Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari wakuu, Kiukweli kwenye haya maisha sio lazima ufundishwe kila kitu. Kuna wakati unafika unajaribu kupambana na kulifanya jambo fulani ndipo unakuja kujua mtu mwenye mafanikio ni wa...
38 Reactions
203 Replies
12K Views
Nataka nyumba ikiwa imekamilika nihamie tu. Nyumba iwe kubwa na ushuwani.
5 Reactions
35 Replies
943 Views
Habari wanaJF, Natumaini mnaendelea vizuri. Leo nimekuja kibiashara zaidi. Kuna tenda mezani. Zinahitajika: Pumba za Mahindi (Tani 74) Mashudu ya Alizeti (Tani 22) Hii ni tenda endelevu...
0 Reactions
5 Replies
177 Views
Salute! Nimefurahi sana kurudi tena JF baada ya kukatika kwa muda kiasi. Wengi mlinizoea kule 'Jamii Intelligence' na thread zangu za kusisimua za 'money hunters', na nilitoa ahadi ya kuwaonesha...
364 Reactions
927 Replies
208K Views
Nina gunia elfu moja za mpunga. Zenye ujazo wa debe 7, asilimia kubwa ya mpunga huo ni kalamata. Bei ya gunia ni laki moja na elfu kumi. (110,000/=) Eneo ni Tabora mjini. Namba ya simu...
5 Reactions
22 Replies
566 Views
Disclaimer (cha kuzingatia): This is not a get rich quick scheme (hauto tajirika ghafla ndani ya masaa au siku kadhaa), imenichukua mwaka kufikia wakati ambapo naweza pata faida ya millioni moja...
167 Reactions
414 Replies
147K Views
Jinsi Ninavyopata wateja wa kazi za freelancing. Hizi njia ukiweza kuzitumia zitakupa matokeo ndaninya miezi mitatu. Pia unaweza kuzitumia kwenye biashara yoyote Kwanza kabisa wateja wa uhakika...
0 Reactions
0 Replies
55 Views
Wakuu nina mpango wa kufungua maabara yangu je nitegemee kupata faida gani Kwa siku?
0 Reactions
0 Replies
9 Views
Mafunzo ya Ujasiriamali na Uendeshaji wa Biashara Kimataifa kwa Wanadiaspora wa Visiwa vya Comoro Mgeni Rasmi: Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika...
1 Reactions
5 Replies
116 Views
Habari wana JF. Thread hii inahusu KARIAKOO. Kwanza kabisa naomba nianze Kwa taarifa kutoka EACLC UBUNGO. "Uongozi wa kituo Cha biashara Cha kimataifa Ubungo umetangaza Kodi ya duka EACLC...
14 Reactions
79 Replies
2K Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Habari zenu wapendwa kwa Tanzania kwa sasa ni biashara gani. Ukiifanya inaweza kukufanya kuwa millionaire au billionaire?🙏
12 Reactions
83 Replies
3K Views
Habari za mda huu wa kuu.kichwa cha somo chahusika.Ninatarajia kufungua kiwanda kidogo kwa ajili ya usafishaji wa mafuta ya kupikia hivyo ninahitaji kemikali muhimu katika shughuli hii.Mafuta...
6 Reactions
33 Replies
488 Views
Je, Tuendelee kuamini kuwa future zetu zimebebwa na misingi wa Ajira?? Na hatutakiwi kuamini katika kufungua fahamu zetu juu ya kujifunza na kubadili mwelekeo??
4 Reactions
8 Replies
240 Views
Unatafuta njia ya kubadilisha ujuzi wako kuwa pesa? kupitia Ujuzi wa graphics design unaweza kupata kipato online. Kama umewahi kufikiria jinsi ya kufanya kazi unayoipenda, ukiwa na uhuru wa...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Mwezi wa 5, 2023... Nilikuwa napitia mahojiano moja ya mjasiriamali bilionea kutoka Lagos, Nigeria, aitwaye: "Tony Elumelu" Alikuwa akieleza jinsi anavyotengeneza faida kubwa bila kutumia pesa...
4 Reactions
15 Replies
726 Views
Wakuu kwema, kuna mahala nimetembelea kwenye page ya mtu x hua anajinasibu kwa kusaidia watu pesa, ukipita kwenye comment section unaweza kuona ni kwa kiasi gani watu Wana matatizo, huyu kaeleza...
0 Reactions
2 Replies
96 Views
Habari za kwenu wadau. Naomba mnisaidie kujua ni sehemu gani naweza nikapta mafuta ya Mise kwa bei nafuu Nawakilisha kwenu. Mimi nipo Dar es salaam.
0 Reactions
1 Replies
67 Views
Yaani Kuna watu akili kama zimepungua kichwani hivi unanunua bajaji milion 10 halafu unampa mtu mmoja awe anapiga deiwaka anakuletea 20k Kila siku na risk za kutosha hii ni akili Gani yaani hela...
54 Reactions
346 Replies
18K Views
Back
Top Bottom