Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wiki iliyopita Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ikishirikiana na Chuo Kikuu cha Oxford imetangaza mradi mkubwa wa afya nchini Tanzania. Mradi huo utakaogharimu shilingi za Kitanzania bilioni 13.5...
0 Reactions
0 Replies
948 Views
1. Hisa ni nini? Wengi miongoni mwetu wamekuwa wakitaka kujua HISA ni nini, shauku hii imenifanya nidodose kidogo juu ya hisa kwa faida ya wengi. Kwa tafsiri lahisi HISA NI UMILIKI. Mtu akisema...
12 Reactions
27 Replies
20K Views
Naanza kwa kuwasalimu ndugu zangu wa JF, Moja kwa moja niende kwenye mada, mimi ni kijana umri wa miaka 21, nilimalza A-LEVEL mwaka jana na nikachaguliwa kujiunga chuo. Ingawaje nilikidhi vigezo...
6 Reactions
118 Replies
22K Views
Wadau katika kuhangaika kwangu nilinunua mashine ya maximalipo lakini ilikuwa ni kipindi ambacho kumbe kampuni inalekea ukingoni. Naomba kuuliza,ni kipi ninachoweza kufanya na mashine hii?Naweza...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
njna shiling 500000 hapa je naeza kufanya biashara gani niko morogoro
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Salaam! Naomba kujulishwa aina ya vibali au leseni nitakavyohitajika kuwa navyo nikiwa nataka kuanzisha duka la kuuza mbolea hasa NPK, DAP na Urea. Pia, nitauza na mbegu za mazao mbalimbali...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Hi wanakodi, zile nguzo Za umeme zinapatikana wapi au wapi zinauzwa, tafadhali naomba taarifa zaidi Asantenii Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habarini wote, Kama kawaida leo nimefikiria nimekuja na swali jipya. Mimi nipo Dodoma chuoni nasoma but nahitaji kuendesha shughuli zangu za kipato na pia mimi ni artist hasa katka suala la...
1 Reactions
27 Replies
5K Views
Habari wana JF, Natumai wengine mshalala usiku huu, ila kuna jambo mkiamka nitaomba tulijadili sababu ni miezi kama sita sasa "Mamsap" wangu alikuwa anataka feedback ya biashara ya kusafirisha...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Wazima ndugu zangu?nataka nianze biashara ya viatu vya mtumba ila classic Sitaki nianze na vingi nooh nataka nianze na pcs 3000 kwanza Location nitatafuta eneo lenye hekaheka na shughuli...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau, seller wa Aliexpress anahitaji kunirefund pesa sasa ameniuliza anitumie kwa njia gani? Naombeni kwa anayejua anitajie njia rahisi ya kupokea pesa kutokea China. Maana ameniuliza kama nina...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Natumai Mu Wazima! Nina shamba langu Hekari 5 lipo Tanga! Nafikiria kulipiga bei, then pesa nitakayopata niongezee niingie kwenye biashara ya madini huku Arusha. Market Value ya hiyo Hekari 5...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Kwa mwenye uelewa wa biashara ambazo zinafanya vizuri maeneo ya shule ya msingi naomba anifahamishe ni aina gani au bidhaa gani nzuri asante
1 Reactions
11 Replies
10K Views
Wakuu, Naomba kujua, nifanyeje ili nipate friji za makampuni ya vinywaji kama Coca-Cola au Pepsi ? Msaada wenu utanisaidia sana Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Je unafahamu kwamba Watanzania wanaagiza Magari kupitia mitandao?Je unafahamu kwamba pia wapo watanzania ambao wanauza magari yao ambayo ni used in Tanzania?Je unafahamu kwamba hii ni fursa kwako...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Nahitaji kujiajiri niwe dalali wa nyumba,mashamba viwanja,magari n.k Sasa nilikuwa nahitaji ushauri na uzoefu ambao mnafahamu changamoto na jinsi ya kufanikisha ila nataka kufanya mkoani Sent...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Nchi ya Namibia imekuwa Nchi ya kwanza kutoka Africa kwa kuweza kusafirisha nyama kwenda USA . Shehena ya kwanza ya nyama tani 25000 inaondoka mwezi huu. Tanzania tunaweza kufanya biashara ya...
7 Reactions
62 Replies
7K Views
Teknolojia ya dijitali imebadili nchi nyingi barani Afrika. Programu mpya za simu zimesaidia biashara za kila namna kuibuka na kukua. Mabadiliko haya yamekuwa na tija kubwa kwenye sekta ya ajira...
0 Reactions
0 Replies
943 Views
Watanzania wengi wanataka kuuza vitu masoko na maduka ya mitandaoni kama Amazon, Ebay n.k Yericko Nyerere, huwa unalipwaje ukiuza kitabu chako cha ujasusi wa kiuchumi kwenye duka la Mtandaoni la...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…