Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Naomba kuuliza kama kuna soko la mazao/mbegu hizi nchini? a) Gum Arabic (gum acacia) b) Sesame seed c) Cotton seed d) Shear Butter Asanteni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu wana jf,kama gari lako lina tatizo na umeshindwa kujua ni nini,basi piga simu number 0715 367 367,tunakagua gari kutumia diagnosis tool kuangalia engine,gaer box,body parts zote ndani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
I share the BIGGEST accounting mistake almost every entrepreneur makes... and how to fix it. Here is the link: Stop Booking Revenue Before You Do The Work | Toilet Paper Entrepreneur Enjoy!
0 Reactions
0 Replies
980 Views
Nilijaribu kuwekeza kwa kununua share kwenye makampuni matatu,kinachonisikitisha Dar Salaam Exchange (DSE) haijachangamka kabisa ukilinganisha na masoko mengine ya uliwemwengu wa tatu hususani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
YouTube - ‪2012 Audi A6 Avant eminem‬‏ YouTube - ‪Chrysler Eminem Super Bowl Commercial - Imported From Detroit‬‏ May 30-Jun. 5: Eminem Audi A6 Avant...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wiki iliyopita niliyapitia maeeneo hayo ya Mwenzetu ambayo kwa kusema ukweli Bint amejitahidi sana sana,kwa bint kama yeye kutoka aliko tokea mpaka hapa alipofikia ni hadithi nzuri ya mafanikio ya...
1 Reactions
36 Replies
6K Views
Habari ndiyo hiyo. Na rais wenyu anajiita Dokta. Msomi wa Uchumi, UDSM. Aibu gani? Tunakoelekea hata wauza karanga na wachoma mahindi wataanza kuuza kwa dola. Tunaacha haya yanapita; kisa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
SERIKALI imetoa mwelekeo wa Bajeti ya Mwaka ujao wa Fedha 2011/2012 na kutangaza kuwa shabaha yake kubwa itakuwa ni kumpunguzia mwananchi makali ya maisha ikianza na kushusha tozo za bidhaa ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wanajanvi, Natafuta kiwanja arusha bajeti yangu ni ndogo isizidi sh milioni 5. Sina preference maalum ya eneo ila isiwe mbali sana na mji,kwa maana nyingine pafikike kirahisi.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Dear JF Users, Do you think businesses exploits the named social networks effectively on their day to day activities? How Social networks such as facebook, jamii Forums, twitter,hi5 and others can...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Daily Nation Kenya Airways has reported a 73.9 per cent increase in its profits after tax for the financial year ended March 31. The airline recorded an impressive Sh3.5 billion during the...
0 Reactions
1 Replies
968 Views
nimeamu kuuza minibus yangu dala dala seating capacity 24 seats imported in 2010 january bei milioni 11 sababu ya kuuza:nimeamua kupunguaza magari ,nabadilisha biashara - kuwekeza zaidi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimejiuliza muda mrefu sana kuhusu dhamani ya fedha yetu'nashindwa kuelewa kwanini BOT ina wala rushwa wa kutosha alafu wanapewa kazi ya kudhibiti fedha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF salama... Nina shamba salasala ambalo halijapimwa lenye ukubwa wa mita za mraba 3000 sawa na robo tatu ya eka naliuza shilingi 9 Milion....lina miti michache ya maembe, minazi na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kila kukicha nasikia tu watu wanasema kuhusu kilimo kwanza, kwamba eti ni njia ya kuondoa umasikini kwa watanzania kwa kigezo kwamba asilimia kubwa ya watanzania ni wakulima na hivo kilimo ndo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
DAR ES SALAAM, Tanzania, - 01 June 2011: IBM (NYSE: IBM) inatangaza kuwa imefungua ofisi tawi lake jipya Dar es Salaam, ikiwa ni mwendelezo wa kujitanua kimkakati na kupatikana katika sehemu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jana jumanne na Leo Jumatano wateja wa EXIM bank wanaotaka kuchukua Fedha zao ndani ya Bank wamekuwa wakizuriwa na wahudumu wa Bank katika matawi wawili ya katikati ya jiji la Dar es salaam kwa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Msada wanajf, kuna ndugu yng anataka kuagizia gari toka japan used, gar ni FORD EXPLORER inauzwa dola 1,561/= kama shling za kitanzania mil 2,341,500= kwa bei zao ambazo wameonesha kwenye mtandao...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Sina kazi wala biashara, pesa pekee niliyo nayo ni sh. 300,000/=. Nina shamba ambalo sijaliendeleza, naombeni mawazo yenu waungwana.
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…