Kwema ndugu,,,,leo naomba kuuliza n banks zipi ambazo zinatoa machine za uwakala kwa kuangalia mambo yafuatayo;
1. Gharama za kupata machine
2. Vigezo vya kupata machine mfano leseni ya...
Wakubwa nawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!
Nmekuja hapa kuuliza kwenu juu ya hii kitu inayoitwa DELASKA AGENCY naona watu wanavuna pesa; je uhalisia upoje?
Naona pia...
Salaam wakuu, niende kwenye tatizo langu. Kwenye harakati zangu zakujenga nchi, juzi tar23 may nikafanikiwa kulipwa na bosi wangu ujira unaotokana na jasho langu.
Nilipanga kufanya matumizi...
MKATABA MZURI HUWA NA HAYA:
( a ) Lazima uwe na majina ya wahusika ambayo yatakuwa yameandikwa kwa urefu na kwa kueleweka.Mfano jina liwe Paschal Mayenge Archard. Epuka kuandika vifupi mfano P.M...
Jamani mwenye uelewa juu ya hii KAZI ya kusajili lain,na maslah yake inakuaje.
Naombeni mnisaidie.kwa kunipa ushauri, natamani nifanye hii KAZI,
Mm ni mdogo enu nisaidieni Kwa ushauri na...
ACCOUNTING CONCEPTS
Hizi ni sheria ambazo hutumika katika kutengeneza ripoti za kiuhasibu na kutunza mahesabu ya kibiashara.
Kila kitu kina imani yake, hizi concepts ni kama imani zinazoongoza...
Wasalaam,
Naomba msaada kwa anayefahamu.
Ninataka kununua gari kutoka kwa mfanyakazi wa Ubalozi hapa Tanzania. Gari limesajiliwa kwa namba za kibalozi T---CD---. naamini huwa magari haya...
Naomba kufahamishwa mbinu na hatua ninazoweza kukata ili kuanzisha Kituo cha Ushauri wa Biashara,ujasiriamali na mauzo
(Business,entrepreneurship& Sales consultant)
Watu wengi wamekuwa wakisikia nje ya mipaka ya Tanzania kuna soko kubwa la bidhaa mbali mbali zinazozalishwa nchini Tanzania lakini hawajui nini cha kufanya ili kupata wanunuzi walio nje ya...
Habari JF.
Kama kuna mtu yeyote ana Degree, Master au hata PHD ya uchumi naomba tuwasiliane.
Lakini pia kama mtu yeyote ana uelewa juu ya masuala mbalimbali ya uchumi naomba anitafute PM...
Watu wengi nimekuwa nikisoma thread zao humu kuhusiana na cryptocurrency, METAVERSE na NFT
Nimegundua vitu vifuatavyo
1. Watu wengi wamepitia changamoto nyingi sana katika utafutaji wao hasa...
Salute every body.
Ni swali kwa members wote. Ni lini ulifanikiwa kutengeneza/kuingiza/kupata Milioni kumi yako (ya kwanza kabisa)?
Ilikuwaje? Ulitumia muda gani? Shughuli gani ilikupa kiasi...
Habari ya wakati huu wanajamvi!
Leo nimeona vema niwaletee mezani mada hii.
Katika harakati za kupambana na Maisha kama kijana pia mwenye kiu ya kufanikiwa nilikutana na jamaa mmoja mwenye...
Tokea niipate hi tokea kwa Ontario nakomaa nayo. Ningependa tujuane ambayo bado hatujakata tamaa pia tunajua kuwa yafuatayo :
1- Ussain Bolt alikimbia chini ya dakika mbili ila ndani ya huo muda...
Ndugu wadau,Kuna muda nilikuwa nafatilia Mada za Antorio kuhusu Forex. Nakumbuka kunakipindi nilikuwa nje ya JF kwa muda wa miezi 3 nikakuta Uzi wa Antorio Una maelfu ya wachangiaji lakini...
Bandugu fursa nyingine hiyo mtaji mdogo tu kama m2 ivi, especially kwa wale wa mikoani, tafuta sehemu yako yenye marisho mazuri, nunua ng'ombe hata watano kwa lak 2 au 3 , walishe vizuri uza baada...
Habari zenu wana JF
Nahitaji kujua wapi nitapata Tank za kuhifadhia maji masafi
Aina ya Tank, gharama zake, na litter ngapi za maji kwa Tank.
Asanteni!
Rais wetu mpendwa mama Samia ametoa agizo kwa BOT ianze mchakato wa kuruhusu Sarafu za mtandaoni zinazojulikana kama Crypto-Currency au virtual money zianze kutumika.
Wakati kuna baadhi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.