Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari wana JF, Nimekua nikiishi Kwa muda mrefu nikiwaza nifanye jambo gani Ili angalau nipige hatua mbele? Lakini nmekuja kugundua jambo Moja ambalo ni ukweli mchungu, Ukiwa na Hela ni rahisi...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
MRADI WA MACHIMBO YA DHAHABU NYANZAGA KUANZA UTEKELEZAJI WAKE MAPEMA -Waziri Mavunde akutana na Kampuni ya Perseus Dodoma leo -Awataka kuharakisha uendelezaji wa mradi -Asisitiza...
0 Reactions
1 Replies
472 Views
Wakuu, Proforma Invoice inatumika vipi? Pili, mimi ni freelancer na mteja anataka Proforma, nifanyeje? (niprint yangu? Je, vitu kama TIN na VRN ntatoa wapi au nibuni tu? Au nitumie Proforma ya...
1 Reactions
22 Replies
19K Views
Habari wana jamvi wenzangu. Baada ya kuona jambo hili na kuliangalia jinsi linavyoenda nimeona nilete kwenu kwa msaada wa zaidi. Nahitaji kwa mwemye uzoefu na biashara hii anisaidie mambo haya...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Iv brela inaitambua kampuni ya PepsiCo ambayo wananchi wengi wanaweka fedha zao Kama hisa kwa lengo la kufanya investment?
2 Reactions
8 Replies
770 Views
Hi 1.a secret link with database books of everything you know in this planet,you can download freely,books worth millions of money on Amazon but the secret link provides for free. 2.An Ebook...
0 Reactions
2 Replies
590 Views
Hizi microcredit zinatakiwa zitoze riba kiasi gani wanajamii, kuna mtu kaingizwa mkenge hapa tunatafuta suluhu lakini kwa kiasi alichokopa na marejesho ni kama anafanyiwa robbing. Kibaya wahusika...
0 Reactions
10 Replies
781 Views
Kuna jambo moja haliko sawakwenye biashara za mazao ya kilimo, Bidhaa mbalimbali zinazotoka kwa wakulima kwenda sokoni/mlaji, zinawafikia walaji zikiwa katika hali ya uchafu kwa mfano Tangawizi...
4 Reactions
0 Replies
373 Views
Wakuu nimesoma report ya upatikanaji wa madini mkoani Ruvuma. Nimesoma nikaona Kwamba madini ya chuma yanapatikana katika Kijiji cha Mtonya Wilayani namtumbo je wenyeji wa namtumbo yaliyo andikwa...
2 Reactions
18 Replies
521 Views
[emoji419]Je unajua wajua unaweza kuvisikiliza vitabu vyote maarufu, badala ya kusoma? [emoji419]Ndio, wasiliana nami ili niweze kukupatia kitabu chochote unachokihitaji ktk format ya audiobook...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari wana JF. Poleni na Majukumu. Naombeni msaada wenu. Naitaji kufungua biashara ya kuuza vifaa vya simu na simu, nina mtaji wa Millioni 2, naombeni mnifahamishe namna ya kuianza biashara hii...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari Ndugu Zangu Nataka Kufanya Biashara ya Simu used Kutoka Dubai, Naomba msaada wa vitu vifuatavyo. 1. Jinsi ya kupata connection ya kuagiza vitu hivyo Kutoka Dubai 2. Mtaji unaohitajika...
1 Reactions
5 Replies
5K Views
MBUNGE MAVUNDE KUWAWEZESHA KIUCHUMI WAJANE JIMBONI DODOMA MJINI -Amshukuru Rais Dkt. Samia kwa kurejesha mikopo ya 10% -Aileta Dodoma Taasisi ya Fedha inayokopesha wajane bila riba -Awataka...
0 Reactions
0 Replies
225 Views
Mafuta Vyakula Madini Usafirishaji Fedha Media Elimu Afya Dini/kanisa Michezo Utalii Mifugo Vifaa vya ujenzi Mimi nimejikita kwenye vyakula? Changamoto zipo ila napambana
16 Reactions
35 Replies
3K Views
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe (Mb) amesema kuwa mpango wa Serikali katika kuwasaidia wajasiriamali kuzalisha bidhaa bora ili kupata masoko ya uhakika. Mhe. Kigahe...
0 Reactions
0 Replies
239 Views
Kuna muda anapenda mpaka umdanganye, ukimwaambia ukwel humpati. Unaona kabisa yani. kuna muda inakulazimu ujishushe chini yake mradi tu msikae class moja ili a feel he has the final say ndio...
6 Reactions
7 Replies
730 Views
Hiyo hapo mashine ya utafiti wa madini, utafiti wa udongo maeneo ya ujenzi wa barabara au magorofa. Mashine inauwezo wa kuchimba hadi mita 9.
1 Reactions
3 Replies
291 Views
kariakoo hii Mpya ambayo inaweza kufunguliwa hivi karibuni, inaweza kuwa na Fursa nyingi kwa vijana na kwa watanzania kwa ujumla kama serikali itaacha mambo kadhaa yafuatayo 1. Kubana uhuru wa...
0 Reactions
0 Replies
233 Views
Hellow wanaJF, Nina wazo la kuanzisha biashara ya kusaga unga wa sembe na ku-pack kwa ajili ya kuuza. Jamani naombeni mawazo yenu. WADAU WENGINE WANAOHITAJI KUJIFUNZA KUHUSU BIASHARA HII...
2 Reactions
393 Replies
195K Views
Wakuu husikeni na mada hapo juu. nahitaji kujua wapi nitapata kiti kama hichi Cha Saloon ya kiume kwa budget ya 700k, nahitaji viti viwili vipya lkn vya muundo kama huu. Au kama Kuna mtu anavyo...
1 Reactions
2 Replies
472 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…