Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Wakuu habari zenu, Nauliza kua ni wapi naweza pata orodha ya patents rights ambazo zimeshatolewa bongo mpaka siku ya leo. Nawasilisha
0 Reactions
4 Replies
899 Views
Mimi in kijana wa kiume umri miaka 26 na ni mkazi was Dar es salaam elimu yangu ni kidato cha sita nimeshindwa kuendelea na elimu ya juu kutokana na ukata unaoikumba familia. Sina mtoto na bado...
17 Reactions
99 Replies
13K Views
Habari wana JF Kila siku najiuliza bila kupa majibu. Hivi soko la Dunia lipo nchi gani? Kama kuna mtu anjua lilipo anifahamishe Maana ni muda najiuliza bila kupata majibu ==== Majibu...
4 Reactions
41 Replies
10K Views
Amin amin nakwambia.. 1. Restaurant ndogo ndogo zile nzuri 2. Vigenge genge vile vizuri vzuri unakuta mtu nyanya ana pack vizuri kwenye vifuko. Sasa mswahili hata awe na hela vipi ataacha hivyo...
16 Reactions
21 Replies
2K Views
Ndugu, habari za wakati huu. Bila kupoteza muda ningependa kuomba msaada kwa yeyote mwenye uelewa juu ya zile mashine ambazo zinatumiwa kwa ajili ya kubeti mfano, premier bet, pm bet n.k Naomba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Uzi huu unalenga kuwasaidia vijana ambao hawajui wapite wapi na wapi ili wafikie ndoto zao, jieleze kwa kina toka mwanzo ulipoanza haso zako, kipindi ambacho ulikuwa huna hata pesa ya kula, haso...
8 Reactions
40 Replies
4K Views
Wakuu heshima kwenu, kwa muda sasa toka Corona ianze nimekuwa nasafiri na kibaby walker changu popote ninapoenda and huwa nasafiri mikoa mbalimbali hapa TZ Bara na kila mkoa lazima nisimame kuweka...
3 Reactions
24 Replies
4K Views
Habari wadau! Utani utani bitcoin sasa imefikia bei ya juu zaidi kuwahi kuonekana tokea imeanza mwaka 2009! Kwa sasa bitcoin moja ni USD 66,000 sawa na TZS 153 milion! Najaribu kuwaza kama mtu...
6 Reactions
79 Replies
7K Views
Habari za mchana ndugu wana JF Nilikuwa napenda kuuliza kuhusiana na gharama za mashamba ya miti ya mbao kwa mikoa ya Iringa na Njomba hekari moja yenye miti yenye umri wa miaka mitatu mpaka...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Hello nifanye biashara gani, lengo langu nipate angalau laki moja kila siku. Binafsi napenda saloon ya kike lakini sina uhakika kama nitaingiza laki moja kwa siku. Naomba Ushauri wenu tafadhali.
8 Reactions
139 Replies
18K Views
Wadau za jioni, Mimi ni kijana mwenye miaka 32, niko Kijijini. Nimemake kiasi cha Tsh. milioni 1 nataka kufungua duka la vifaa vya pikipiki huku huku kijijini ila sijui kama fedha hizo zitatosha...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari za muda huu wapendwa, hope mko poa kabisa. Guys nina 3m nawaza nifanye biashara gani tho professional yangu ni photography ila naona kama hii pesa 3M ni haitoshi kwa mtaji wa studio nadhan...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Nafikiri kuhanzisha hospital ya dawa za asili Yaani kutibu kwa dawa za asili. Maana Kuna magonjwa mengi Ambayo yanashindikana kutibiwa hospitali kabisa na wanawaza kabisa kukupa dawa Lakini...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
MKUU WA WILAYA WA TEMEKE MHE JOKATE MWEGELO AJA NA TEMEKE GULIO - SOKO LA MAKANGARAWE LAKAMILIKA Rasmi sasa Tarehe 19/11/2021 ndani ya Soko Letu La Makangarawe WanaTemeke tunaenda kuandika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau wa jukwaa la biashara, Leo nahitaji kufahamu bei ya Silver na Gold kwa maduka ya Dar na ni duka gani zuri kwaajili ya kuuza au kununua bidhaa hizo kama vile cheni, pete n.k Asante
3 Reactions
4 Replies
4K Views
Wana bodi mimi ni mgeni katika sawala madini kuna Mzee wangu ameniomba nimuulizie haya ni madini aina gani na thamani yake kama kuna mjuzi atujuze.
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari wana JF, Kesho nataka kwenda Ilala wanapopoint mitumba asubuhi, naomba kuelekezwa ni Ilala ya boma au hii ya amana hospital, natokea Gongo la mboto. Asanteni [emoji122]
0 Reactions
2 Replies
778 Views
Katika kipindi cha mwaka 2001-2010 pato halisi la Tanzania(GDP) limeonyesha kiwango cha wastani wa kukua cha 7%. Ukuaji ulishuka mwaka 2009 na kuwa 6.0%, hasa kutokana na kudorora sana kwa ukuaji...
3 Reactions
5 Replies
976 Views
Nimeona katika data za bank ya dunia kwenye Google kwamba GDP ya Tanzania kwa 2020 Ni dollar 62.41 billion..sikuzingatia Sana shuleni mambo ya accountant na finance au pengine nimesahau maana...
1 Reactions
11 Replies
984 Views
Habari za wakati huu, Wakubwa shikamoo, wadogo zangu marahaba, wale wa rika langu good morning. Nimejifunza sana kuhusu pesa za kidijitali, hivyo nimeona sasa ndio wakati wa kuanza rasmi...
4 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom