Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

U-Track ni ya nani? MBona wanalazimishwa wamiliki wa mabasi kufunga U Track kwa gharama kubwa namna Hiyo???!!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa nini tigo mnatutoza pesa huduma kwa wateja? Mimi ni mteja wenu nikitaka kuongea na mtoa huduma wenu lazima nilipe tsh 50 mbona ni uonevu huo? Au mnataka tusiombe msaada huduma kwa wateja?
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Wadau/waheshimiwa wabunge/mawaziri wetu/wakurugenzi wetu/na wenye nyadhifa za maamuzi mazito ya kuijenga nchi hii, naomba msaada hapa, Kuna haja ya kununua magari yaliyotumika Japani kwa bei ya...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
I was bored at work and began looking on CBSs local self-employed spotlight on tuesday and then studied about some new work at home career that helps school kids consistently bring home around...
0 Reactions
3 Replies
998 Views
Tanzania ni nchi ilojaa raslimali kemkem! That is natural resources, human resources, as well as man made/capital resource but still our economy is doing poorly! Now I wish 2hear from u WanaJF! Je...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
natumaini mnaendelea kujenga taifa....najua humu ndani kuna wataalam wa fani mbali mbali , mimi fani yangu iko mbali na hivi vitu. jamani wana jamvi hebu naombeni mnisaidie kupata gharama ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
kila kukicha binadamu anazidi kuvumbua mambo yatakayo mpunguzia makali ya maisha. katika pita pita yangu nimeona hii biashara nami nikaona niwajuze wenzagu katika jf wanaweza kutupa mwanga zaidi...
0 Reactions
46 Replies
10K Views
Salama wadau .... Kwa walio wenyeji wa mji wa Uganda naomba mwongozo .. Nataka kutembelea Uganda kipindi cha mapumziko yangu siku chache zijazo pia niangalie biashara gani zinapatikana huko kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu zangu wana JF nisaidieni nakala ya bajeti ya mwaka 2011/2012 ambayo ilifanyiwa marekebisho kidogo na kupitishwa na Bunge. Ninayo nakala ya Mkulo pekee ambayo ina mapendekezo tu, lakini...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna vita nzito ya kipropaganda inayoendelea baina ya hawa Jamaa wa mashariki ya mbali na wale wa magharibi. Ni ukweli usiofichika kwamba uchumi wao unakuwa kwa kasi ya ajabu na hivyo kuwa tishio...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Tanzania: Country Finds Gold in the South James Mwakisyala Dar Es Salaam - Tanzania could become the biggest gold producing country in Africa following new discoveries of gold in the most...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Wana JF nimejaribu kupitia thamani ya Shilling ya Tz inavyozidi kuporomoka kwa asilimia kubwa ukicompare na pesa ya Rwanda Franc dhidi ya dola ya marekani(US).Kwa takwimu hizi ni kusema...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Tuko katika hatua za mwisho za kuanzisha hospitali binafsi katika moja ya mikoa ya nyanda za juu kusini. Kuna vitu tunataka kuagiza kama CT machine, Echo, vitanda, n.k pamoja na kununua magari...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana JF!! Nilivyokuwa naelewa miaka ya JK wa kwanza, Kipindi cha Mzee wa Ruksa, na hata Mda nyuma kidogo wakati wa BWM, TANESCO ni shirika la umeme Tanzania, lililokuwa linahudumia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nataka kufunga pump kwa ajili ya umwagiliaji. Je nishati ya gharama nafuu ni kufunga solar au jeneta?
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Ndugu wana JF, Napenda kuwauliza wenye uzoefu kuhusu magari yanauzwa na TRA kwenye Mnada wao unaofanyika kila tarehe ya mwisho wa mwezi yana ubora gani? Je yanapatikana kwa bei nafuu kidogo au...
0 Reactions
20 Replies
13K Views
Wadau, Jana nilijaribu kufuatilia thamani ya pesa yetu dhidi ya pesa za kigeni na nilichogundua ni kwamba shilingi inapoteza thamani yake kwa kasi ya ajabu. Wiki tatu zilizopita on average kwa...
1 Reactions
35 Replies
6K Views
Hivi majuzi shirika la kimataifa la Aicc limewapatia notisi ya miez 6 kw baadhi ya wapangaji wake ktk mtaa wa soweto kwa maelezo ya kutaka kuzivunja nyumba hizo na kiziboresha zaid.. nadhan Aicc...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
yapata wiki ya tatu sasa sipati huduma ya nmb mobile kama vile kuangalia salio, kutuma pesa na ku recharge line zangu za simu. Majibu nnayoyapata ni pamoja na akaunti yako imezuiwa au is not...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
habari wadau, a. POLENI SANA NA MGAO WA UMEME USIOISHA . HAYO NDIO MAISHA BORA TULIOAHIDIWA NA MKUU WA NCHI HII MIAKA 6 ILIYOPITA. JAMANI UMEME NI KILA KITU, MAJI CHAKULA MADAWA USAFIRI KAZI PIA...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…