Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wakuu kutokana na hali ya uchumi kuwa ngumu nimejifanyia analysis kujua kwa nini nina income kidogo ukilinganisha na mahitaji ya kila mwaka. Katika kujifanyia fair anaysis nikapata vikwazo saba...
0 Reactions
32 Replies
2K Views
Karibu kupata huduma ya usafi kipindi hiki cha mwisho wa mwaka. Ninajivunia kutoa; Usafi wa kina, utapata usafi thabiti na wa kina katika kila kona ya nyumba yako. Muda ufaao, Ninazingatia muda...
1 Reactions
0 Replies
387 Views
Wakuu! Nina sarafu za kizamani za watawala mbali mbali...., kabla sijawa nazo niliambiwa ni dili sana. Leo nimezipata (angalia baadhi ya picha), hivi soko lipo wapi? Mwenye idea aje DM tuongee...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Nilifika NBC Mlimani Branch kuomba kubadilishiwa kadi baada ya kadi yangu kumezwa. Kumbe wao wana utaratibu kuwa wakitaka kubadili kadi zinamezwa kisha unazunguka ndani na kupewa nyingine. Kuingia...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau kichwa cha habari kinajieleza. Naomba kujua wapi napata gari, faida na changamoto. Gari itakuwa mkoani ===== Hongera boss kwa mtazamo huo chanya.... Ila naomba fikiria huu msemo wa WARREN...
2 Reactions
35 Replies
12K Views
Kama heading inavyosema kununua bidhaa kwenye duka la mbongo msawahili kabsa mweusi tiiiiiiiiii ni shida sana atajifamya kukupa guarantee ya mwaka au miaka 2 au miezi sita halafu bidhaa ikileta...
10 Reactions
35 Replies
2K Views
Mteja anapokea fedha kwenye accounts yake fedha zinafika na kusoma lakini mteja hawezi kutoa. Mteja anafanya muamala, m.f, anatuma hela kwenda kwenye mtandao wa simu, ombi linapokelewa na...
2 Reactions
7 Replies
817 Views
…Haya ni Maneno ya Mzee… . “Juma Swalehe” . NA… . …Hii ilikuwa ni Tarehe 15/06 Siku ya Alhamisi Mida ya… . Saa 2 na DKK 5 Usiku! . Maeneo ya Barakuda, Mzimbu… . (Morogoro)! . …nilikuwa Nimeenda...
6 Reactions
0 Replies
406 Views
Habari zenu, Tanzania ni kubwa na tuna mikoa mengi lakini ni mikoa gani mnahisi ni nzuri kwa ajili ya kujenga apartments kwa kukodisha. Namaanisha mikoa yenye good return in investment. Asanteni
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari za sahizi wana jamii forum Nilikuwa nataka kufanya biashara ya mabegi ya mkono mmoja ya wanaume, mwenye uzoefu nawaomba mnishauri kuhusu hii biashara, napatikana Dodoma.
3 Reactions
1 Replies
532 Views
https://www.sunranch.vip/#/pages/register/register?code=27836 Jisajili hapo juu Bei ya bata ni Tsh 25000, utapata 1000 kila siku, na mapato ya jumla ni 60000 ( halali kwa siku 60) Bei ya sungura...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Wenye maduka nawaombeni msaada wenu. Nimeajiriwa lakini nina biashara za pembeni likiwemo duka ambalo nimemweka binti, mshahara wake ni laki 1 pamoja na elf 4 ya kila siku (chakula, nauli, choo)...
1 Reactions
12 Replies
740 Views
Hello, Naomba kwa anaejua biashara ya vanilla, naitaji soko. Naombeni msaada wenu [emoji120] please.
0 Reactions
5 Replies
425 Views
Samahani wakuu mimi ni kijana na umri wangu ni miaka 27 muhitimu wa degree. Nilikua nafanya kazi kwenye kampuni japo kwa muda huu imesimama, nilifanya saving zangu nikafikisha miliioni 4.5...
4 Reactions
14 Replies
763 Views
Nina ndugu yangu katokea mbeya kaja apa mjini dar anasema mbeya mji wa wafanya kazi maana ajaona fulsa yoyote,kama unavyo jua mbeya hata kwa buku mbili unaishi siku mzima,sasa yeye ni dereva wa...
3 Reactions
9 Replies
524 Views
Husika na kichwa Cha habari hapo juu. Hivi Kwa mtandao kama ebay, Alibaba, Amazon. Tunaweza kufanya hii kitu?.
1 Reactions
9 Replies
566 Views
Wasalaam. Title yajieleza. Tsh 5M nataka kuizalisha. Nawaza hizo ideas mbili, aidha (a) Kufungua Uwakala wa Bank ama (b) Kununua Toyota probox (mkononi mwa mtu) na kuipeleka route za vijijini...
9 Reactions
121 Replies
12K Views
Mimi ni mfanyabiashara wa kawaida elimu ya kawaida sana. Nahitaji msomi mwenye shahada ya chuo kikuu business administration ili nisonge mbele kwa biashara zangu na ushauri. Aliye tayari anitafute...
3 Reactions
5 Replies
403 Views
Wakuu kwa mtu yeyote mwenye ujuzi kuhusu biashara hii hasa samaki wa maji baridi huko Dodoma. Soko lake vipi lina upinzani mkubwa? Mimi niko Mbeya. Nawasilisha kwa salamu na shukrani kwenu...
0 Reactions
471 Replies
185K Views
Back
Top Bottom