Dear members, naombeni msaada urgently. Mtu akitaka kuanzisha kampuni inayodeal na variety of things kama viwili vitau inakuwaje? Naikia inabidi iandikishwe wizara ya viwanda na biashara, lakini...
Habari wadau!
Kutokana na uchumi kubana mbavu hapa bongo, wengi tumekuwa tuajitosa kufanya biashara au kufungua kampuni binafsi hata kama tumeajiriwa ili kutafta maisha bora.
Sasa unakuta mdau...
Nataka kuingia katika uwekezaji wa hisa, naomba kujua yafuatayo: je kampuni gani inayotoa gawio (faida) nzuri kwa wawekezaji (wanahisa wake)?, pamoja na utaratibu wa kununua hisa upoje?. Pia, je...
As part of its commitment to deliver quality customer services, Tigo has contracted Spanco BPO to run its call center operations.
Under the new agreement Spanco will train staff to deal with...
Greetings!! Same goes for Levitra (generic: vardenafil) which aside from the risk stated above, is associated with (although rare) having heart attacks as side effects.!!!!!online shop generic...
wadau habari zenu
Nina suala nahitaji msaada wa mawazo,nina jamaa yangu yupo UK anataka kutuma nguo tuuze hapa bongo,nafikiria kufungua duka kabisa,vp hii biashara ya nguo kutoka UK italipa...
kwa mtu yeyote anaishi maeneo ya LUDEWA au jirani anisaidie namna ya kupata plot ya kuchimba shaba ufi(copper ore), kwa mwenye dhamira ya dhati awasiliane nami mapema kwa namba 0715381371 au...
People , I just want to share with you the great experience that I received at the new Tigo customer centre at Milimani city .It has been completely renovated and looks super...bright, airy ...
BY ECONOMIST SAAD.H.FEREJI. "Underceteriz peribus",watanzai tuamke na tubadilike kifikra,busara na maendeleo ya kudumu ya KIUCHUMI. tunaweza kuongeza mita ya kibiashara kama vile fedha,mitambo...
Mkopo kwa ajili ya kufund Contractors Projects (both zinazoendelea na zitakazotokea) inapatika kwa haraka (within 2 weeks to 1 month) kutoka International Commercial Bank. Cantact me thru...
Kila waka ndi! ndi! ndi! kwenye simu! haraka haraka unachungulia... FURAHIA ... CHAGUA .. SHINDA NK omba isije ikawa umenunua muda wa maongezi kupitia ... pesa utapigwa message hadi tano hii...
Benk kubwa hapa nchini CRDB imetangaza kutoa gawio la sh 9 kwa hisa baada kupigwa mahesabu na kuonyesha kupungua kwa faida mwaka uliopita wamepata bil.19.6 tu kutoa kodi.
My take
Hii ni dalili...
Kuna information nazitafuta kwenye mitandao.....
sizipati,kama kuna mtu anajua ni mitandao ipi
naweza kuzipata naomba msaada tafadhali....
kwanza nahitaji info kuhusu biashara ya mafuta ya...
Ndugu wana JF,
Tafadhali nisaidieni namna ya kupata time management software kwa ajili ya kutumia kwenye Internet cafe.
Kwa mawasiliano zaidi: 0719427944.
Napatikana Dar.
Ahsanteni,
I am based in Middle East and am looking for a partner in Tanzania, who can open a manpower office in Dar. The nature of business is Manpower. I have my office in Middle East and I bring workers...
.wapendwa hope wote mko fine!
1.naombeni mnisaidie kwa anayejua kodi ya mwezi kwa sehemu inayotosha kufanya mgahawa kariakoo au posta.
2.nataka kununua shamba morogoro lkn sijui ni jinsi gani watu...
Wana jamii naomba kuwakilisha hoja kama ifuatavyo:
Tafadhali mwenye uzoefu wa accounting software ambayo ninaweza kuipata kwa free au kuilipia pesa kidogo naomba anipe information.
Well i am...
KUNA mawazo mengi ya biashara duniani yanayoweza kutuondoa kwenye umasikini na kutuweka huru! Hasa kwenye nchi za Ulimwengu wa Tatu ambako kuna matatizo mengi, pia kuna biashara nyingi! Huu kwangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.