Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kumekuwepo na tabia ya baadhi ya makampuni kuanzisha makampuni mengine ndani ya Kampuni. Mtu anaajiriwa kwa mwamvuli wa kampuni husika lkn anapopewa mkataba unasoma jina la kampuni nyingine hii...
0 Reactions
3 Replies
368 Views
Naomba kufahamishwa kwa mwenye kujua duka la rejareja la kuuza mchele, juice na kadhalika linaweza kuitaji mtaji kiasi gani Ibravo post: Habari zenu Wana JamiiForums, Mimi ni mwanafunzi wa chuo...
2 Reactions
608 Replies
294K Views
Kwanin naliuza ! Nauza kwa sababu nimetumia pesa zangu kufatilia na kupoteza muda mrefu nikifatilia na Sasa Ni biashra nzuri San na in pesa nzuri Haihitaji efd mashine wala tra kukufatilia Zaid...
8 Reactions
135 Replies
4K Views
Mimi nataka fungua nafaka jumla ila nashangaa wenzangu kila kona wana mzanii ile mikubwa kama hii. Sas nilikuwa nauliza ya digital haifai kwani kama hii kupimia magunia ya kilo mia.
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimeifikiria sana hii biashara ila sijui pa kuanzia! Lengo ni kufuga nyuki na kuuza asali, mwenye uzoefu tafadhali toa mwanga kwenye faida na changamoto za hii biashara!
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wakuu,hebu wale wazoefu wa kuchukua vyombo vya moto hivyo kwenye heading mtujuze machimbo bora Maana sehemu zingine mikataba yao inatunyonya saana mpaka jasho zinavuja pia tujuzane...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi mfanyabiashara wa duka ra rejareja nipo Dar mabibo, nahitaji maharage, choroko, kunde, njugu mawe, karanga kwa bei ya shamba. Kama upo mkoani ukileta mzigo Dar nitafute Namba 0788768480
1 Reactions
2 Replies
551 Views
Kuna fulsa nimeiona Oman, ya kupeleka maharage soya na Matunda pashen, nafikilia kuanza kupeleka bidhaa tajwa hapo juu kila week, kwa kuanzia ntakua nasafirisha kilo 100 kila week. Kama unafanya...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Naam!! Kitambo sijaandika Uzi humu. Mara nyingi ni mchangiaji ila Leo nimepata sababu ya kuandika kitu hapa labda kitawasaidia watu au kuwakumbusha tu. Kama wewe ni mtumishi wa umma au una ndugu...
10 Reactions
26 Replies
4K Views
Mifano ni matajiri wengi tunaowajua kina Mo, Bakhresa, GSM, ni biashara za familia na ndugu wa karibu, ni team work. Pia kwa upande wetu watanzania wa asili ukienda kwenye masoko makubwa...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Ushuru wa kuagiza Magari TRA umepanda 104% HATARI kwa siku 3 tu naomba msaada ! ! ! Nissan Atlas Truck tani 1.5 Pick up ilikuwa inalipiwa ushuru sh 5,662,000= leo Calculator ya TRA sh...
6 Reactions
44 Replies
6K Views
Wakuu nisaidieni kunipa mbinu,nina ka mtaji kama laki hivi nataka daka mitumba kadhaa na kupita nayo kitaa kuizungusha, Mm ni mgeni mwanza ila nataka hii iwe starting point yangu ya kuijua...
3 Reactions
14 Replies
657 Views
Ndugu, habarini. Naomba mnielekeze kuhusu hii biashara inayohusiana na kutengeneza matofali ya block. Changamoto Faida Tahadhari Uendeshaji Mbinu Mashine na vifaa Gharama za uendeshaji Karibuni...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Wana JF uliza swali lako lolote kuhusu madini, mafuta na gas, kuanzia njisi yanavyojitengeneza ardhini, kufanyiwa utafiti, kuchibwa hadi kuuzwa nawe utajibiwa na mtaalamu wako hapo.
5 Reactions
284 Replies
56K Views
Mwenye masters asie na watu wa karibu (hasa ndugu) wa kumpa uzoefu na connections chuoni kapewa assignments, test, presentation kibao lakini anamaliza chuo hana hata Tin Namba Hajui kutumia...
6 Reactions
23 Replies
1K Views
Habari wadau. Nina mzigo wangu nimenunua aliexpress mwezi wa 3. Mzigo ulisafirishwa kwa Ali express standard shipping. Na nilipewa tracking number. Nimeutrack mzigo ukaonesha umefika Tanzania...
6 Reactions
15 Replies
4K Views
Habari za wakti huu; Kwanza niweke wazi kwamba Mimi Nimekulia Arusha. Ninafahamu Fursa na Changamoto zilizoko Katika Mkoa wa Arusha na Ninatambua tabia na Hulka za Vijana wa Arusha.Kimsingi katika...
2 Reactions
12 Replies
892 Views
Habari ndugu zangu! Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Nipo hapa mbele yenu kuomba ushauri kutokana na Hali iliyopo ya kimaisha kwa sasa nimeona niitumie gari yangu aina ya NOAH Ili kujiingizia...
9 Reactions
54 Replies
2K Views
Samahanini sana Nina swali mimi watu kibao wanaonishauri mambo ya fedha wananikumbusha kujiwekea akiba kwa ajili ya dharura na wanajinasibu kabisa wao wanaweka akiba ipo imetulia sehemu. Huwa...
4 Reactions
10 Replies
717 Views
Naona banks zimeingia kwenye ushindani wa bonds Kufuatia kuimarika Kwa Biashara ya mikopo yaani watu na kampuni za biashara zinamiminika sana kukopa hivyo banks zinalazimika kutafuta pesa Kwa...
1 Reactions
33 Replies
6K Views
Back
Top Bottom