Biashara nyingi uchawi unahusika kwa namna moja au nyingine majuzi katika tafuta yangu ujuzi ili nizame kwenye kisima hiki cha biashara nikaishiwa nguvu kitendo cha kuambiwa ni lazima uende kidogo...
Wadau nataka hama hapa nilipo kuja jiji la mwanza, sijawahi kufika mwanza ila nahisi naweza kupamudu coz ni mtu wa kanda hiyo..
Shida sijajua ni wilaya ipi itakua favor kwangu kwa kuzingatia...
Wadau naomba mawazo,,ni shughuli Gani naweza kuwekeza 20 million ikawa inanipa faida ya 2million kwa hapa Dar au kwingineko? Ushauri ndugu kwa usoefu wenu
Nakodisha mashine ya kusaga, ina vinu viwili cha kusaga na kukoboa pamoja na mizani
Stoo yaani biashara yote, mahali Kitunda Magole DSM. Sehemu haina mashine jirani.
Bei 200.000 kwa mwezi...
Ni Tukio nisilo weza lisaau kamwe kwenye safari ya Maisha yangu ya kuisaka Elimu
Na natamani siku moja Dr Alex Malasusa akipata nafasi ya kukutana nami au kama anayo nafasi kupitia hapa Jamii...
Hello wana bodi, natumai wote mko poa karibuni kwenye hii thread ambayo kwa namna 1 au nyingine inaweza kukupa idea ya kufanya biashara ya kuuza mtumba:
A. SIFA ZA MTUMBA WA CHINA
Belo za...
Dar, karume ndio Sehemu pekee niliyoizoea kwa ajili ya mzigo wa ku point, au mnazi mmoja kwa baloo..
Agree kwa electronics
Congo kwenye nguo, n.k
Mwanza sio mwenyeji kabisaa, kuna Goli nataka...
Swalama wakuu?
Hivi watumishi wenye jitihada kama walimu Wa Shule ya Sekondari Kisimiri kama huyu mkuu Wa Shule Na Mwalimu Wake wa taaluma plus walimu wengine kwa ujumla kwa nini Serikali...
With fully mandate we are selling some of earth moving machines and trucks with guarantee of visibility and legit business accountability for more details and serious buyers please contact Eng Em...
Habari za majukumu wapambanaji wenzangu.
Nipo kwenye hili jukwaa leo kuomba msaada kuhusu a to z ya biashara ya urembo wa magari yaani car accessories kama carpets, steering cover, radio...
Kwanini wanaojihusisha na biashara ndogondogo (wafanyabiashara wadogo) hasa wajasiriamali wanaonekana kuuza vitu vyenye ubora mdogo hata kama vinafanana na wenye biashara kubwa tena kwa bei nafuu...
Wakuu hapo juu kichwa cha habari chajieleza. Naomba msaada namna ya kupata line mpya kwa ajili ya kufanya biashara. Naomba kuelewa utaratibu upoje, pia kwa mtu anayeuza naomba bei na maelekezo...
Ni kweli mafao ya wastaafu hayatoshi (si wao tu asilimia kubwa ya wabangaizaji Tanzania either hakuna wanachopata na wakipata hakitoshi)...; Lakini wakati tunachemsha Bongo jinsi ya kuwarekebishia...
Bitcoin halving, linalojulikana pia kama "nusu ya zawadi ya block", ni tukio linalopangwa ambapo idadi ya Bitcoin mpya zinazotolewa kwa wachimbaji kwa kila block iliyothibitishwa hupunguzwa kwa...
Mimi ni kijana mhitimu wa chuo nimeamua kujikita kwenye ufugaji wa kuku wa Nyama(broilers).
Nilikua nahitaji mtu ambae ana connection ya uuzaji wa kuku kama vile kwenye restaurants au vibanda vya...
Baada ya kuona hii article hapo chini imenikumbusha kwamba hii kitu ina market sana Ghana na Nigeria.. (kweli one Man's meat is another Person's Poison)
Austria's only snail farmer...
Wakuu,
Nataka kujitosa kwenye hiii biashara ikiwezekana hata kesho.
Nina desktop mpya kabisa yenye uwezo wa ku-burn CD/DVD.
Mwenye ideas\uzoefu wa hii kitu anijuze
Wadau wangu habari za kazi, niende moja kwa moja kwenye maada hapo juu kama mnavyojua Dunia saivi tulipofikia inahitaji matumizi ya akili sana kuliko nguvu kujipatia kipato kama vijana.
So kuna...