Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

**"Karibu kwenye fursa ya kipekee ya uwekezaji! Uwekezaji katika cocoa, korosho, iliki, na mbaazi ni njia bora ya kujenga mali yako. Pata faida ya hadi 15% kwa mwezi kwa kuwekeza katika sekta hii...
1 Reactions
7 Replies
252 Views
Pesa nyingi ninazopata kwenye Freelancing zianaishia kuwalipa vijana wanaonisaidia kufanya kazi. Hii level inaitwa dropservicing Nitakuelekeza mambo muhimu ya kuzingatia ili uweze kufanya...
3 Reactions
6 Replies
211 Views
Nimeshangaa sana watu wanakula faida 25% kwa mwaka tofauti na hapa bongo kubwa ni 15% huku wengi wakiishia 12% Kulikoni wadau,
6 Reactions
61 Replies
2K Views
Habari wakuu, ninaweza kupata wapi breaching earth - bentonite clay minerals kwa ajili ya matumizi ya ku refine mafuta ya kupikia hapa Tanzania? Nina mini scale refinery machine Mbeya
2 Reactions
1 Replies
165 Views
Umewahi kujiuliza kwanini viwanda havitengenezi Product za kudumu? Yani mfano zitengenezwe tairi za magari zisizoisha. Dawa ya meno inayozuia kabisa meno yasiharibike. Kiwanda cha nguo...
1 Reactions
0 Replies
102 Views
habar za mda huu wadau wote wa sekita ya madini Kama nilivyotangulia kusema hapo juu nahitaji muwekezaji katika uchimbaji wa dhahabu mkoan singida nina lesen pml kuna maduara tayar udhalishaji ni...
1 Reactions
1 Replies
120 Views
Hello waungwana wa jamiiforums Naitwa, Davidmmarista. Mimi ni kijana mjasiriamali, programmer, na mkulima. Hii ni stori yangu ya mafanikio katika biashara ya chakula, na jinsi nilivyoweza kufikia...
26 Reactions
66 Replies
2K Views
Bee network will be launched this year being established in 2020, mining every 24 hours the same as pi currency Bee network will be the best network in the world Bee Network is the world's...
3 Reactions
58 Replies
589 Views
Nashukuru kwa makaribisho mazuri.! Naomba moja kwa moja niende kwenye mada husika. Naamini asilimia kubwa pengine tupo katika biashara either iwe kubwa au wastani au ndogo. Sasa najua wengi wetu...
12 Reactions
129 Replies
17K Views
Habari za asubuhi wana jukwaa. Ni matumaini yangu kuwa mko wazima bukheri. Kama kichwa cha mada hapo juu, naomba kuuliza kuhusu uwekezaji kwenye Hati fungani na UTT Amis. Swali langu ni...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Ndugu za nazani mko poa ..jamani ndoto yangu nataka niwe na ofisi yangu ya maswala ya umeme yaani kurepair na wiring kusuka mota na mengineyo ila sasa nahofia kama itanilipa kweli .....sasa kama...
6 Reactions
9 Replies
208 Views
Nauza Mitsubishi Outlander ya 2009, bei ni Mil 18. Niliagiza ikiwa na Km 132,000 (Genuine) sasahivi ina km 150,000 kwahiyo nimeitembelea Km 18,000 tu. Haina shida yoyote kwenye engine, gearbox...
3 Reactions
18 Replies
639 Views
Sadick Mtulya MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (Cag), Ludovick Utouh amesema kuwa upo uwezekano wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kufilisika baada ya kubaini kuwa kila...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu Wana jamvi? Matumaini mko poa kabisa. Ndugu zangu naomba mwenye uzoefu na mkoa wa Iringa niko na mtaji wa sh. Mil 5 nataka kufanya biashara lakini Hadi muda huu sijui ni biashara...
2 Reactions
9 Replies
372 Views
Habari, Karibu ujipatie matairi Kwa bei za kizalendo kabisa, Matairi ya magari makubwa pamoja na magari madogo yote yanapatikana. Tunauza matairi ya brands mbalimbali na size zote. Location...
0 Reactions
0 Replies
61 Views
Leo jumatano ya tarehe 31 Julai 2024, ni siku ya mnada wa Hatifungani ya miaka 20 yenye riba ya 15.49% kwa mwaka. Kwa watakao shinda katika mnada huu watakuwa na dhamana ya miaka 20 kama...
11 Reactions
71 Replies
3K Views
Biashara ambazo unaweza kuanzisha bila FREMU na jinsi ya kuzianzisha! Maisha ni magumu, na najua kuna wakati unatamani kufanya biashara, lakini ukijiangalia, mtaji ulionao ni mdogo, hivyo huwezi...
6 Reactions
16 Replies
1K Views
Katika pitapita zangu sijaona thread mahususi yenye idea mbalimbali za biashara ama uwekezaji itakayoweza kuwasaidia wenye mtaji mikubwa kuanzia Milioni 100 hadi 500 kuanzisha biashara...
7 Reactions
118 Replies
4K Views
Nini manitiki ya wakala mdogo wa pesa anayeanza biadhara kuwa attached.ana.wakala mkuu na.pesa akipata anapunjwa anagawana.na.wakaala.mkuu. Kazi ya.msingi.ya.wakala.mkuu.ni.nini.kwenye...
3 Reactions
17 Replies
468 Views
Habari wana JF it's another beautiful day. Thread hii inahusu kariakoo, Kuna watu wanahitaji/tamani kufanya biashara Kariakoo lakini wanahofia bei za fremu lakini pia hawajui wanaanzia wapi...
5 Reactions
19 Replies
396 Views
Back
Top Bottom