Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Jamani ndugu zangu naomba mnisaidie katika mimi na wajasiriamali wenzangu tulifanya kazi fulani katika halmashauri ya Meru Arusha na wakati wa malipo tuliwapa account ya kikundi chetu ili...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Kwa wale wajasiriamali wenzangu,nawashauri kutengeneza financial statement&business plan kwa wanaohitaj,ni muhimu kwa biashara yako!IF U NEED THAT SERVICE,ni PM/nitumie...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wasalaam, JF natambua ni kisima cha mambo mengi. Naomba msaada kwa yoyote anayeweza kunielekeza wapi ninaweza kupata mkopo wa Tsh 70m- 100million wa muda mrefu kama miaka mitatu- sita, repayable...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna suala la deni la ndani la marekeni, hivi karibuni limekuwa likiongerewa sana ktk vyombo vya habari hasa vya inje ya inchi. Eti marekani inakabiriwa na deni kubwa sana eti km hatua muhimu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Watanzania wanaoishi nje wanapeleka wapi pesa zao WaKenya ambao waaishi huku Tanzania na kwingineko duniani, mwaka uliopita walirudisha nyumbani kwao zaidi ya dola za Marekani $640 million...
3 Reactions
84 Replies
11K Views
Natanguliza shukrani wanajamii. Nimedhamilia kufanya biashara ya mamalishe hapa dar maeneo ya kinondoni.nimevutiwa sana na hii biashara kwani mtaji wake ni mdogo ukiwianisha na mzunguko wa mauzo...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Sekta ya afya ni asilimia 8 mwaka huu ikilinganishwa na mwaka jana ambapo ilikuwa ni asilimia 11,ifikapo 2015 Tanzania inatakiwa kufikisha asilimia15 ili itimize azimio la abuja na nashindwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nilifikiri tatizo la kutojua Lugha kwa ufasaha ni la Watanzania kwenye KISWAHILI chao na katika lugha zingine za kigeni. Kumbe hata kule tunakoiga hizo lugha wanakabiliwa na changamoto hii! Soma...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwandishi Wallace D Wattles anasema hatua ya mwanzo kabisa ya mtu kutajirika ni FIKRA, na kuwa twaishi katika dunia ya FIKRA, kwamba kila kilichofanyika chini ya jua chanzo chake kikuu ni FIKRA...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wajameni, lets put greedy aside and acknowledge the overwhemingly success Precision Air has had in the last 8 years! I know for some critics here will harshly crush out my advice, but wait a...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Wadau, nilinunua moderm ya Airtel ili nitakapokuwa kijijini niendelee kupata mawasiliano ya Internate kupitia Laptop yangu. Kwa kweli sijaona faida yoyote maana ukinunua airtime ya elfu kumi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wajameni, Kuna siku niliipongeza ccm hapa ukumbini kwa kuifanya Tanzania nchi ya omba omba. Jana BBC walirusha hewani documentary ya mzungu mmoja anaeishi karibu na Kilimanjaro National Park na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
I wonder how others handle the investing process from afar... apart from those you know personally, are there reliable companies to invest through? How do you ensure you have...
0 Reactions
1 Replies
926 Views
Legislators yesterday sought government’s stand on the imported fish from Japan, claiming that there were reports that traces of radiation had been found on them. Members of Parliament from the...
0 Reactions
0 Replies
775 Views
Angola’s capital, Luanda, retained the unenviable distinction of being the world’s most expensive city for expatriates, for the second year running. According to the Mercer 2011 Cost of Living...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Salamu,mimini mjasiliamali mdogo ,namiliki saluni 2 za kunyoa! kutokana na mgao wa umeme mapato yameshuka hadi afu 50 kwa wiki badala ya laki 2 ,sina ujanja kwa sasa kwa sababu kwa serikali hii...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakubwa unapoenda kubadilisha matairi kwenye tyre shops kuna vitu gani ambavyo ungependa upate, from tyre shop, na pia service gani ungetamani iwepo au mazingira ya tyre shop ya we vipi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mambozzzz! Naombeni kwa anayejua, ni kiasi gani cha kodi unatozwa bandarini dar unapoingiza 4WD car kutoka uk? mfano ford pick up au range rover vogue? Asanteni
1 Reactions
1 Replies
4K Views
rejeeni kichwa cha habari. natafta gari ndogo, swift, duet, vitz, strlet n.kza type hiyo. sema fasta kama ipo.
0 Reactions
35 Replies
10K Views
Mufuruki: Vijana wengi hawana sifa soko la ajira Wednesday, 15 June 2011 22:29 Fredy Azzah MWENYEKITI wa Umoja wa Maofisa Watendaji Wakuu wa Kampuni zilizopo nchini, Ali Mufuruki amesema...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom