Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari wapendwa, nilikuwa nahitaji msaada mwenye kujua hii biashara ya kuuza pumba na chakula cha kuku imekaaje faida zake na mtu anatakiwa awe na mtaji wa kuanzia ngapi, na gharama zake gunia la...
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Vifungashio vya plastic vimekatazazwa. Sasa wakuu, niko na plan ya kuanzisha biashara ya kuuza dagaa mchele. Nilitaka niwahifadhi kwenye kifungashio ambacho kitakuwa cheupe Cha kuweza kuonyesha...
3 Reactions
9 Replies
847 Views
Wakuu, mimi nipo mkoani na nafanya biashara kuuza/kubadilisha mitungi ya gesi, nina mpango wa kuanza kuuza bana za Gesi kwa bei nafuu ili niendane na ushindani wa wa sasa, maana kwa sasa nazipata...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wazo la kukopa trekta HP 50 kulima mashamba yako kukodisha Mara chache ili upate mafuta.Kulima heka 600 yaani eka 20 kwa siku. Mazao ni yale yasiyo na changamoto nyingi mfano kunde...
3 Reactions
28 Replies
4K Views
Tatizo nini mpaka sisi TZ [emoji1241] atujaingia kwenye orodha ndefu hii.. [emoji848] Njoo na jibu..[emoji116][emoji116][emoji125]
1 Reactions
2 Replies
356 Views
Nina ndugu yangu ana 440k anahitaji smart TV 43 inch nimefanya uchunguzi wa hizi tv zifuatazo ALITOP, RISING, SOLARMAX na AILYONS kwa bajeti yake anaweza kupata. Je ipi ni tv yenye unafuu wa ubora...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Habari Wana JF Nina dogo langu ana biashara ya Mangi inatakribani miaka miwili na nusu. Alianza mwaka 2021 July kwa mauzo hafifu sana lakini alijipa muda sana mwisho wa Siku Sasa hivi ana uwezo...
0 Reactions
4 Replies
574 Views
Wakuu kwema nikiwa Kama kijana ninae jitafuta naombeni mwongozo ili niweze kusajili jina la biashara. Nina mpango wa kufungua huduma za kifedha japo mtaji Bado sjafanikiwa kupata. Nina leseni...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu nimekwama hapa ki mawazo nilikua naomba ufafanuzi. Nilikuwa nasoma uzi mmoja humu unaoelezea mtu anaetaka kufungua microfinance wakati wa usajili sharti jina la biashara liwe na neno...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau naulizia erectile creams/sprays hizi nilizoweka kwenye picha zinapatikana wapi kwa hapa Dar. Mwenye uelewa anipe jibu hapa jukwaani au PM.
0 Reactions
5 Replies
444 Views
Mie ni mfanyakazi katika Company X Kutokana na kuhamishwa mikoa mbalix2 ki kazi... Kwa sasa naitaji kusettle Sehemu Moja na familia yangu. Wakuu naomba ushauri wenu Kati ya Dar(nina nyumba)...
6 Reactions
35 Replies
2K Views
Mtu akikuona leo hii unavyokula bata, maisha mazuri, usafiri mkali na biashara kubwa mjini, anaweza kudhani umefika hapo ulipo kirahisi rahisi tuu. Mimi mwenyewe nilikuwa nadhani hivyo! Cha ajabu...
66 Reactions
406 Replies
37K Views
10 African countries with the weakest currencies in 2024. 1. São Tomé and Príncipe 22,281.8/$Dobra (STD) 2. Sierra Leone 19678.65/$Leone (SLL) 3. Guinea 8,583.4/$Guinean Franc (GNF) 4...
0 Reactions
2 Replies
602 Views
Hii ndio taarifa iliyochapishwa kwenye tovuti ya NMB PLC, Binafsi imenivutia na haya moja kwa Moja ni matokeo ya Sera Bora na rafiki za Mama yetu Dkt Samia Suluhu Hassan, tunakwenda nae Mpaka...
14 Reactions
108 Replies
4K Views
Nimeandika mada ndefu kiasi, so tenga muda kiasi , wale mtakaopita na kusema nimeandika pumba mna nafasi pia ya kucomment karibuni. wakuu habari zenu, hongereni kwa wale mnaonufaika na hii kitu...
17 Reactions
181 Replies
22K Views
Wanangu wa Morogoro hivi kg 100 ya mchele imefika bei gani?, nataka nisafirishe mchele kutoka Moro to Dom
0 Reactions
3 Replies
690 Views
katika makombora 10 ni moja linaweza kupenya mengine yanapanguliwa, JE, Israel wakirusha hata kombora moja, Hezbollah wanaweza kulizia ? itakuwaje Israel ikirusha mamia ya makombora kwa mpigo...
0 Reactions
5 Replies
485 Views
Nataka kufanya biashara Comoro kwa mtaji.mdogo, nifanyeje?
3 Reactions
67 Replies
8K Views
Wakuu habari za usiku huu, poleni na majukumu Niende kwenye mada, mimi ni mfanya biashara mdogo mdogo ila sio mdogo sana, nina mda sasa nafanya biashara ya asali nauza Dar na Zanzibar namshukuru...
2 Reactions
38 Replies
3K Views
Mbunge wa Makete Mh:Festo Sanga amepaza leo tar 14:02:2024 akichangia hoja ya Kamati ya Bajeti amepaza kilio chake kwa serikali namna mabenki nchini yanavyoumiza watumishi kwenye riba za mikopo...
1 Reactions
3 Replies
518 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…