Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Serikali kujihusisha na biashara za mafuta ni nia ya viongozi kutafuta rushwa badala ya kujali wananchi. Serikali inashidwa kutatua tatizo la umeme la kununua Generator lakini badala yake inataka...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Moja kati ya Vigezo vikuu vya Miradi ya maendeleo ya Jamii ni ushirikishwaji wa wadau husika. Kushirikishwa kwa wadau kuna faida nyingi ikiwemo, kuleta mchango mkubwa kimawazo kutokana na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
...WanaJF siku za karibuni nimekuwa napata sms nyingi toka VODACOM zinazobeba ujumbe ufuatao..."Wewe ni.....? umepewa namba ya siri SC1 na umechaguliwa kushiriki droo leo usiku ya kushindania Tshs...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau, Ninakibanda changu cha vyumba 4 kimara mwisho, ningependa kujua makadirio ya kuezeka.
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Wana JF! Mtaniwia radhi kama naleta hoja mahali pasipofaa, ila nahitaji msaada. Tunatafuta mtaalamu wa ukweli kufanya finishing (carpentry works) ya nyumba kubwa ya vyumba vitano including...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
URGENT: A three bedroom, fully furnished house, is IMMEDIATELY REQUESTED, for lease in the Masaki Suburb of Dar es Salaam. The budget is USD 4,000.00 per month, payable annually. If you are the...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Let start from the beginning how is M-Kesho going to work.? M-Kesho, unveiled by Equity Bank and Safaricom , will allow M-Pesa account holders to deposit and withdraw cash, and get loans. The...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
kwenu wana jf...nina idea za biashara, bt sijui jinsi ya kuandika business proposal. mchango wa mawazo ya jinsi ya kuandaa business proposal. Help mi out hea.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Salaam wapendwa, kwa muda mrefu nimekuwa na wazo la kuanzisha business linkages kutokana na uhitaji wa wafanyabiashara wetu. Natafuta mtu mwenye utayari wa kufanya kazi hii. Asante Annina
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani hivi watanzania tutaendelea lini?ni lini njaa na tamaa zitatuishia?sasaivi zimekuja leseni mpya,walisema ya kwamba hizo leseni hazita tolewa kizembe na kwawale waliopata leseni kiuwizi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wakuu nalazimika kupongeza hatua ya awali ya lukuvi kuhusu open spaces [dar es salaam].... pia napongeza sana hatua ya kusimamisha baadhi ya watendaji sasa ni wakati wetu kutoa uthibitisho wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Heshima kwenu wanajamvi. Jana nilipata ujumbe wa sms from AIRTEL kwamba wamezindua huduma yao kijiji Samunge Loliondo kwa Mchungaji Babu.Ndugu jamaa na marafiki sasa mtaweza kuwasiliana na jamaa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari za kazi wana JF. Tafadhari naomba msaada kwa anayejua kuhusu m-pesa. Nilimtumia mama mkubwa pesa kwenye namba ya simu aliyokuwa anaitumia bila kuuliza kama hiyo laini ameisajili au...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Our Projects Sonora Gold & Silver Corp. is a Vancouver-based mining exploration company focused on exploration and development of precious metal projects. Sonora has looked to stable mining...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Monday, 11 April 2011 By Martha Malitinyu An international NGO has unveiled discrepancies of over US$32m between what the mining companies are paying in form of taxes and royalties and the actual...
0 Reactions
0 Replies
972 Views
Habari zenu Wana JF.(GREAT THINKERS). Kama heading inavyojieleza, nahitaji msaada wenu wapi naweza kupata hiyo kitu na bei yake inakuwa ngapi? Nasikia ARUSHA kuna kiwanda kinatengeneza TRANSFOMER...
0 Reactions
2 Replies
897 Views
Wakuu,unapofungiwa umeme unalipia kila kitu,nguzo,mita,service line,wire,usafiri,vibarua n.k.Unaponunua umeme kwa sasa ni wastani wa TShs 195 kwa unit moja.Ni garama sana.Mi nauliza kwa wale...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu, tafadhalini nipeni ushauri wa kibiashara.eti kwa mtaji wa shilingi milioni tano naweza kufanya biashara gani hapa dar? nitafurahi sana kama nikielezwa hata kwa kifupi inalipa vipi hyo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kama kuna tangazo la Redio ambalo linaniboa kwa sasa ni hili la kuhamasisha kunawa mikono; halina mvuto; halina mantiki na hata weledi hakuna kabisa. Hivi nani katengeneza hili...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa miaka 21, a graduate in bachelor ov masscoommunication, nina idea ya kipindi cha tv, bt sijui pa kuanzia ili kufanikisha! some1 wit an idea?? help.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom