Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wakuu kwa wale wanaofahamu naomba mnijulishe kiwanja cha kati ya heka moja na nusu na heka mbili maeneo ya Tegeta kinaweza kufikia bei gani???? Asanteni!
0 Reactions
17 Replies
2K Views
HI! WANAJAMII HILI TANGAZO LA KUUZA LAP TOPS ZANGU MWENYEWE: LAPTOP 1 ALMOST STILL NEW Niliinunua marekani mwaka 2009 December HP BLACK RAM 3 GB HDD: 240 GB PROCESSOR: 2GHz WINDOW XP PRICE...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naibu Waziri wa Ujenzi, Dk. Harrison Mwakyembe Naibu Waziri wa Ujenzi, Dk. Harrison Mwakyembe, amegeuka mbogo baada ya kufanya ziara ya kushtukiza eneo la Kivukoni jijini...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Nini tunaweza jivunia kwamba kinafanyakazi sawasawa kwa upande wa kilimo Tanzania?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
International Accounts - Lloyds TSB International
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Brazil's raw materials and the Chinese bikini problem China's presence in Brazil is due to become...
0 Reactions
0 Replies
969 Views
Natumaini wote ni wazima mimi ni mjasirilia mali natafuta oven kwa ajili ya kutengeneza mikate(morogoro)nauliza wapi naweza kupata hizo oven kwa ajili ya kufungua mini-Bekary,yeyote anayefahamu...
0 Reactions
9 Replies
11K Views
Wana JF, Naleta hii hoja kwenu, kwani tokea kampuni hii mya ya simu kuendeleza biasha ya Zantel ndio wametuchanganya zaidi kwanini nasema haya: 1: Wana offer yao ya bonyeza SMS 5 ili upate...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
For more info plz contact via pm
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana JF Mini ni mjasiriamali nilianzisha shule na kufanikiwa kuyisajili BRELA na MoVET kwa sasa ina walimu 5 na watoto 100 kuanzia awali hadi la 5 shule ina eneo la acres 6...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
nina refurnish my house, hivyo kuna fenicha nauza. used sofa - 55,000/=, coffee table and stools - 100,000/-, 4 sitter dining table - 290,000/=, ward robe/kabati la nguo 4doors- 250,000/=
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau hili ni jukwaa ambalo unaweza ukaweka ideas zako zozote za kibiashara, ambapo hata kama wewe utashindwa kuifanya inawezekana ukamwezesha mwezio ambaye ana capital lakini hana idea. Hivyo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nilienda kununua umeme wa LUKU nkataoa 10000 yafutayo ndo makato na unit nilizo nunua ths 5458.72 for 34.8 kwh @156.8 VAT 18%,EWURA 1%,REA 3% =1200.92 Fixed cost collected =2738 VAT 18%,EWURA...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
whats are the "barriers" facing the growth of "tanzanian" farmers
0 Reactions
22 Replies
3K Views
TUNDURU ni moja Wilaya nne za Mkoa wa Ruvuma, lakini yenyewe inasifika zaidi kwa shida ya usafiri na kwa uchache wa usikivu wa vyombo vya redio na televisheni. Wilaya hiyo imejaa eneo kubwa...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Wanajamvi, Nitashukuru kujua mpaka kati ya Tanzania na Rwanda unapitia wapi hasa. Zamani maziwa magharibi mwa Karagwe tulikuwa tukiyagawana lakini sasa naona yote yamekimbilia Rwanda. Haya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wakuu: Ninaomba ushirikiano wenu wakuu,,najua kuna wana jf wengi sana hapa ambao wamefanikiwa sana hasa katika nyanja ya biashara au tuseme ya kipato,,lakini kufika hapo mlianzia mbali...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndugu wana JF,naomba kuelemishwa namna gani mtu unaweza kuwekewa kiosk cha maji na DAWASCO. Yaani, vigezo gani wanatumia kuweka na kukodisha hivi viosk.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa nini nairobi unapata apartments za kupanga tena nzuri na fully furnished hata kwa monthly basis na chini ya dola 500 wakati Dar hawataki kodi unless iwe ya mwaka na apartment ya kawaida ni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani magari yaliojazana hapa mjini mengi yalikuwa yanatoka Dubai kisha UK nao watu wakaanza kuingiza na sasa naona watu wanazungumzia kuagiza gari wenyewe direct from Japan sasa nauliza kama...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Back
Top Bottom