Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Hili swali nimekuwa najiuliza kuhusu hii biashara ya online market Tanzania baada kupatana kuingia kwenye hii biashara kuna vijana wengi nao wakaingia huku wengi zaidi kuishindwa hii biashara...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Naomba kujua mfumo wa Islamic Banking unapataje faida kama wao hawatozi riba? Kama hawana riba wanalipaje wafanyakazi na kukodi majengo? Nakopa million 100 narudisha milioni 100 hapa mtaji unakua...
3 Reactions
45 Replies
6K Views
Wakuu hebu nipeni ushauri wa biashara nimepata hizo pesa hapo juu millioni 80 lakini kila nikichekecha biashara ya kufanya ilipe nakua sioni sasa nimeiona niweke hapa ili nipate mawazo nijue pa...
5 Reactions
135 Replies
22K Views
Wakuu nipende kuwasalimia kwanza, As-salamu alaykum. Bwana Yesu asifiwe. Kama kichwa kinavyosema hapo juu, mimi ni mtu ninayefuatilia kwa kiasi mambo ya mitandao lakini kufuatilia hakumanishi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nifanyeje nipate mtaji? Nina wazo zuri lakini sina mtaji? Haya ni maswali ambayo nimekuwa nikiulizwa sana na wasomaji wa Fahamuhili.com, pamoja na watu wengi ninaokutana nao kwenye maisha ya kila...
4 Reactions
5 Replies
3K Views
**Internet Security** When you collect personal information, including addresses and credit card numbers, you have the responsibility to protect that data. Hackers who target your website could...
1 Reactions
0 Replies
449 Views
Wadau ipi inalipa kati ya kununua shambani then ukoboleshe na kuupeleka dukani au kununua tu mashineni moja kwa moja nakuenda kuuza dukani. Ipi iko sawa zaidi? Na je, mgawanyo wafaida ukoje kwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
*Na Emmanuel J. Shilatu* Tangu Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli iingie madarakani imekazania kununua ndege kwa ajili ya...
7 Reactions
36 Replies
4K Views
Wakuu wasalaam.. Leo nimefanya manunuzi ya machine kwa Alibaba platform Nimemlipa supplier kwa mfumo wa Alibaba trade insurance Trade insurance fee ni 2.95% Nimefanya oder ya 2800usd...
5 Reactions
34 Replies
8K Views
Eneo langu kina SQM 1200 yaani 40M kwa 30M. Kuna mtu yeyote amwshawahi kufanya calculation ya kujua cost ratio ya Seng'enge na Tofali?
1 Reactions
32 Replies
31K Views
Wapendwa,nataka kufanya biashara ya diapers mkoan mwenye experience ya hii biashara anisaidie sehemu ya kuchukua mzogo ,faida inakaaje ect.
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari zenu wana JF Nadhani technology inakuwa kwa kasi sana sana kiasi kwamba unatakiwa uwe active sana kuendananyo. Baadhi yetu ni wagumu sana kuelewa hili na tunajificha kwenye mwamvuli wa neno...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Za muda huu wakuu, Kama kichwa kinavojieleza nahitaji kuwasiliana na Kikuu Tanzania kwani Juzi niliamua kununua bidhaa kikuu na nikaamua kulipia kwa M-Pesa Online na hela ikakatwa kama kawaida...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari zenu ndugu, Ningependa kujuzwa kuhusu Online Bussiness App ambayo inatoa vitu vya uhakika kama ulichokutana nacho online. Mfano kama mtu ashawahi pata bidhaa kutoka KIKUU, vipi kuhusu...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Mimi ni mfanyabiashara wa nguo za ndani (chupi). Nimejaribu kufanya ads Facebook na Instagram wamegoma ku-approve kisa policy zao haziruhusu hata picha ya chupi duh.. Sasa nimeshindwa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Naomba mwenye kujua TRA wanakubali mmiliki mwenye TIN moja akaitumia kwenye Biashara zaidi ya moja? je utaratibu wa malipo ya KODI utakuaje. Naomba kuwasilisha
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Katika harakati zakatafuta maisha, nimepata idea ya kulima bustani/kilimo cha umwagiliaji kwa kutumia maji ya ziwa Victoria, ambayo nikiproove kwamba ipo katika uhalisia, naweza kuanza kuitekeleza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimepita mitaani na masokoni nimegundua watu wengi wanabidhaa nzuri lakini hawajui kuziwekea manjonjo na katika vifungashio vya kijanja tamanishi kwa wateja. Nimejipanga kuanza kununua bidhaa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu napenda wenye kuijua hii biashara ya branding na marketing agency/promotions. Tupeane ujuzi maana ni biashara ninayotaka kuifanya maana makampuni mengi yana outsource marketing/ promotion...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
naomba kama kuna mwenye kampuni ya repair and maintenance of office equipments au cleaning services, nahitaji aniongoze kwenye mambo kadhaa kadhaa
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…