Kwa utafiti wangu usio rasmi naona upatikanaji wa cement twiga no 42 bado ni changamoto kubwq na inasababisha bei ya cement kupanda. Mfano katika huu utafiti Bei ni 16000 ambayo ni juu sana. Au ni...
Habari za leo wakuu wa idara.
Wakubwa kwa wadogo nahitaji kufungua kampuni ya usafi, kwa uchache sijapata mwanga vizuri kuhusu biashara ya namna hii.
Je ninahitaji vibali kufanya kazi hii? Mtaji...
Hi Wakuu!
Nimepata one of the business partner ambaye yupo Canada ameniomba nimsaidie kutafuta utaratibu unaohitajika kufuata katika uagizaji wa Vifaa tiba Toka Bangladesh.
Mtaji siyo tatizo...
Ukichunguza kidogo utagundua kua biashara nyingi zinazofanikiwa ni za watu wakawaida kabisa ambao hata mambo ya biznes plan, demand and suply hawajui
Ukitoa yale makabila ambayo asili zao ni...
Ni bara pekee tu ambalo ni Afrika, kama kichwa cha habari hapo juu.
• Kwa nini huwa vina kwama au kufa mfano mmiliki akifa tu ndo kila kitu kimekufa mifano hipo mingi.
• Kwa nini biashara za...
Katika Kuunga mkono Kauli ya Raisi Wetu Mpendwa, Watanzania TukazeKamba Tuanzishe Viwanda vyetu.
Kwa Juhudi ndogo niliyofanya nimeona kuwa kumbe TANZANIA YA VIWANDA INAWEZEKANA.
Habari wapendwa naomba mnisaidie kama kuna mtu alishawahi kuagiza bidhaa yoyote kwa kutumia App ya Alibaba msaada pls uaminifu wake ukoje na kama mzigo unafika kwa wakati anisaidie kujua
Kuna jirani hapa nilishangaa sana alipomuachisha chuo kijana wake akiwa mwaka wa pili, Huyu kijana alikuwa anasomea degree ya procurement, mzee wake akamwachisha kinguvu.
Nikaja kujua kwamba mzee...
Habari zenu wana jukwaa, kama kichwa kinavyo jieleza hapo juu naomba kufahamu abc za namna ya kuanzisha hii huduma hapa mjini.
Kwa anayefahamu gharama za ujumla na vibali husika.
Shukran.
Habari wakuu, naomba kufahamu aina ya mashine inayoweza kuprint passports size tuu,
Iwe ni portable inayotumia umeme kidogo na nzuri kwa anayefungua stationary au anayetembea na kupiga passports...
Habari wakuu.
Kuna mafunuo niliyapa na tayari nimeanza mchakato wa kukiandika kitabu. Natamani mwisho wa robo hii ya kwanza ya 2021 kitoke. Kinahusu umuhimu wa punctuality katika maisha.
Sina...
Nimebahatika kusoma ripoti ya mabenki ya CRDB na NMB kuwa mwaka huu wamepata faida ya zaidi ya 200bn/- kila mmoja.
Itakuwa ni vema sana kama sehemu ya faida hiyo ielekezwe kwenye gawio la wana...
Kama kuna makosa huwa yanafanyika ni ya kuto andaa wasimamizi wa Biashara pindi Mungu kaita.
Succession planning kwetu ni msamiati mgumu sana, ni wachache wanao weza kuandaa.
Wahindi na Waarabu...
Habari wana JF
Hivi umewahi kujiuliza swali kwamba kwa nini WAHINDI/WAARABU wanapoanzisha biashara zao hapa nchini zinafanikiwa zaidi yetu sisi watanzania na wakati nchi ni yetu na fursa ni zetu pia?
For keen observers, the Indian community is fast rising to be a business behemoth in Kenya and East Africa take out Indian families from any major town and the economy of that particular region...
Kwa mfano wahindi wanaunda baadhi ya bidhaa za umeme wanasema kwa ajili ya Afrika tu...kama unavyoona hapo pichani....ina maana kuna kipi cha tofauti?
Nani anaejua sababu wadau...nimekuwa...
Habari zenu naomba kujua nchi tatu bora ambazo unawezo kupata vitu kwa bei rahisi vitu kama nguo miwani kofia accesorise na biatu kwa bei ya jumla (za kwenda kusafiri )
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.