 Views
Kitendo cha kumpigia mtu badala ya kuambiwa kama hapatikani au simu yake inaongea sasa kimegeuka kuwa ni sehemu ya MATANGAZO YA LAZIMA! Tabia hii ambayo kampuni ya Tigo ndio vinara wa uozo huo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom