Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Mtanzania aacha kukalia uchumi Andrew Mbogoma Ngiri, mtanzania mwenye wake watatu na watoto 34 ameamua kuacha kuukalia uchumi na kuutumia pale alipouza ng'ombe wake 250 na kujipatia mamilioni...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Keneth Goliama OFISI ya takwimu nchini imesema bei ya vyakula vingi imepanda kwa asilimia 26.2 ukilinganisha na mwaka jana ambapo ilikuwa ni asilimia 25.6 kipindi kama hiki.Taarifa hiyo...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu, mna habari kwamba mafisadi wameficha fedha kwenye m-pesa za watz wote? Sema tu wamezipiga pini hazichukuliki wala kuhamishika. Ni substancial amount, laki 8, 7, sita n.k. mpaka bank...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Japan imekubali kutoa Sh. milioni 640 kwa Shirika la Elimu, Sayansi la Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO), Tanzania kutekeleza mradi wa kuwasaidia wasichana waliolazimika kuacha shule kutokana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba kuuliza tozo au kwa jina maarufu ''port charges'' wanazo toza TPA kwa mizigo ambayo haiko kwenye kontena wanatumia mfumo gani. Kuna mtu atanitumia parts za gari kwenye box la ujazo wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
The total value of net credit to the private sector in the country has increased from 1.4trn/- in 2005 to 5.2trn/- in 2010, a new World Bank report released mid this week has said. According to...
0 Reactions
0 Replies
723 Views
CHINESE oil giant CNOOC is negotiating with Uganda to invest in the African country's first oil refinery, state media said Thursday, as Beijing ramps up investment in the resource-rich...
0 Reactions
0 Replies
982 Views
http://youtu.be/PqhgnfgNwHI Retired Tanzania President Benjamin Mpaka speaking about Western countries and Africa : They believe that Africa is their back yard ..!Very interesting speech!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nataka kuanziasha financial institution. Wadau naomba msaada Wa procedures za kuanzisha hiyo biashara. Tayari nina investors walio tayari kutoa funds za capital na operations. Napatikana kwenye...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nina mashudu ya alizeti tani 20 nauza yapo mkoani, ukihitaji nakuleteya popote ulipo, kwa mwenye kuhitaji ani sms 0712976729
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kutokana na mabadiliko ya teknologia yanavyozidi kukua Tanzania imeazimia kubadili mfumo wake wa mawasiliano ya Television kutoka ANALOGY kwenda DIGITAL ifikapo tarehe 31.12.2012. Kwa taarifa hiyo...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
NJIA ZA KUWAFANYA WATEJA WAKO KUWA LOYALITY KWENYE BIASHARA YAKO 1. Anzisha loyality program Hii ni moja ya njia yenye nguvu kabisa katika kuwa encourage wateja wako na ikiifanyia kazi vizuri...
4 Reactions
21 Replies
11K Views
Waungwana hivi kwa nini hakuna mjasilimali alieanzisha commodity market in Tanzania? Hii itasababisha kustabilize price ya nafaka nyingi nchini, vilevile itawapa wakulima access na wateja direct...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Dell vostro 1400 HD 120 GB RAM 1GB Procesor dual cpu @1.6 dvd rom, wifi, bluetoth card slot OS widow 7 premium ms office 2007 BEI LAKI 8 ni pm kama unaitaka nitakujibu kwa haraka samito
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimebahatika kuona documentary ya kuhusu barabara za mawe Mwanza. Nimepata faraja kubwa sana kujua kuwa sio kila kitu Tanzania kinayumba, ila kuna wataalamu wanajitahidi kufanya mambo ya maana...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari zenu wana JF. Mimi ni mfanyabiashara. Nina kampuni yangu ambayo nimeianzisha hivi karibuni ambayo ninataka kuifungulia account yake. Ninaomba msaada wenu kwa yeyote mwenye ufahamu wa...
0 Reactions
26 Replies
10K Views
Hivi kweli jamani route ya humu ndani ya nchi from Mwanza to Dar ndege inatua Dar saa tisa usiku? Hii ni ile yenye ratiba inayoonesha inaondoka saa kumi na moja! Kwanza mna customer care mbovu...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Ndugu wapendwa, Ntafuta wateja wa mafuta ya Alizeti. Yeyote mwenye kujua soko zuri la mafuta haya naomba tuwasiliane.
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Sasa hivi ni wiki nzima website yao haipatikani sasa jiulizeni wawekezaji wanapata vipi habari za uwekezaji wakati TIC wamefanya ufisadi wa kufunga website yao? http://www.tic.co.tz/ Inamaana...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
MFANYABIASHARA MAARUFU NCHINI BWANA ALI MFURUKI AMEUNGANA NA WAFANYABIASHARA WA KENYA WALIOWEKEZA TANZANIA KULALAMIKIA HASARA WANAZOPATA NCHINI. ANASEMA BIASHARA NI NGUMU TANZANIA KULIKO ILIVYO...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…