Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Naona mzee bado yuko makini katika ku-hit jackpot sasa si mambo ya lottery bali mambo ya bling...Aika Meku! Endelea kututoa tongotongo! IPP Resources IPP Gold Ila umepunguza speed ya kuandika...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Dear Bongo business minded people :D ! Can you suggest whats the best business to start as PART TIME with a capital of around $2000 to $3000 ?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
I'm interested in exporting business. I'm young and new and maybe misguided, i have recently went to Kigali and Nairobi just to see whatsup looking for opportunities and i'm planning to go to...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kumekuwa na Utitiri wa Recruitment companies hapa Tanzania Je zina manufaa yoyote kwa mfanyakazi au zinazidi sababisha na kuhalalisha unyonyaji wa mishahara duni,kazi zisizo na mkataba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
A/allaykum ninauza gari zangu 2 inport Toyota LandCruiser Amazon Vx 99 Auto Disel .ExternalClass #ecxgallery-1{;}.ExternalClass #ecxgallery-1...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nina ndugu yangu ana miliki nyumba katikati ya mji wa Moshi tangu miaka mingi iliyopita. Ila kwa maelezo yake kwa sasa Liz imekwisha na ametakiwa na Manispaa kujenga Ghorofa. Yeye mwenyewe hana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana JF, Ninategemea kusafiri kesho kwenda MOSHI kutokea Dar es salaam. Naomba kujua Nauli,Basi zuri na mwendo salama la kupanda.Na muda nitakao tumia. Pia Moshi...sehemu confortable kwaajili ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani huyu mtoto anatoa wapi mijihela nisaidieni jibu wana jf
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Sasa unaweza kutuma sms kwa watu wengi kwa rahisi kutumia huduma za kampuni mpya ya technologia Bongo Live! Wasiliana na wateja wako, kumbusha watu kwa ajili ya malipo, tuma offa za bidhaa na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Zinaniboa, yaani Watanzania wamekosa vitu vya kufanya sasa wanafikiria wizi tu. Sinema moja kuwa na Part 1 na Part 2 ni wizi, tusikubali kuibiwa, tuache kununua kazi zao hadi hapo watakapo...
1 Reactions
63 Replies
8K Views
Kaka yangu mwanakijiji na wanajf wengine, naombeni mnisaidie kupata bei ya maji safi kwa unit moja zinazotozwa na mamlaka za maji za mikoa yote ya tz. Najua ni kazi ngumu kaka lakn nisaidie...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Kwa Takwimu zilizotolewa jana zinaonyesha kwamba Tanzania ni nchi ya kwanza AFRICA, na ni nchi ya kumi DUNIANI inayotegemea misaada toka kwa wahisani, na kasi ya kutegemea wahisani inazidi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Uchumi Supermarket has announced plans to enter the Tanzanian market and increase it's footprint in Kenya and Uganda. In a new expansion push that the management says will be executed differently...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama nigekuwa mkuu wa wapenda amani wa tanzania nigefanya maamuzi magumu ifuatavyo:wafanya biashara wote wakubwa lazima walime ekari zisizopungua 20 za mazao ya biashara kwa kila mkoa katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Uswahili ni kwetu kuna wawekezaji kutoka china. Jamaa ni balaa wanaharibu miundo mbinu ya kimasikini tuliyo nayo ile mbaya kwani wanapitisha yale maroli yanayobeba macointainer bila huruma na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wana jf..naomba yoyote anaefahamu ni jinsi gani naeza kununua bando la internet ya zantel...na kuituma kwenye namba yangu ya moderm ya zantel. nimejaribu kuwapigia zantel bt hawapokei.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
helllo everyone, kila wakati nimekuwa nikiwaza na kujiuliza maswali ninapofika Mlimani City.. hivi kwa nini designer wa jengo hili hakuifanya hiyo shopping mall kuwa ya ghorofa angalau mbili au...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Kuhusu hali ya kifedha ya Shirika la Ndege la Taifa la ATC, Mataka alisema, lina hali mbaya kwani anaondoka na kuliacha likiwa halina hata ndege moja inayofanya safari zake. Kwa mtaji huu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hello JF members and visitors, My friend asked me for advice on buying a Car. Thinking of price, comfort, and withstanding Tanzania roads Please indicate Car importing Companies...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Mi ni mjasiriamali, project yangu inahitaji milioni 2, tayari nina milioni 1 na nusu.Wapi naweza pata mkopo wa laki 5 za haraka kwa muda wa mwezi mmoja?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…