Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kama kuna mtu anaweza kunisaidoa jinsi ya kupata bidhaa za supermarket saada, Nilikuwa nahitaji kuaanza hii biashara kwa kutafuta tenda katika supermarket. 0678 36 77 07
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanabodi, Nilihudhuria hii eventi Mshindi wa kwanza wa shindano la “STARTUPPER OF THE YEAR CHALLENGE BY TOTALENERGIES, Innocent Sule (mwenye Rasta ambaye picha yake pia inaonekana ukutani) wa...
1 Reactions
0 Replies
824 Views
Habari Wakubwa, Mimi ni Kijana ambae nimeamua kuanza kujiajiri,nimefanikiwa kupata hela ya kununua bodaboda boxer ambayo nitaendesha mwenyewe. Naombeni ushauri wowote Au namna ya kuendesha...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu wangu? Natumaini ni wazima na mnaendelea na majukumu yetu ya kila siku. Mada kuu ni kama unavyo isoma hapo Teknology kwa maisha ya sasa imekuwa sana, kiasi kwamba hakuna Taifa...
3 Reactions
7 Replies
845 Views
Kipindi cha corona China kila kitu kilisimama na hali ilikua tete sana na biashara nyingi zilikwama. Na kwa upande wa aliexpress na alibaba na aliexpress pia biashara zilikwama kabisa kukawa...
3 Reactions
58 Replies
8K Views
Naomba kujuzwa kuhusu izi gharama za uagizaji befoward ndio izo zinazoonekana kwenye bidhaa pekee au itaghalimu pesa nyingine adi ndinga inaingia mkononi nisije kuagiza kichwakichwa ikaozea bandarini.
1 Reactions
6 Replies
690 Views
Kama mada Inaavyojieleza nia yangu nikuona kama gesi yetu inaweza kutupunguzia makali kiasi gani kulinganisha na nishati ya mafuta. Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
1 Reactions
7 Replies
826 Views
Baada ya kesho kua natakiwa kusafiri ningependa mchango wako wa mawazo katika hili! Majuzi nimeongea na wateja wanne jana wamekuja wawili mmoja alipowaona akaahidi atafika Leo asubui kuwachukua...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Viwanja Bei zake ni kama zinavoonekana kwenye Tangazo letu wadau. Maongezi pia yapo Wasiliana nasi 0620175964
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari JF? Naomba tufahamishane kuhusu hili suala? Mfano nimekopa Sh laki 5 pale NMB branch Ya Igoma, baadae nikashindwa kurejesha mkopo wao wakaja wakabeba dhamana. Je, Taarifa zangu za...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Habarini, Mimi nahitaji samaki aina ya sato tani 2 kila week biashar endelevu nipo Dar, samaki wa kufugwa uzito kuanzia gram 350, 400 mpaka Kg.
0 Reactions
1 Replies
673 Views
Habari wadau puppy pure german shepherd yupo sokoni ana umri wa miezi 4 amepata chanjo zote. Naweka picha za zake na wazazi wake. Kwa mawasiliano zaidi WhatsApp au piga 0744-914337.
0 Reactions
1 Replies
590 Views
Wakuu habari hivi gharama za kibali cha maliasili kusafirisha mzigo kutoka Morogoro kwenda Dar inakuaje?
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wanajamvi habarini ya mchana wa Leo, samahani nauliza mwenye ufahamu au kujua hii Biashara maana nimekuwa nikikutana nayo mara kwa mara,ni jana tu nikakutana na stori ya tajiri mmoja hapa Tabzania...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Naomba msaada kwa anaejua office za kikuu zilipo kwa hapa Dar es salaam Tz
0 Reactions
5 Replies
1K Views
1. Dhahabu - dhahabu kilo moja thamani yake ni zaidi ya shilingi milioni 100 za kitanzania. Dhahabu haiwezi kushuka thamani kwasababu i) haipatikani kiurahisi ii) ina matumizi mengi iii) ipo tangu...
16 Reactions
48 Replies
8K Views
Siku hizi watu wengi sana kinachowakwamisha sio kwamba hawana mitaji, wengi mitaji wanayo ila shida ni 1 tu inakuja kwenye suala la fremu wapi atapata pesa ya pango la chumba cha yeye kufanya...
48 Reactions
79 Replies
24K Views
Ndugu zangu wana JF, Nina plan kuwa na safari ya kwenda Marekani ( New York ) by November mwaka huu ni safari ya kawaida tu just tour kwa wiki moja, lakini ndio itakuwa safari yangu ya kwanza...
8 Reactions
77 Replies
11K Views
Picha inaongea yenyewe. Wavaa tai wapo wengi sana.
1 Reactions
8 Replies
726 Views
Natumai wote mnaendelea poa na miangaiko ya hapa na pale. Wataalam wa mambo wanasema umri wa kufanya makosa na kujifunza vitu mbali mbali ni ule ambao bado mtu yupo kijana maana ni umri ambao...
145 Reactions
208 Replies
33K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…