Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari za wakati huu; Ni matumaini yangu kwamba mko salama na mnaendelea na shughuli mbalimbali za Ujenzi wa Taifa.Wakati ninapofanya kazi na watu ya kusimamia mchakato waowa usajili wa Kampuni...
4 Reactions
2 Replies
2K Views
MHE. MASACHE KASAKA: Bajeti ya Wizara ya Madini Imegusa Kila Sekta Hasa Wachimbaji Wadogo wa Madini Nchini "Serikali imewasilisha bajeti nzuri ya Wizara ya Madini maana imegusa kila sekta hasa...
0 Reactions
0 Replies
289 Views
Habari wana jukwaa, Kumekuwa na ongezeko kubwa la wafanyabishara kutoka Tanzania kwenda China kufanya biashara mbalimbali kama nguo, vipuri vya magari na pikipiki, vifaa vya electronics nk. Najua...
97 Reactions
582 Replies
243K Views
Habarini Wana JF, Naombeni ushauri kwa mtaji wa laki TATU nipige mishe gan ambayo nitapat ata elf 5 per day.
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu kwema!! Leo naomba ushauri humu jukwaani Nipo interested sana na biashara ya kuchana mbao na kuziuza. Kama Kuna mwanajamii yeyote anataarifa kuhusu hii biashara naomba asheee hapa Vitu...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari Wadau! Mimi ni kijana mtafutaji wa hali ya chini kwanza niseme jamii forums n8 sehemu iliyonifanya nipate wazo hili ambalo naweza sema lime badilisha maisha yangu kwa kiasi kikubwa! Mnano...
49 Reactions
92 Replies
15K Views
Mimi ni kijana wa miaka 25 Natafuta kazi ya Usafi, House Boy. Elimu yangu ni kidato cha 6 pia nina cheti cha udereva🙏
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari Zenu Wakuu, Natumaini Leo Mko Vyema. Lengo La Nyuzi Hii Ni Kupeana Ushauri, Maoni Na Mbinu Za Uthubutu Katika Biashara Ya Ufundi Simu Na Laptop Kwanza Mimi Ni Mmoja Wa Mafundi...
38 Reactions
178 Replies
47K Views
Vutia wateja wengi kwa kuboresha mpangilio wa bidhaa zako....... kwa shelves bora na za kisasa kutoka kwetu, Una jiuliza bei yake ni ngapi? Sasa, Gharama ya double shelves ni 550,000/= (...
0 Reactions
0 Replies
296 Views
Wakuu habari, Hivi hii hali ya baadhi ya siku unakuta kuanzia asubuhi hadi jioni hupati wateja kwenye biashara yako badala yake wanakuja wanaoulizia ulizia tu na kuondoka 😀 Hivi hii hali huwa...
12 Reactions
141 Replies
17K Views
Habari Wana JF, Mimi ni kijana wa miaka 23 ni mwanachuo final year, nilipost nyuzi mbalimbali kuomba msaada juu ya ushauri wa kibiashara bila mafanikio wengine waliahid kunipa support lkn...
4 Reactions
5 Replies
746 Views
Yaani unatumiwa pesa toka taasisi nyingine au kutoka nje, inawachukua muda wa siku nyingi sana kuingiza kwenye account ya mteja, tatizo huwa ni nini??
0 Reactions
0 Replies
121 Views
Moshi. Tarehe 21 Aprili 2024: Ikiwa imebaki chini ya miezi miwili kabla Rais Samia Suluhu Hassan hajaizindua Benki ya Taifa ya Ushirika Tanzania (CBT), Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda...
0 Reactions
4 Replies
443 Views
Nawezaje kupata kwa hapa Dar line za MTN for Rwanda, msaada
1 Reactions
3 Replies
518 Views
"Hivi ni kweli Zanzibar ina Unafuu wa vifaa vya Kielectroniki? Na vipi kuhusu gharama za kusafirisha bidhaa?" Ni swali ambalo wengi wamekua wakijiuliza kuhusu unafuu wa bidhaa pamoja na gharama...
2 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari wanajamvi Kuna hii biashara ya Saluni za kiume na massage, nimejaribu kutafuta thread inayoelezea namna ya kuanza hii biashara na vifaa vinavyohitajika na wapi pa kuchukulia, wadada wazuri...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hivi mtu akitaka kuanzisha duka la dawa anatakiwa awe na angalau kiasi Gani Cha pesa?. Na ni vigezo Gani mtu huyu anatakiwa kuzingatia. Naombeni ufafanuzi!!!
3 Reactions
13 Replies
5K Views
Kwa majina naitwa patrick john lukukula Nimebobea katika stationary Kama ifuatavyo 1. Typing 2. Editing 3. Photocopy 4. Scanning 5. Lamination 6. Passport size 7. Online application a...
3 Reactions
14 Replies
643 Views
Habari Ndugu wa Jf, Natumaini wazima nilikuwa naomba ushauri wa bizness nina 1millon naweza fanya biashara gani Dar es Salaam
5 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari za muda huu ndugu zangu. Samahani nilikuwa naomba msaada wa Maoni kutoka kwenu Nina duka ila kuna biashara ya gas nilikuwa Nataka nianzishe sasa nilikuwa naomba kuuliza kuwa Kati ya gas...
4 Reactions
14 Replies
872 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…