Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wana jf nasikitika kusema kuwa vinywaji nivipendavyo bia aina ya serengeti ya chupa ndogo na soda ya mountain dew kutoka pepsi (sbs). Hazipatikani tena, nimejitaidi kuzitafuta mbeya, dar na moshi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
FB owners wamejikusanyia pesa nzuri kwenye IPO @$38/share. Mark Zuckerberg inasemekana utajiri wake sasa unamuweka kuwa tajiri wa 29 duniani Soon inaanza kutrade kwenye secondary market (NASDAQ)...
0 Reactions
0 Replies
861 Views
wadau naomba mwenye ufahamu juu ya debt financing anipe maelezo maana nimesoma lakini sijapata uelewa wa kutosha.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
TheChinese way of doing business I am writing this newsletter from the city of Guangzhou (Canton)in China whereI have come to make business contacts with manufacturers but most importantlyto...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Natanguliza shukrani za dhati, na ningependa kupewa msaada kujua je mtaji wa 1.5 unafaa biashara gani hapa bongo? Asanteni
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba ufafanuzi kwa wale wenye taarifa sahihi. Kila mwaka benki ya DCB hutoa gawio la 50% ya faida baada ya kodi. Mwaka jana kulingana na document zilizokuwa published kwenye magazeti kama...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari wanajamii! Nawatafuta watu wenye mitaji ya kuanzia kama milioni 3 hivi tufanye nao biashara. Biashara yenyewe iko namna hii ni kuzalisha umeme kwa kutumia machine ya kusaga...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wote tunajua umuhimu wa Africa Mashariki, hasa ukizingatia kuwepo kwa rasilimali nyingi na rasilimali watu hivyo soko la muungano huu laweza kuwa kubwa na lenye faida. Ili wajasiriamali...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Leverage the act of using people, resources or technology to increase output.... Wakuu kwenye biashara hatuwezi kufanya kila kitu wenyewe, outsourcing mara nyingi inalipa kama tu inakupatia muda...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
The Social Security Regulatory Authority (SSRA) has finally launched guidelines which all pension funds will have to follow when planning investments in any project in a bid to protect members’...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi ni mzaliwa na mkazi wa kanda ya ziwa. Kwa miaka mingi sekta ya usafirishaji wa abiria huku kanda ya ziwa imekuwa ikitawaliwa na waarabu kwa sehemu kubwa. Na hilo kusababisha ubora wa usafiri...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Hongereni kwa kazi wadau. Nina mtanganyika mwenzangu yuko USA kimasomo. Katika muda wake huko angependa kufanya biashara ya vitu mbalimbali na watanganyika tulioko huku. Yupo kihalali huko na ana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi ni miongoni mwa mawakala ambao kilio chetu ni kufanya kazi bila malipo ( commision ).Toka mwezi wa 12/2011 sijapewa SECOND SIM kila ukienda kwenye Office za Vodacom hapa mjini Mwanza wanasema...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
A Focus on Alaska, Norway and Nigeria. Read on at http://commonground-usa.net/cdann.htm. Baada ya kusoma nimejiuliza maswala kadha 1. Serikali inapata pato kiasi gani kutokana na maadini na...
0 Reactions
0 Replies
803 Views
Nimesikia kupitia tbc habari kuwa malawi itashusha thamani ya pesa yake kwa 50% ili kuokoa uchumi wake. Wadau wa masuala ya pesa naomba nifungueni nipate kuelewa ni kwa namna gani hii inaweza...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
it was good to see students getting support from telecom company Tigo at the IFM career day held recently. With hundreds of participants streaming through, through out the day , it was a great...
0 Reactions
0 Replies
850 Views
ndugu wanajamii..nimeamua kuandika habari hii iliyonitokea mimi binafsi jana.... nina kituo cha kufanyia biashara ya TiGo pesa....na yupo dada anaefanya biashara hiyo. kilichotokea jana..muda wa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari kutoka Mtera zinaashiria kuwepo kwa upungufu wa maji ktk mabwawa ya Mtera na Kidatu ifikapo July, kutokana na mvua haba. Wenye jenereta ni wakati wa kufanya service. Wazee wa welding...
0 Reactions
3 Replies
963 Views
uma isiyoeleweka na wanakata pesa ovyo sijui TCRA wako wapi.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimepata nyepesi nyepesi kutoka ndani ule Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya upo katika hati hati ya kufilisika nasikia serikali haipeleki michango yake na imekopa na kukomba pesa ya Mfuko huo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom