Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Hivi kuna mtu humu hafanyi mining ya PI ? Tafadhali chukua link hiyo mapema Mambo ya kutekana tekana baadae mgodi ukishatema sisi hatutaki wakati link ya bure ulipewa Pi Network - Home...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wazee chukulia nina billion 5 kutoka kwenye biashara zangu mbalimbali. Nimeona tangazo la UTT Amis kwamba wanagawa gawio zuri kwa mwaka ndio nikataka kuwauliza nyie rafiki zangu wa humu...
3 Reactions
38 Replies
2K Views
Wakuu nime-estimate matumizi ya familia yangu, bills na msosi kwa mwezi jumla yake ni 250k. Je mfuko gani UTT unaoweza kunipa fixed commission ya 250k kwa mwezi?
21 Reactions
344 Replies
45K Views
Njia Kumi za Kumkwamua Kijana wa Kitanzania Kiuchumi/Biashara Ili kumkwamua kijana wa Kitanzania kiuchumi na kibiashara, kuna njia kadhaa ambazo zinaweza kuchukuliwa. Kila njia ina mifano yake...
1 Reactions
5 Replies
303 Views
Habari Wana JF; Nahitaji kufanya biashara ya kuuza mbao changamoto niliyonayo ni mtaji wangu mdogo je naweza kupata mkulima wa mbao wa kushirikiana nae? au mtu mwenye mtaji na nitakuwa nasimamia...
1 Reactions
15 Replies
476 Views
Wadau wa JF, habari zenu? Katika hali ya sasa ambapo bei za mazao hubadilika mara kwa mara, ni muhimu kujua mwenendo wa soko ili kufanya maamuzi sahihi ya biashara na ununuzi. Leo tunajadili bei...
5 Reactions
34 Replies
706 Views
Nimekuja hapa Ili kupata ushauri na changamoto ya biashara hii kwa kijana wa kiume, pia chimbo nzuri la kupata bidhaa hii kwa Bei poa kabsa na mtaji wangu ni 200,000 tu. Ushauri wenu muhimu hasa...
8 Reactions
35 Replies
1K Views
Habarini wadau .Kama mnavyo fahamu katika harakati za maisha kuna watu wana idea za biashara na kuna watu wana pesa.Hivyo napenda kualika wote wenye mawazo ya kibiashara chini ya million tano njoo...
7 Reactions
20 Replies
286 Views
Habari za mda huu wana JF nimejichanga hatimaye nimefanikiwa kufikisha 8m cash binafsi nimewaza vitu viwili kichwani chakwanza nifungue duka la spea za magari au pikipiki na akili nyingine...
10 Reactions
59 Replies
11K Views
Mpendwa Mwekezaji . Je Unapenda Kuwa sehemu ya mgawao Wa Tsh 550.8bn?? M Kama Jibu ni Ndio Basi soma hii Hadi mwisho . Benki ya Crdb plc Kupitia report yake ya Fedha imetengeneza Faida ya Tsh...
3 Reactions
11 Replies
881 Views
Waungwana naomba yeyote mwenye wazo la biashara Kwa MTAJI wa laki tano
5 Reactions
30 Replies
2K Views
Wakuu nilikuwa nataka ninunue hii mikeka mbao (SPC Flooring) kwa ajili ya nyumbani kwangu ila kwenye mchakato ndo nikaona mbona hii kitu inataka kuwa fursa ya biashara? Hii PVC flooring...
4 Reactions
27 Replies
466 Views
Forex Trading, Aviator Online Gaming (Kindege) na Betting ni vitu tofauti lakini concept na outcomes zake ni kutengeneza au kupoteza pesa. Ni psychological game ambayo inafanya kazi. Kwa kutumia...
1 Reactions
10 Replies
368 Views
Habari Ndugu zangu nilikuwa nahitaji kufanya biashara katika jiji la mwanza mtaji nilionao ni sh laki tano 500,000/= Nilikuwa naomba ushauri wakimawazo ili niweze kujiajiri kwa hiyo pesa
2 Reactions
19 Replies
608 Views
Habari wana JamiiForums, kwa bahati mbaya au nzuri, mambo mengi ambayo naandika au natamani kushare humu yashaongelewa tayari , na hata hii kitu ambayo naandika saa hivi. Freelancing. Though...
32 Reactions
61 Replies
9K Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
MBUNGE wa Jimbo la Chato mkoani Geita, Mhe. Dkt. Medard Kalemani ameomba mamlaka zinazohusika kutoa ufafanuzi wa kile kilichopelekea ndege za abiria kuacha kutua uwanja wa ndege wa Chato. Dkt...
0 Reactions
Replies
Views
Habarini wana Jamii forum wenzangu! Natumaini hamajambo ,karibuni tujifunze kwa maendeleo yetu na taifa letu. Naleta kwako andiko hili kwa ufupi na kwa kina kujenga uelewa kwa maendeleo endelevu...
17 Reactions
27 Replies
11K Views
Back
Top Bottom