Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wana JF nimekuwa muajiriwa kwenye NGO Moja kwa takriban miaka kumi. Imefika wakati nataka kuacha ili nipate muda wa kutosha kusimamia biashara yangu japo ni ndogo. Kinachonisumbua ni hofu ya...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Wadau, Leo nilitaka kubadilsha dollar zangu kadhaa ,kwa 100 USD NMB nimekakuta wanabadilisha kwa sh 1455 ,CRDB 1484,NBC 1488 Hivi ni kwa nini? viwango si sawa?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wataalamu wengi wa uchumi wanakubaliana kwamba ili nchi ijikwamue/isonge mbele kiuchumi tabaka la kati "middle Class" ni muhimu likawa kubwa.Nimejaribu kujiuliza tabaka la kati linashirikisha watu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za saa hizi wakuu.Naamini Mungu anasaidia na ataendelea kufanya hivyo. Jamani nimepata mkopo(1M).Nimesikia mwezi huu kuna mikoa inafanya uvunaji.Nilikuwa na wazo la kuchukua mazao mikoani...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
NATAFUTA RAV 4 YA MWAKA 1995 AMBAYO HAIJATUMIKA HAPA NCHINI KABISa,NAOMBA MNIJUZE BEI YAKE
0 Reactions
3 Replies
3K Views
  • Closed
Wasalaam wanaJF Naomba kwa anayefahamu anisaidie kufahamu jinsi kodi inavyokokotolewa endapo nitanunua gari lililokuwa na msamaha wa kodi (Tax exemption) ambalo liliingizwa nchini TZ mwaka 2000...
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Imeandikwa na Oscar Job; Tarehe: 16th May 2011 HALMASHAURI ya Manispaa Ilala, mkoani Dar es Salaam imepiga marufuku matumizi ya viwanja vya Mnazi Mmoja na vingine vya wazi kwa ajili ya...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
According to Bloomberg, SABMiller is planning a new beer plant in southern Tanzania in the near future. No further information on the location was provided, however the new brewery will most...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Caption Meneja Mkuu wa Kiwanda cha Viberiti cha Kibo Match Group Ltd, cha mjini Moshi, Sheriff Babu akitoa taarifa kwa mbunge wa viti maalumu kupitia Chadema Lucy Owenya, ambaye pia ni Waziri...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
May 16, 2011 12:04 PM EDT African Barrick Gold (ABGL.L) said a malfunction in a mill motor at its Buzwagi mine in Tanzania would hit production in the quarter, sending its shares down as much...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nikiangalia mwelekeo wa ccm siamini macho yangu-ni kama naangalia filamu.kwa nini?.chuki kubwa ambayo imeanza kuchipuka kwa kasi mioyoni mwa watanzania dhidi ya chama hiki ni ufisadi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni vizuri kupeana uzoefu hata kama ni mdogo hasa kwa mambo mabaya yanayoendelea ktk jamii yetu. Mpendwa kama unakwenda kununua mbao a.k.a treated timber hasa Buguruni na kwingineko weka akili...
4 Reactions
35 Replies
6K Views
* Leadership and learning are indispensable to each other; He has been in that position for too long Sunday, 15 May 2011 22:38 Mr Harry Kitilya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hivi nauli za za kutoka Arusha kwenda Samunge kwa Elicopter zimepangwa na nani? Nauli za safari zote nchini nadhani zinapangwa na mamlaka husika. Sasa hivi vindege vya kutoka nchi jirani nani...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani wadau, naomba msaada nataka kufungua kijikampuni changu cha kukodisha magari "Tours company" but sijui procedure zake.,tafadhari naomba mwenye details anijuze!
0 Reactions
8 Replies
3K Views
By J. MWAMUNYANGE Posted Monday, May 16 2011 at 00:00 As Tanzania returns to the dark ages, The EastAfrican has learnt that the route being taken by the government to import a 260MW...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello my friends! Would someone kindly assist me with airtel tz headquarters general lines. I need to get in-touch with someone there and the numbers i've got is just the customer care numbers...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
za jioni wana-jamvi. just wondering where i can get JAMIIFORUMS T-SHIRTS. are they still in stock or not??
0 Reactions
18 Replies
2K Views
By MARY JOHN Posted Monday, May 16 2011 at 00:00 Tanzania has announced a crackdown on institutions and individuals that abuse tax exemptions, which cost the government at least $449...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
123 hurreakkjjm
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…