Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habariza leo wadau? Huwa najiunga na tigo internet mara kwa mara kwenye simu yangu, sasa siku ambayo sina mpango nayo hasa ukizingatia na huu mgao kunasiku unakuta huna charge au unamambo mengine...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari Zilizopatikana toka Kwa kachero wa JF ni kuwa wafanyakazi wa KADCO na KIA kwa Ujumla watagoma kuanzia Ijumaa Hii Kushinikiza Uongozi Kushughulikia kwa haraka malalamiko yao ya muda mrefu ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Act now OR regret later.... I simply felt we need some inspirations...
0 Reactions
0 Replies
903 Views
Nilikuwa naupenda sana mtandao huu. Lakn sasa naona unanichosha. Kero tupu. Mi nijuavyo mtandao wa sm za mkonon kaz yake n kuleta mawasiliana, si mawasiliano2 bali mawasiliano bora. Ths is the...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Juzi Rais JK akiwa ziarani Mtwara, alinukuliwa na vyombo vya habari akiwataka wakazi wa Mtwara wajiandae kupokea uchumi mkubwa kwa kuwa Mtwara kuna hazina kubwa ya gesi na Mafuta. Hadi sasa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Heshima zenu wakuu, I have a plot (surveyed) next to Mlimani City....eneo ni very commercial. Sasa naomba ushauri wenu. What are my options ili kupa develop either kuweka hotel, au office...
0 Reactions
1 Replies
815 Views
am a student na sina time ya kufanya business. Wapi naweza weka pesa yangu iweze kuongezeka? Fixed account inafaida? Na kama inayo nr bank gan? Naombeni msaada wenu.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi falsafa nzuri ya maisha ya Taifa letu sisi Watanzania tulio wengi ambao ni Wamatumbi weusi ni kutengeneza Uchumi mpana [Macroecomomics] au kutengeneza uchumi wa maisha ya Watanzania Wamatumbi...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakuu ili tuweze kuwa makini na aina za biashara pale tunapotaka kuwekeza na kufanya biashara ninaomba angalau tujuzane biashara gani ni pasua kichwa (biashara kichaa) yaani katika makundi haya...
2 Reactions
32 Replies
5K Views
Jamani ni wapi naweza kuchapisha maandishi na picha kwenye T-shirts?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ndg zangu Jf naomba msaada wenu, nipate frem maeneo ya fuatayo, magomeni,mwananyamala,mansese, sinza,mssni, kawe,bugruni. Zinazo faa kwa biashara ya mchele na maharage. Sim 0768092950
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani kuna ujenzi nikuwa nafanya nimezoea kununua cement mfuko mmoja 13500 na mara ya mwisho nimenunua juzi leo nimeambiwa hapo hapo kwenye ilo duka 14500 nikasema shida nini jamani mbona...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Waswahili husema mchagua nazi huibukia.....Sasa nahitaji kijiusafiri kwa misele ya hapa na pale. Kutokana usawa wa mafuta machaguoa yangu yameangukia huku kwenye Toyota IST, Carina TI my road (cc...
0 Reactions
19 Replies
11K Views
Wakati TRA ilipozindua mfumo mpya wa ukadiriaji magari yaliyotumika yanayoingizwa kutoka nje, kulikuwa na malalamiko mengi sana. Baadhi ya hoja zilizoletwa ni kwamba serikali imeamuru TRA wafanye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tokea Juzi Alhamisi Maeneo Mengi ya Dar Es salaam Umeme haukatwi tena. Ndokusema Mgao Umeisha au? Wenye Data Ndani ya Tanesco hebu mtujuze
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mkataba mwingine kama wa Dowans huu hapa! Na Gerald Kitabu 31st July 2011 Ni ule mwekezaji aliyepewa ardhi kwa miaka 99 Kodi ya ardhi sh. 200, Halmashauri kupata sh.500 Diwani wa kata ya...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Tar 02 aug kampuniya ndege ya rwandair inaanzisha safari zake rasmi siku 5 kwa wiki tanzania nazo ni jumatatu jumanne,,jumatano,,iumaa jumapili..kwa wale waliokuwa na shida ya kurudi siku...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
NAOMBA tuweke list ya mikataba ya kitaifa inayosiniwa na viongozi wetu kwa kutuwakilisha watanzania.e.g Mikataba ya Mafut,Ges,Ulinzina Madini,Mali Asili,Ardhi etc 1.Richomnd na Tanesco(wizara ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Leo nimeamua nimkumbuke Dr Ngasongwa alikuwa akihojiwa pale ch ten akasema Tanzania kama kuungana inabidi kuungana na nchi kama Angola na Congo bse they have a lot of things in common hasa kwenye...
0 Reactions
0 Replies
930 Views
Mapema mwaka jana nilisajili kampuni -Limited by Shares kwa ajili ya kutaka kufanya biashara moja hivi ya tender. Lakini bahati mbaya sikuweza kufanikiwa. Sasa nimeamua kuiuza kampuni hiyo kwa mtu...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…