Habari wakuu.
Nimekuja kwenu kuomba msaada wa nauli ya ndege kutoka bukoba kuja dar (one way)
Ieleweke kwamba Mimi sijawai panda ndege, kuna binti nahishi naye sasa alipata ujauzito ikabidi...
Nipo njia panda mpaka sasa, mwakani namaliza chuo home hali sio nzuri, nawaza nikatafute mtaji chuoni kwa kujishughulisha na chochote kitu. Naomba ushauri wa biashara nzuri.
Mawazo yenu yana...
BENKI ya NMB imezindua huduma mpya ya Pesa Fasta itakayomuwezesha mteja kuchukua fedha kwenye mashine za NMB popote bila kuwa na kadi wala akaunti.
Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Mark...
Habari wadau,
Naombeni ushauri na elimu juu ya Brokers wa DSE.
• Je, ni vigezo gani naweza kutumia kutambua ubora wa Broker.
• Kama uliwahi kushiriki katika soko la DSE je, ulitumia Broker gani...
Habari Wana JF,
Naomba kuuliza hivi kutoka Dar es salaam Hadi Bukoba kwa IT zile zinazopatikana chang'ombe ni bei gani?
Mana Mabasi ni 80000/= aisee.
Kwa anaefahamu rakini pia kama Kuna mtu...
Tanzania hit 62B in year 2021/2022 !!
Hii ni Economic GDP ya nchi hii tanzania
Iko nyuma ya Kenya na Ethiopia lakini ni kubwa zaidi ya Sudan kusini,Rwanda,Burundi na Uganda!!!.,
Hizi billlion 62...
Kikao cha Wanahisa wa CRDB kimefanyika siku za karibuni na mimi kama Mwanahisa sijaona gawio la mwaka huu unaotokana na uwekezaji tuliouwekeza kwenye Benki hii.
Wenzao NMB katika kikao chao cha...
Wakuu nimepata taarifa sehemu kuhusu L-Pesa Microfinance mahali. Sasa nimeleta kwenu kwa anayeifahamu atupe ukweli wake maana yake inaonekana hela zao zipo nje nje ili na sisi tuache kuishi kama...
Opec jana walitanganza kwamba crisis ya mafuta ya sasa itakua kubwa hata kuliko ya miaka ya 70s kwasbb yasasa driving factors ni nyingi ukilinganisha na miaka ya 70s.
Mama Raisi wetu jana...
Habar zenu wakuu, natumai wote muko imara na mnazidi kupambana na hali zenu katika hii awamu ambayo Malaika tunawaona wakiishi kama Mashetani
Bila kupoteza mda leo nina suali nahitaji mawazo au...
Hafla ya kukabidhi Kituo cha Kimataifa cha Mikutano kilichojengwa kwa ufadhili wa China imefanyika jana katika mji mkuu wa Zambia, Lusaka..
Akizungumza kwenye hafla hiyo, Rais wa Zambia Hakainde...
Wakuu tafadhali mwenye kujua ABC about shiba coin namna ya kuji-regist; kununua...nimevutiwa na aina hii ya uwekezaji wa pesa ya kidigtal
Mwenye kujua steps by steps tafathali anielekeze, niko...
Tovuti maarufu zaidi duniani ya CNN Travel imechapisha na kulitaji jiji la Arusha toka Tanzania kuwa ni miongoni mwa Majiji kumi tu ( 10 ) duniani yanayoboresha zaidi huduma za kitali mwaka baada...
Habari wana jamvi, natumai mko sawa. Ni mwaka mpya na kesho tutakuwa tunaingia February na ningependa kutoa ujumbe mfupi kwa bloggers watanzania, maana mambo yanabadirika kwa kasi, na ni vyema...
Coin ya Tera Luna imepanda thamani kwa zaidi ya mara elfu moja ndani ya saa 24 baada ya kuporomoka kwa speed. Hii ni sawa na kusema kama jana ulinunua coin hiyo ilipokuwa bei ya chini kabisa kwa...
Nchi ina ardhi yenye rutuba?
Rasilimali watu?
wasomi?
Zao la arizeti linakubali?
Mawese yanakubali?
Nazi zinakubali?
Karanga zinakubali?
Ufuta nao unakubali?
Haya n mafuta ya mimea bas kama hayo...
RECISION AIR ANNOUNCES DAILY FLIGHTS TO MBEYA
When on the 16th of January Precision Air, Tanzanias premier airline, launched their flights to Mbeyas revamped Songwe Airport, they cautiously...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.