Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Habarini wakuu.Kuna Semina kwa ajili yetu sote.Ni vema kuwa na uelewa wa fedha na uwekezaji.
1 Reactions
3 Replies
951 Views
Habari Ndugu zangu wanajamii wenzangu Leo nmependa kuongelea moja ya biashara ndogo na zenye kuhitaji mtaji mdogo na faida kubwa sana. Biashara ya Sendo za Kimasai. 1. Mtaji Biashara hii...
5 Reactions
18 Replies
6K Views
Habari za majukumu wakuu! Nadhani humu kuna watu wanaojihusisha na hii biashara ya kununua korosho(Almaarufu "Kangomba") kule mikoa ya Lindi & Mtwara. Naomba kwa wale wazoefu basi watoe uzoefu...
4 Reactions
55 Replies
13K Views
Anayefahamu bei ya dagaa mafuta Mwanza. Msaada hapo
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wapambanaji wa hapo Kariakoo, naomba mtuambie business gani atleast ni rahisi kwa mtu mgeni anaweza akajitosa hapo, na kaanza biashara hata kwa mtaji mdogo. Maana population ya hapo Kariakoo...
2 Reactions
21 Replies
9K Views
Najua wengi wana akaunti katika mitandao ya kijamii; sasa ni wakati wa kutumia hiyo mitandao kuingiza pesa. Anza hivi:- No. 1 Tengeneza 'database' ya mambo yote yanayohusu ujenzi Ingia...
17 Reactions
43 Replies
5K Views
Naomba kufahamu bei za kreti za bia tofauti tofauti kutoka kwa wauzaji wa jumla. Nitashukuru.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu habari. Nimehangaika sana kupata platform ninunue hisa za Lucid Motors,kila App nayopata hawasapoti Tanzania.Sasa nitumie njia gani?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wandugu, Kama unakijua Kinyarwanda au unamjua mtu anayekijua Kinyarwanda kuna kazi ya transcription (kuandika kile unachokisikia). Ni kazi ambayo itadumu kwa muda wa miezi 3. Malipo ni...
3 Reactions
6 Replies
964 Views
Mu-hali gani wakuu??? Maisha magumu sana, kila kukicha mambo yanazidi kuwa magumu, nilifanikiwa kuanzisha ki'biashara flani (maji na juice kwa jumla) hapo Dar ila mimi nilikua mkoani naongeza...
1 Reactions
15 Replies
18K Views
Mazao jamii ya maharage ni maharage, kunde, choroko, mbaazi, njugumawe nk. Kutokana na idadi ya wasio kula nyama duniani kuongezeka soko la mazao haya limeongezeka sana. Mazao haya hutumiwa na...
12 Reactions
60 Replies
13K Views
We are looking for an investor who is willing to invest $50,000 and above. We are currently expanding our Company ( Shamwaa Africa) And we would like you to join this low risky Air Cargo business...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Bila shaka mu wazima na shughuli za maendeleo wana jamvi. Ni takribani miaka mitatu sasa tangu nimekabidhiwa nyumba ya urithi, nyumba iliyokuwa chini ya uangalizi wa walezi wangu kwa muda mrefu...
0 Reactions
4 Replies
590 Views
Hii nchi inafursa gani ambazo mtanzania anaweza kuchangamkia?
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Salamu wana jf. Kwanza kabisa nipende tu kuanza Uzi wangu kwa kumshukuru mungu na wema na fadhiri zake. Anazotupa pumzi na uhai wake. Pili niende moja kwa moja kwenye mada. Mimi nipo mkoa wa...
2 Reactions
15 Replies
5K Views
Habari za Asubuhi; Wote tumezoea kusikia habari matajiri wa dunia na kiwango chao cha utajiri.Kuna ambao huwa tunafikiri hawa matajiri wana vyumba vimejaa minoti,wanamiliki hekari na hekari za...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwakuwa serikali haiwezi kuwa na maeneo kwa machinga woote nchini hivyo Maeneo wanayopewa wamachinga ni kwaajili ya wafanyabiashara wadogo wasiokuwa na mitaji mikubwa ya kufanya biashara kubwa...
3 Reactions
4 Replies
826 Views
Wanajamii poleni na majukumu, nipo hapa Dar es Salaam hila natokea Mkoani Kagera ambako kuna wakulima wa Vanilla wengi mno na zao hilo limekosa soko. Wanakijiji wenzangu wamenituma niwatafutie...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Habari waungwana ningependa kujua ni wapi chimbo la vyombo vya mtumba vya majumbani kama sahani,vikombe ,jars za kuwekea maua,flampen na vyombo vingine kwa dar es salaam
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana JF? Nina mtaji wa Tsh. million 7 naweza kupata msaada wa kitaaramu wa biashara? Nimeona niulize pia kwa ushauri wenu kwa ambao mpo humu, naweza kuanzisha biashara gani pale Katoro...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom