Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari:- Wakat tunaendelea kuishi pia tunaendelea kujifunza na kukumbushan. Maisha bado ni hatua na kufanikiw tuu kwa kias cha kawaida (kuwez ku mudu nahitaji ya msingi ya maisha bado ni...
4 Reactions
3 Replies
570 Views
Mimi nilipoanza kulima ndipo niliona Dar kuna vijana wazembe sana yaani wamekaa na wanawaza kuuza viatu na nguo tu hakuna mawazo mbadala yaani hawawazi mambo makubwa. Nimetoka Dar na nimefanikiwa...
26 Reactions
132 Replies
30K Views
Habari zenu wadau, Mimi ni kijana nimejiajiri kwenye sekta binafsi lakini pia nina kampuni yangu nimefungua, Sasa natafuta Client yoyote ambaye naweza kushirikiana nae kufanya biashara ya vinywaji...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Naombeni ushauri nahitaji kufungua kampuni ya kuuza nguo za watoto kutoka china na uturuki me na ke kuanzia miaka 2-15 niwe nauzia Wafanyabiashara wakubwa na wadogo vipi kuhusu soko hilo la nguo...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama kuna zao lenye "ZERO" marketing strategy ni zao la kahawa. Huwezi hata kujua upo kwenye nchi au mkoa unaolima kahawa. Unywaji uko chini sana na bei ziko juu. Hakuna msukumo wa kuitambulisha...
2 Reactions
0 Replies
325 Views
Habari, Tulifungua company tulikuwa tupo wanne. Ila now wawili wanataka kujitoa katk company. NAOMB USHAURi JINSi YA KUWATOA WASISOMEKE KATKA REGISTRATION ZA BRELA. Please ushauri
1 Reactions
9 Replies
828 Views
Wakuu, sijaidharau, ila nimeshangazwa na bei yake. Nimeona mtandaoni pikipiki zinazouzwa Dar Es Salaam kwa bei ndogo sana. Zipo za kuanzia laki tano mpaka sh 1.8m. Zote ni used. Sikuwahi kumiliki...
7 Reactions
31 Replies
3K Views
Kwanini Makampuni Makubwa yaliyowekeza nchi mbalimbali duniani ikiwemo Urusi, Ulaya, USA na China yameorodheshwa kwenye stock market za nchi husika Ila Tanzania Makampuni Makubwa ya Gesi na Madini...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Equity incentive plan ni mipango ya Motisha ya Ushiriki iliyoundwa na makampuni kutoa motisha kwa wafanyakazi wao kwa kutoa hisa au chaguo la kununua hisa kama sehemu ya malipo yao. Mipango hii...
0 Reactions
0 Replies
387 Views
Wanasema uwoga wako ndiyo umaskini wako....... Najiona mjinga,mpumbavu na nisiyekua na akili..... Mimi ni binti, wa 20+. Nimehangaika mnoo hapa nilipo Nina 2.5 MIL. Ambayo nimeipata ndani ya mwaka...
9 Reactions
35 Replies
1K Views
Habari za wakati huu; Ni matumaini yangu kwamba mnaendelea salama na jitihada zenu za kujenga uchumi binafsi na wa Taifa. Kwa heshima na taadhima kabisa nimeona leo nilete mjadala kuhusu Mtu...
0 Reactions
0 Replies
452 Views
Kwa maendelea tuliyonayo kwa sasa tumefikia kujua vitu kadhaa kwa maarifa yetu pengine vinaweza kutupa afya ya mwili kama tukivifanya ipasavyo. Tunahisi tunaweza tukawa bora zaidi kuhudumia mwili...
3 Reactions
1 Replies
348 Views
Habari za muda huu ndugu zangu me ni kijana mdogo mwenye umri wa miaka 24 naomba kushare hili wazo kwenu ili kupata Maoni tofauti tofauti yanayoweza kunisaidia. Nina wazo la kufungua store niwe...
6 Reactions
8 Replies
717 Views
India itaipiku Japan na Ujerumani, ikiwa ni nchi yenye uchumi mkubwa unaokua kwa kasi zaidi na mwelekeo wa idadi ya watu (ugavi thabiti wa kazi), kuboresha nguvu za kitaasisi na uboreshaji wa...
2 Reactions
2 Replies
461 Views
muda mwingi nipo kazini hivyo dukani naacha msaidizi. Kwa miaka miwili mfululizo duka lilikuwa na wateja wengi na nilidhani mimi ndie mjanja nilieumiza kichwa kuchagua eneo zuri, kuweka bei...
10 Reactions
37 Replies
3K Views
Habarini? Hivi majuzi nilipigiwa simu na watoa huduma kwa wateja kwamba, kutokana na Maagizo waliyopewa na BOT. Wamelazimika kupunguza kiwango changu cha matumizi yaani kutuma na kutoa hela...
5 Reactions
10 Replies
970 Views
Habari, Naomba msaada jamani nina stationery lakin katika kipindi hiki cha umeme kata rudi napitia wakati mgumu sana.. Naomba usbauri wenu jamani naweza kuongeza biashara gani isiyotumia umeme...
1 Reactions
4 Replies
753 Views
Haya mambo ya ajabu sana Tuliowapa kazi wameshindwa wanamtupia lawama mtu anayecheza na fursa.... Kama mtu ali-gamble akachukua shehena ya sukari fingers crossed kwamba bei zitapanda na yeye...
2 Reactions
44 Replies
1K Views
Hello, natumai mu wazima. Kwenye kujaribu kuiongelea Blogging kwa kina, kutokana na maombi ya baadhi ya wadau, nimeona mwanzo kabisa uwe na Basics, na hapa ntaongelea mambo ambayo utahakikisha...
5 Reactions
20 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…