Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari wakuu, Naomba kujulishwa vitu vya kuzingatia unapopanga bei ya kuuza nyumba ya kuishi. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Natafuta patna kwenye biashara ya uvuvi ninayo leseni ya kuniruhusu kuvua kwenye pwani ya Tanzania. au kama kuna mtu anayo data base ya makampuni ya nje yenye nia na shughuli hii pevu ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Inasemekana Manji ana jeshi la watu kama 70 hivi wote kazi yao ni moja tuu kubid tenda zote za serikali ya TZ kwa kutumia shell companies sasa nauliza mtu unainawezaje kuingia kwenye hiii...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mashara wangu unakatwa 30% PAYE. kile kidogo kinachobaki, kwa kila elfu mbili ninayolipa kununua lita moja ya petroli serikali inachukua sh. 600, Kumbuka hii ni baada ya kunikata 30% kwenye...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
When you say that successful businesses are governed by skill and not chance, some people will try to say no. Their argument often is that they know so many people who have succeeded without any...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Polisi mkoa wa Mwanza inamshikilia mkazi wa mkoa huo anayekadiriwa kuwa naumri unaozidi miaka 75 ambaye amejitetea kuwa analima na kuuza bangi ili kukabiliana na makali ya maisha. Source Star TV 23/04
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Please serikali ya bara ijaribu kuleta wawekezaji wa kujenga mahoteli ya beach resorts, wamwaga watalii kuliko hao tunaowaona Zanzibar. Bahari yetu katika baadhi ya sehemu ni nzuri kama ile ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wakuu, media tena. Sasa nina nyeti kwamba ukiyaona ya firauni utashangaa ya musa. Mwananchi communications limited nako kuna mambo ya ubaguzi katika mishahara baina ya watanzanyika na wakenia...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Jamani watanzania hivi hii stand yetu ni sawa kuwa na mlango mmoja tu wa kutoka magari au mpaka litokee balaa humu ndio tuanze kutafuta wa kumlaumu hata ukija alfajiri hapa wakati wa kutoka...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu wabunge msiorasmi wa JF (hamjatangazwa na NEC ya mafisadi). Katika mkutano wa wajumbe wa mikoa wa chama cha wafanyakazi-Tanesco; moja ya hoja nzito walizozitoa ukiacha ile ya DOWANS ni juu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
WAZIRI Kivuli wa Fedha na Uchumi, Zitto Kabwe ametaka Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ichunguzwe kwa uzembe wa kushindwa kukagua hesabu za ruzuku za vyama vya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Katika taarifa ya habari ya saa 2 inayoendelea hivi sasa, Nappe amesema Chama cha Magamba (CCM) kikishamaliza kushughulikia mafisadi ndani ya chama chao watahamia kuwashughulikia mafisadi/miungu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ikiwa wanalalamika hawapati kipato cha kutosha mbona wanawaendekeza makampuni? hivi msanii katika nyimbo yako unataja jina la company kwa kushukuru? hivi amejiuliza hiyo nyimbo inapigwa na media...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wadau? Naomba msaada wenu. Ni sehemu zipi kwa mikoa ya Rukwa(mfano Mpanda n.k) na Tabora nitapata mazao yafuatayo: Mahindi: Debe moja (ndoo ya lita 20) - kwa bei isiyozidi sh.2,500/=...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
wadau wa jf, naomba mnisaidie kwa yeyote mwenye idea ya mikopo! je ukikopa bank mil 50 kwa kutumia hati ya kiwanja(nyumba), utaitaji kurudisha hiyo pesa kwa mda gani na kiasi gani kilia mwezi! pia...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
nauza VW polo ya mwaka 2001,km 114000,silver color,cc1600.imeingia tanzania mwaka 2010 june bado mpya.bei milioni6 maongez yanaruhusiwa.piga 0755943446.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna taarifa kwamba twiga wanne walisafirishwa kinyemela kupitia uwanja wa ndege wa KIA wiki mbili zilizopita kwenda ughaibuni.Hizi habari zinashangaza sana,yaani twiga walivyowakubwa wapitishwe...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
habari wakuu,naomba mnisaidie bei za mashamba huko pwani na moro zikoje kwa wale wanaofahamu.natanguliza shukrani zangu.
0 Reactions
13 Replies
9K Views
Habari kamili inapatikana hapa chini Gold price breaks through $1,500-an-ounce barrier | Business | The Guardian Gold price breaks through $1,500-an-ounce barrier...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Hakika Jakaya ameishiwa kwanini vikao vya ndani na mawaziri wake kwenye tv inauma sana kwani wao hakuna walilofanya na wanaonyesha uchafu wake kwenye Kipindi anachokiita maalumu ikulu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom