Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Ndugu wanajamii naomba mwenye kufahamu taasisi ya fedha, bank au mtu binafsi inayokopesha taasisi ndogo za Microcredit kwa ajili ya kukuza portfolio ya kampuni wakuu. Mtaji wangu ni mdogo tangu...
0 Reactions
1 Replies
956 Views
Nimemaliza chuo 2017 nimezunguka kutafuta kazi bila mafanikio. Sasa nataka nianze biashara ya nafaka kama mahindi,maharagwe ya njano, soya mchele, na viungo vya chai na chakula. Cjui nianzie wapi...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Habari za hapa wakuu Kama mnavyojua mifuko ya plastic(nylon) zote zimepigwa marufuku miezi michache baadae zitaacha kutumika,hilo haliondoi sababu kwamba lazima watu madukan wapimiwe...
9 Reactions
105 Replies
19K Views
Wale wenye mini bekary utaratibu upoje wa kupata vifungashio.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani hivi hizi biashara zinafanyika vipi? Inakuwaje mtu nanunua soda ya fanta lakini iko ndani ya chupa ya mirinda? Huu ni uzembe wa hali ya juu! Nani mwenye kosa hapa? Hivi naweza kuwachukulia...
0 Reactions
29 Replies
12K Views
Mimi ni mteja wa Benki tajwa kwa takribani miaka minne. Nimestuka kwa miezi 3 iliyopita mmefunga matawi kadhaa jijini. Tuwaeleweje? Mbona mnaleta taharuki? Tutoe senti zetu humo? Niliwekeza...
6 Reactions
16 Replies
4K Views
Haya madini gani kwa mnao jua madini.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimeombwa ushauri hapa benki gani nzuri Kati ya hizo hapo juu au Kama Kuna nyinginezo kwenye: Yenye kuoperate dollar account Huduma bora Na za kisasa. Matawi Mengi yaliyotapakaa nje Na ndani ya...
2 Reactions
14 Replies
4K Views
Kutokana na Serikali kupiga marufuku Mifuko ya Plastiki kumekuwa na Uhitaji Mkubwa wa Mifuko Mbadala hasa kwa upande wa Mifuko ya Nguo ( nonwoven bags) Kwa anayehitaji mifuko hiyo aweke order...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Ndugu msaada wenu tafadhari natamani sana kununua ubuyu kwa babu issa zanzibar lakini mawasiliano nao nilipoteza baada ya kukabwa na kuibiwa simu,mwenye kuwafahamu watoto wa babu iisa au...
2 Reactions
7 Replies
6K Views
Kama umetumia visa card yako kufanya malipo ya bidhaa kwenye maduka siku za karibuni basi utaona risit unayopata ina nembo ya Equity Bank (9 out of 10 shops). Katika kudadisi nika find out our...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Shalom wana JF Nimefanikiwa kukamata trekta ya Kilimo. Natafuta chuo cha udereva wa opereta wa trekta ya kilimo. Kuna dogo yuko Dar nataka nimkabidhi trekta, lakini kwanza nataka apate mafunzo ya...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari wana JamiiForums, naomba mnijuze kwa anayejua mradi wa daladala Dar unavyoendeshwa kwa maswali yafuatayo Gharama ya ununuzi wa daladala Malipo kwa dereva na kondakta Malipo kwa mmiliki wa...
2 Reactions
32 Replies
14K Views
ONYO: siko hapa kugombanisha, kufarakanisha Hawa Jamaa "Dar Forex Academy" walikuwa wanatoza Kilo 5, (500,000/=) kwa kichwa kimoja, yaani zile "buku buku ziwe mia tano"! Nakumbuka kabla ya ujio...
3 Reactions
199 Replies
17K Views
Asikudanganye mtu mabinti ni wasumbufu sana kulipa madeni na ukianza kuleta mapenzi unaweza usipate vyote.
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna Model mbalimbali za biashara hasa ukija kwenye Sales. Kwenye Salesa kuna Sales za kila siku na kuna za kila wiki an mwezi au miezi 6 au Mwaka. MFANO Wale wanao uza Magari hawana Daily sales...
11 Reactions
17 Replies
2K Views
THAMANI ya mauzo ya Tanzania katika Soko la Jumuiya ya Afrika Mashariki imeendelea kuongezeka mwaka hadi mwaka. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana jamvi, Mimi nahitaji msaada wa mawazo kutoka kwenu juu ya biashara ya viatu vya kimasai au culture. Mtaji wangu ni laki 5 ujuzi wa kutengeneza viatu vya kimasai ninao pamoja na...
0 Reactions
15 Replies
13K Views
Ndo kama hivyo...wazo kama nzuri mimi nitaweka huyo pesa...tutashirikiana kuifanya wote,..wewe utakula 35% mimi 65%. Sent using Jamii Forums mobile app
3 Reactions
85 Replies
13K Views
Back
Top Bottom