Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kama wewe mwana jamii ni mjanja basi nitakusifu sana ila sidhani kama huwa kuna mjanja hapa kwetu tanzania jibu maswali yote haya kujua kama wewe ni mjanja. 1. Je umewahi kuuziwa bidhaa ngapi...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Poleni na majukumu wana JF wenzangu, Nina kijana mchapakazi na ninayemfahamu vizuri na kumuheshimu, Nina wazo la kufungua kijiwe cha chipsi niweke kila kitu cha kisasa kama vile jiko la umeme na...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Habarini katika kufatilia mambo ya ununuzi wa mazao kama ufuta na korosho huwa kunakua na taratibu za tofauti kidogo hasa kuhusu minada ambayo huwa inatangazwa tarehe na wanunuzi hujitokeza...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Karikoo kume kuwa na kero kubwa sn kwa wakazi wanaishi karikoo gharama zimekua ni kubwa kuliko kipato kinacho patikana leo ntazungumzia suala la paking ukimiliki gari mjini huwezi kukaa nayo kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mwenye uwezo wa kunitafutia karanga za Zambia napatikana dar .nimezikuta sehemu Ni tamu Sana karanga za asili nadhani wenzetu wa Zambia wametunza ardhi yao.nazipataje?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wanted as business partner 4 years experience must Credit Analyst Partner We are seeking a skilled, experienced credit analyst to join our growing organization. In this position, you will...
0 Reactions
1 Replies
638 Views
asalam alekum watanzania wenzangu, mimi ningepanda kujua kiwango kinachotozwa na TRA kama kodi pale unapoagia bidhaa kutoka nje ya Tanzania, kwa muda mrefu nilikuwa nataka kufanya biashara ya...
0 Reactions
10 Replies
9K Views
Heshima kwenu Mabibi na Mabwana. Mimi nilishakaa pale boda ya Tanzania na Zambia kwa miezi kadhaa kwa ajili ya shughuli za ujasiriamali, na katika kuwa kwangu pale kuna mtu nilikutana nae na...
0 Reactions
121 Replies
33K Views
Dola mia tatu? Whats up? Yani unalipa dola 300 ili ujifunze kucheza kamari? Si bora tu uwe mganga wa kienyeji maana mtaji wa uganga ni usinga na kaniki. Kama ni Majini tayari unayo ndo hayo...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
WAKATI serikali ikisema inatenga Sh bilioni 500 ii kuendelea kuboresha utendaji wa Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL), kampuni hiyo kwa sasa inamiliki soko la usa ri wa anga la ndani kwa asilimia...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
IDD mubarack to you all, km nlivoeleza naomba msaada mwenye kufahamu bei za incubator anijulishe nina mpango wa kutotolesha mayai, pia naomba msaada kwa mwenye uzoefu na biashara hizi, mi Nina...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu wajuvi na wajuzi. Samahani, naomba kujua ni kwa namna gani kodi ya mzigo bandarini inapatikana. Mfano, ni bidhaa kumi ambazo kila moja nimenunua China kwa dola 40, na nataka...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za muda huu. Maana jamii. Kama tangazo linavyosema nina machine ya kutengeneza bisi (porpcorn machine) naiuza bei laki 3 Machine inatumia umeme ipo Lushoto bado ipo vizuri. Nimeona niiuze...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Naamini mzunguko mbaya wa fedha kwa wananchi walio wengi nchini ni moja ya sababu kubwa ya wengi kufunga biashara na wengine kukata tamaa na biashara zao. Kama mzunguko wa fedha ungekuwa mzuri...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu humu ndani, nahitaji kufanya manunuzi online ila sanduku la posta ndo tatizo, nimejaribu kufuatilia nyuzi kazaa zinazohusiana na manunuzi online, nikaona kuna uwezekano wa kuagiza bila...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mwanaume Mateso mwezi wa 8 huu sijaitia machoni ATM card yangu ipo kwa mkopeshaji nilikopa laki mbili kwa riba ya elfu sitini sijafanikiwa kulipa deni nalipa riba ya elfu sitini kila mwezi. Huku...
4 Reactions
8 Replies
955 Views
Amini usiamini habari ndiyo hiyo tajwa hapo juu. Biashara nyingi zina changamoto kubwa sana kutokana na mfumuko wa bei pamoja na kushuka kwa kiwango cha manunuzi "Purchasing Power katika jamii"...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Husika na kichwa hapo juu Habari wakuu, kuna jambo linanitatiza sana kuhusu huu mtandao maana kuna simu nilikuwa nataka niliingia ebay kule nilipata japo bei ilichangamka sema wengi hawatumi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wana jf,mim ni mfanyabiashara mdogo,sasa hivi karibuni kuna ndg yangu kanipa deal ya kuuza matunda nje ya nchi hasa Dubai,naomba kwa wanaofahamu wanipe muongozo wa biashara hii na jinsi...
0 Reactions
23 Replies
13K Views
Nimelipa 1500 Nimekula Ugali Dagaa wa mwanza Samaki Kibua Mlenda Bamia Maharage Matembere Kila kimoja kinajitegemea havijachanganywa.
15 Reactions
165 Replies
18K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…