Habarini,
Kama kichwa kisemavyo wasomi mtaani wanalalama kuhusu ajira na ukigusia swala la kujiajiri sababu inakuwa mtaji na ni kweli ukienda kwenye financial institutions nyingi ili upate mkopo...
Kuna website nimeiona inatangaza kujifunza ujasiamali online imenisaidia sana hata sikujua ningestafu vipi but sijui wenzangu mnaionaje?
website yenyewe nadhani itakuwa msaad sana kwa serikali ya...
Uzi huu ni maalum kwa kuwajulisha Watanzania fursa zilizopo mikoa mbalimbali, hoteli na nyumba za wageni, biashara mbalimbali na vivutio mbalimbali vya utalii.
ARUSHA
Huu ni mkoa uliopo Kaskazini...
Habari wakuu nime register online kadiri maelekezo ila hakuna responce. Nawashauri wasogeze mbele tarehe wajipange upya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Moja ya vitu vinavyo hitaji umakin wa kiwango cha juu kabisa ni location.
Na hii ndo sehemu watu wengi huwa hawaizingatii kabisa, Location ina mchango mkubwa mno kwenye kuimarisha biashara ya...
Husika na kichwa hapo juu,
Mimi ni mwanafunzi wa udaktari mwaka wa pili naingia sasa mwaka wa kwanza wote napokea boom lakini sijaona cha maana chochote nilichofanyia na hiyo pesa sina msichana...
Katika siku za hivi karibuni huduma ya kutuma fedha, kupokea na kulipa kupitia simu za mkononi imekuwa jambo kubwa nchini na kwa kiasi kikubwa kichocheo cha maendeleo yetu. Tafiti nyingi...
Heshima kwenu wadau,
Kibiashara kuna njia nyingi za kupata mtaji wa biashara hasa kwa zile zinazoanza ingawa nyingi kati ya hizo ni NGUMU sana, hivyo kupelekea watu wengi kuwa na mawazo mazuri ya...
Nina mpango wa kufuga sato ziwani Victoria kwa mfumo wa cages. Lakini zaid natamani wateja wangu hasa Dodoma na Dar wamle huyo sato kwa kumnunua akiwa hai. Maadam anavuliwa akiwa hai.
Naomba...
Habari za wakti huu,
Mimi ni mwanaume 30+ Nahitaji kujiingiza katika fani ya Utafiti (Bado sijachagua eneo la uzamifu) Ingawa napendelea zaidi kuwa mtafiti katika eneo la Sayansi ya Jamii ambalo...
Wakuu habari za weekend!
Ngoja niende moja kwa moja kwenye point.
Kama kuna mtu alishawahi kufanya biashara nje ya tanzania hasa congo, zambia au nchi yoyote iliyopo kusini mwa afrika, naomba...
Mnamo Desemba 14, 2019 Watanzania walipokea ndege ya nane iliyonunuliwa na serikali ya Dkt John Magufuli katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wake uliotukuka.
Ununuzi wa ndege hizo ni...
Habari ndugu zangu kwa pilikalilika za kutwa nzima ,nimevutiwa na ujasiliamali hivyo nikaona bora niingie katika suala la ujasiliamali.
Ndugu zangu naomba msaada kwa mtu yeyote anayefahamu...
Habari Wakuu,
Binafsi kwenye swala la kubadilisha fedha za kigeni lilikua lina nichanganyaga kujua Zile Rates zina ku-affect vp. Sell rate inatumika muda gani na Buy Rate inatumika muda gani. Ila...
Wakuu inshort namshukuru Muumba japokuwa mwaka 2019 umeniishia nikiwa vizuri kiuchumi na vibaya kiafya.
Malengo yangu ya savings bado sijafunga hesabu mpaka tarehe 28 ya mwezi huu wa kwanza...
Benki ya Dunia imesema ukuaji wa uchumi wa dunia kwa mwaka huu unakadiriwa kufikia asilimia 2.5, ikilinganishwa na asilimia 2.4 ya mwaka jana, licha ya kuendelea kuwepo kwa hatari ya kushuka...