Wadau,
Tafadhali naomba munipe uelewa wa taasisi ya FINTEGRI ikiwemo namna ifanyavyo kazi na hatimaye mhusika kufaidika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mabadiliko ya kidijitali yamekuwa moja ya chachu kubwa ya kusukuma mbele gurudumu la maendeleo nchini.
Juma lililopita, Umoja wa Forodha Ulimwenguni (WCO) uliweka bayana kwamba Tanzania inaweza...
Habarini za asubuhi wanajamvi.....
Si kawaida Voda kutokuwalipa mawakala wao wanaotoa huduma kwa wateja wao mpaka sasa muda huu napoandika Uzi huu,
Huwa ukiamka asubuhi siku ya tarehe 1 unakuta...
Binafsi nimeona bidhaa zinazotoka china zimepanda bei, wauzaji wakisingizia, au labda ni kweli kwamba viwanda vimefungwa, hivyo wanauza stock wakiwa hawajui mwisho wa tatizo , kuna watu...
Habari wakuu
kwa wenye uelewa wa hizi biashara kati ya hizi biashara tatu ni ipi inaweza kuwa na return/mauzo yenye uhakika usimamizi ukiwa mzuri , je kati ya hizo inawezekana kuchanganya ipi na...
TANZANIA imetajwa kuwa miongoni mwa nchi tatu zilizopo Kusini mwa Jangwa la Sahara, ambazo hazipo katika hatari kubwa ya kudodora kiuchumi kutokana na kuwa na kiwango cha chini cha madeni. Hali...
Wakuu nina Kibiashara changu hapo mjini dar kinachonipatia ridhiki, lakini kwa mda mrefu nimekuwa nikitafiti sehemu za kupata eneo kubwa la kuweza kufanya shughuli zangu kiupana zaidi na hapa Dar...
February 18, 2020
Serengeti, Tanzania
Mr Adam Kighoma Malima the Governor of Mara region in Tanzania decide to go to the Savannah plains of Serengeti National park and tell the world right in...
Wanajukwaa habari za mchana.
Napenda kujua ukiwa umeagiza Gari nje ni gharama gani nyingine unatakiwa kulipia pale bandarini baada ya Gari kufika bandarini na kulipa gharama za TRA.
Nilikuwa...
Habari wana jf, Mimi nina skills za ku repair simu na computer na 80 vifaa vya ufundi ninavyo ila shida ni capital ya kupanga fremu .
Kama unaweza kuwa interested nifate PM tuzungumze.
Location...
Ni kweli ndivyo ilivyo kadri ya maono yangu ya ndotoni usiku wa kuamkia leo.
Ninasema haya moyo wangu ukivuja machozi mazito ya huzuni kwani miaka kumi ijayo Tanzania hii itakuwa makapi na nchi...
Vyombo vingi vya Afrika mwaka 2015 viliripoti mgogoro wa kibiashara nchini Rwanda, na pengine vyombo vya Tanzania havikuipa uzito habari hiyo kutokana na mazingira na wakati, ikizingatiwa mwaka na...
Juzi nilikuwa mtandaoni, nikastumble upon uzi unaolinganisha Alibaba na Amazon. Nikaona jinsi ambavyo wanaendana bega kwa bega kwa vitu vingi tu.
Tukizingatia pia kuwa watanzania wengi wanaelekea...
NATAFUTA MFADHILI AU MUWEZESHAJI, MTU BINAFSI AU TAASISI
Habari zenu wakubwa kwa wadogo.
Naitwa Omar. Mimi ni mjasiriamali mdogo najishughulisha na perfume napatikana Mwanza. Malengo yangu ni...
Mdau amani kwako.
Nimepita sehemu mbalimbali nchini na kujifunza vitu kadhaa vyenye hasara na faida ikiwepo.
Kila mkoa kuna aina ya maisha wanayoishi na huwezi kuyabeba and kuyapeleka mkoa...
Huu mzigo niliagiza mnamo tarehe 15 December 2019, na movement zote zilienda vizuri isipokuwa hapo ilipoishia
"-Despatched to OverSeas Postal Admin (From SG/SIN to TZ/DAR)
2019-12-27 13:14:02...
Ukiacha Airtel money transfer ambayo kwa zaidi ya siku tatu inasumbua, njia ipi ni nzuri zaidi kutuma pesa toka Malawi kuja Tanzania?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ugonjwa utaleta athari mbaya sana za kibiashara hususan sisi tunaonunua mtandaoni.
Mambo yamekwisha anza kuharibika huko Aliexpress na Alibaba.
Hapo sijazungumzia mnaoagiza mizigo na kwenda...