Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Habari, madini tajwa hapo juu yanahitajika Sokoni Dar es salaam... kwa wingi... tuma picha ya mzigo ulonao, sema na offer yako... tuma picha kwa Whatsapp 0714417641... Asante.
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Huyu JATU anajiita JATU PLC, Public Limited Company maana yake yuko kajiorodhesha kwenye soko la hisa la Dar es salaam. Sina hakika kama yuko kwenye soko la hisa ila ninacho jua ni aina ya upigaji...
0 Reactions
24 Replies
7K Views
Habari za jioni Wana JF ,Mimi ni kijana mjasiriamali ,nina jishughulisha na biashara ya kutengeneza na kuuza Milk products kama Yogurt na Cultured milk(mtindi) ila changamoto ninayopata ni baadhi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tuanze na mtaji mdogo tu, labda una shilingi laki 5 na hujui ufanyie shughuli gani; fanya yafuatayo:- Nenda sokoni, na utafute wamama watu wazima watano wenye vibanda; ambao ni wapambanaji...
6 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari na karibu katika fikra za kujilisha ufahamu na kuelimika... Nakuletea andiko story for change Ndimi mwandishi wako Jeef George andaa mawazo ,uelewa na maswali yenye kufumbua mboni za watu...
0 Reactions
1 Replies
823 Views
Habari wana chamvi, nimesoma uzi kuhusu mada tajwa hapo juu nami nataka kushirikishana uzoefu wangu kuhusu huyo 'mwekezaji". Huyo bwana anaitwa Tariq, mwaka juzi 2018 nilisoma bandiko lake fb...
65 Reactions
366 Replies
61K Views
Leo nime ona niwape mchongo Vijana wengi wa kitanzania ambao Mnataka kufanya biashara ambavyo Vitawapa mafanikio Nendeni nyarugusu kwenye kambi ya Wakimbizi Kuna pesa nyingi saana kule...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Rejea kichwa apo juu,tusaidiane wadau
0 Reactions
1 Replies
587 Views
Habari karibu katika andiko hili la story for change,Lenye kuhamasisha jamii kuelimisha na kubadili mitazamo hasi kuwa chanya yenye kuleta msukumo wa jamii iliyolala katika wimbi la umasikini na...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Kichwa cha habari kinajieleza, kwa wakazi wa maeneo tajwa hapo juu natarajia kufungua library ya kuuza na kukodisha CD. Sasa naombeni ABC zote za maeneo niliyotaja hapo juu, sehemu kwenye mzunguko...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania Bwana Macrice Daniel Mbodo amekutana na kufanya mazungumzo ya kibishara na Maafisa Biashara wa kampuni ya MultiChoice Tanzania maarufu kama DStv...
1 Reactions
0 Replies
746 Views
Hello wanajamii, Ninataka nizifanyie kitu hizi 25million (after taxes, rents and fees) pale mjini Dodoma. So nilipata options tatu ambazo kwa kupitia uchambuzi na miongozo yenu inaweza kunisaidia...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Waja JF wasalaam Natambua changamoto za biashara, hiz sio kwamba nilizipitia bado naendelea kuzipitia Hivyo nilikuwa naomba kwa yeyote ambaye angalau anauwezo ktk hii biashara tushirikiane...
0 Reactions
2 Replies
607 Views
Hello! Heshima kwenu. Kwa wajuvi katika sector ya usafilishaji wa anga(airline). Naomba muongozo wa taratibu za kuwa travel agency wa kampuni za ndege. Kama uko na A.B.C juuu ya hiri swala...
1 Reactions
0 Replies
857 Views
Habari zenu wakuu, Naomba msada kwa anayejua Charges za Simbanking kutoka Account ya CRDB kuhamisha kwenye account ya NMB kwa kiasi cha kama 2m mbili makato ni kiasi gani? Si mnajua kwasasa kila...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna biashara za misimu, na katika hizi biashara kuna biashara niliyoshuhudia kwa macho yangu iliyotajirisha mno vijana, biashara hii ilikuwa ni ku burn cd miaka ya 2000 hadi 2006 Mimi...
6 Reactions
5 Replies
2K Views
Habar zenu wana JF. Naomba kujua kampuni zinazosafirisha vifurushi kwenda Kenya, Rwanda & Uganda. Mimi nafanya biashara online, napata wateja wengi kutoka nchi tajwa hapo juu ila changamoto ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello marafiki, Naelewa wanaJF ni wajuzi wa mambo. Na kupitia uzi huu wengi watafaidika. Ningependa tufuhamu jinsi ya kupata Uwakala wa vinywaji vya Azam: Vigezo unavyotakiwa kukidhi. Mtaji...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wakuu habari za jioni? Natamani Sana kuanzisha biashara ya Grocery ambapo nitakuwa nauza vinywaji mbalimbali kama vile bia, soda, maji, wine, konyagi, K-vant, valeur, n.k. lakini pembeni niwe...
1 Reactions
20 Replies
9K Views
Back
Top Bottom