STATIONERY YA NDANI YA GHETO/HOSTEL
Nguvu ya hii biashara
1.tationery nyingi hufugwa mida ya saa moja jioni hivyo hakunaga mbadala, nguvu yako hapa ni kwamba wewe muda wowote ambao upo chumbani...
Nineajiriwa kwenye shirika moja la serikali ambalo tunahudumia wafanya biashara kadha na kadha, nipp lwenye kitengo cha accounts kwa hio wengi wao najua hali zao kwenye faida, madeni, sales, n.k...
Kwa nini mawakala wa kutuma hela hawatoi risiti kwa mtumaji una ambiwa tu tayari imeenda.
Au huyu mtumaji yeye siyo mteja na hana maana kabisa ila mteja ni yule anayepokea hela kwa sababu huyo...
Wakati mwingine unaweza kuweka mipango ya kukamilisha kazi fulani ndani ya muda fulani na ukawa na hamasa ya kuhakikisha kazi hiyo inaisha hata kabla ya huo muda uliopanga kufika, yaani uiwaishe...
Kwakweli naomba niseme tu SIMBANKIG Mobile Application ya CRDB,imekosa mvuto kulinganisha na ya washindani wao wakubwa wa kibiashara ingawa mtu unapata huduma unayohitaji kupitia hiyo App.
Kwa...
Kumekuwa na ongezeko la uchukuaji wa mkopo kutoka taasisi mbalimbali lakini bado kusimama kiuchumi bila utegemezi wa mkopo umeshindikana.
Matarajio ya wengi katika mkopo ni kurudisha mkopo kwa...
Wakuu habari zenu,
Nimeanza jana kujaribu kusajili Jina la biashara kwa mfumo wa Brela ORS. Nimejisajili vizuri tu ili kuendelea na hatua inayofata, sasa shida ndio imeanzia hapo..
Kila...
Habari zenu
Jamani Mimi ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu, nilikua naomba kujua ni process gani zinahitajika kusajili laini za uwakala wa halopesa na mitandao mingine na bei yake mana nilikua nataka...
Na Caroline Nassoro
Mkutano wa mwaka huu wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) unatarajiwa kufanyika mjini Dakar, Senegal, kuanzia tarehe 29 hadi 30 Novemba, mwaka huu...
Hivi huwa najiuliza;inawezekana ikafika mahala watu wote wakawa sawa kiuchumi?
Maana yangu ni kwamba, je kuna uwezekano wa wananchi wote kuwa Matajiri (bila kuwepo maskni wa kipato) na maisha...
Habari wana JF!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Natafuta mtu wa kuja kuwekeza Milioni 2.5 tu katika biashara ya kusaga na kukoboa mahindi pamoja na kuuza viroba vya sembe na...
Salam wakuu,
Bila kupoteza muda naomba kuuliza kwa wazoefu vitu vya msingi unavyopaswa kuwa navyo pindi unapotaka kuanzisha biashara ya car wash. Vichache naelewa ni:
Pressure washer
Vacuum...
Nawaona ndugu zetu hawa wa jamii ya Kikinga katika mikutano yao ya pamoja ya kimkakati juu ya jinsi gani watafanya biashara ambayo itawaletea utajirisho mkubwa katika vikao vyao mbalimbali sehemu...
Salaam kwenu wote
Kama kichwa kinavojieleza, ni biashara gani mtu alie buzy anaweza fanya? Karibuni kwa mawazo tushee experience zinaweza saidia na wengine pia
Hello wajuvi na wajuzi, watoto wa mjini, watoto wa kariako, mlio invest kariakoo..etc
Nafikiria kupata frem na kufanya biashara ya mikoba, viatu..etc
Siku zote katika kila jambo kuna pande...
Habarini wapendwa nina wazo kwa wale vijana wenye nia ya kuthubutu na wenye mawazo au biashara au wamejiajiri tukutane na tuunde kikundi.
Lengo la kikundi kwenda kupata Mkopo wa Halmashauri...
Kama uliwahi kuweka vocha kwenye simu yako alafu ukakuta ile hela uliyoweka haipo na wala hujaitumia, ulishawahi jiuliza inaenda wapi nini kifanyike ili kuzuia wizi wa namna, nini kinafanyika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.