Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kunani kwenye huduma zao? Mbona mtandao unachukua muda mrefu sana? Leo imenilazimu kusubiri takribani nusu saa ili nipate pesa baada ya kutuma request ya kutoa pesa kupitia wakala. Hii haijakaa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
By ADAM IHUCHA :A S embarassed: Posted Sunday, February 5 2012 at 13:52 Tanzania's National Social Security Fund is keen to make further inroads into East Africa's real estate sector with its...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
THE Export Processing Zone Authority (EPZA) has developed plans designed to transform sleepy Bagamoyo from being the oldest town in Tanzania into a modern, vibrant metropolis and business hub...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Jamani hii speed ya upandishaji wa bei ya maji ya uhai inatisha. Hivi mbona wanatuchukulia poa sana hawa watu sisi watz!!!! Mwaka jana mwishoni uhai lt 6 ilikuwa 1400, then mwezi baadaye ikapanda...
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, nina mpango wa kuanza kilimo cha vitunguu msimu huu wa kilimo. Naomba yeyote anayefahamu mahali napoweza kupata mbegu bora anifahamishe. Ukinijulisha na bei...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wana JF naomba ushauri wa kuweza au kunipa hatua ambazo ninaweza kuzifuata ili niwe na shares kwenye kampuni fulani..
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana jf, Kwa hakika hii kitu imenivutia sana kwa maana nimekuwa nikiamini hivi bali kwa maelezo ya huyu bwana ni confirmation that I was not wrong. Hawa watu wa ‘Magharibi' wametuzidi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Midraji Ibrahim, Dodoma na Boniface Meena MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe amesema kuna utata wa Sh2.7 trilioni katika sekta ya madini kutokana na ukaguzi uliofanywa kwenye sekta hiyo mwaka...
0 Reactions
1 Replies
950 Views
Hello wana jf! nataka kununua blender ya juice kwa ajili ya biashara, naomba ushauri make gani ndio nzuri, itakayo dumu na kuchapa kazi vizuri? Asanteni
0 Reactions
5 Replies
4K Views
I was doing a research regarding computers and i got to find out about www.stonehouse.co.ke A company that sells computers which are extremely energy efficient,are powered by solar and have no...
0 Reactions
3 Replies
978 Views
Midraji Ibrahim, Dodoma MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), amemwandikia tena Spika wa Bunge, Anna Makinda, akimuomba kuunda kamati teule ya Bunge kuchunguza ununuzi wa mafuta ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Gasper Andrew, Singida HOSPITALI Teule ya Wilaya ya Singida ya Makiungu, imetumia zaidi ya Sh1.2 bilioni kugharimia ujenzi wa hosteli ya kisasa na upanuzi wa wodi ya wazazi. Hayo yalielezwa juzi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wakuu habari zenu naomba msaada hapa kwenye hili.. Je mtu akitaka kuanzisha branch ya kampuni yake ya kitanzania ya utalii kwa nchi kama egypt, morocco & tunisia inawezekana? Je serikai zao...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
habari wanaJF,kuna magari kadhaa yanauzwa katika mkoa wa arusha,tafadhali tembelea blog ya arusharides.blogspot.com blogu hii itakuwa updated kila baaada ya wiki moja...karibuni sana
0 Reactions
2 Replies
4K Views
wana jf kuna kiwanja ukubwa 21,000 mita za mraba,kipo bunju kimepimwa ila hakijapatiwa hati na pia luna nyumba 2 zipo tip top manzese zipo maeneo mazuri ya kibiashara.piga 0753 953260 kama utahitaji
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wadau ninapangisha nyumba zangu kwa watu wanao hitaji zipo majohe kichangani (ilala) zina bed room 2, sitting room 1, kitchen, bafu na choo, kila 1 ina luku yake na maji yapo nimechimba kisima...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna rafiki yangu huku Arusha anahitaji mbao za kujengea shule so mwenye namba za watu wanao uza mbao huko Iringa anisaidie pls 1. 3 by 2 mbao 400 2. 4 by 2 mbao 250 3. 6 by 2 mbao 100...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Nimesikia habari za majambazi kuu mtu na kupora duka la madawa la Fedex. Kwa anayejua details la eneo hilo la duka yalikofanyika mauaji anijuze tafadhali, nna ndugu yangy afanyia kazi hayo maduka...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hivi jamani hapa Tanzania kuna chama cha kutetea masilahi ya wahasibu ? Kama kipo mbona hatukisikii ? Kwa tafiti nilizozifanya inaonesha watu wanaofanya kazi za uhasibu kwa hapa Tanzania wanalipwa...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Tunafaida na yaliyozungumzwa huko kamAfrica na kama Tanzania ama ni jukwwa jingine la world politics
0 Reactions
0 Replies
817 Views
Back
Top Bottom