Ndugu wanajamii naomba mwenye kufahamu taasisi ya fedha, bank au mtu binafsi inayokopesha taasisi ndogo za Microcredit kwa ajili ya kukuza portfolio ya kampuni wakuu. Mtaji wangu ni mdogo tangu...
Nimemaliza chuo 2017 nimezunguka kutafuta kazi bila mafanikio.
Sasa nataka nianze biashara ya nafaka kama mahindi,maharagwe ya njano, soya mchele, na viungo vya chai na chakula. Cjui nianzie wapi...
Habari za hapa wakuu
Kama mnavyojua mifuko ya plastic(nylon) zote zimepigwa marufuku miezi michache baadae zitaacha kutumika,hilo haliondoi sababu kwamba lazima watu madukan wapimiwe...
Jamani hivi hizi biashara zinafanyika vipi? Inakuwaje mtu nanunua soda ya fanta lakini iko ndani ya chupa ya mirinda? Huu ni uzembe wa hali ya juu!
Nani mwenye kosa hapa? Hivi naweza kuwachukulia...
Mimi ni mteja wa Benki tajwa kwa takribani miaka minne.
Nimestuka kwa miezi 3 iliyopita mmefunga matawi kadhaa jijini.
Tuwaeleweje? Mbona mnaleta taharuki? Tutoe senti zetu humo?
Niliwekeza...
Nimeombwa ushauri hapa benki gani nzuri Kati ya hizo hapo juu au Kama Kuna nyinginezo kwenye:
Yenye kuoperate dollar account
Huduma bora Na za kisasa.
Matawi Mengi yaliyotapakaa nje Na ndani ya...
Kutokana na Serikali kupiga marufuku Mifuko ya Plastiki kumekuwa na Uhitaji Mkubwa wa Mifuko Mbadala hasa kwa upande wa Mifuko ya Nguo ( nonwoven bags)
Kwa anayehitaji mifuko hiyo aweke order...
Ndugu msaada wenu tafadhari natamani sana kununua ubuyu kwa babu issa zanzibar lakini mawasiliano nao nilipoteza baada ya kukabwa na kuibiwa simu,mwenye kuwafahamu watoto wa babu iisa au...
Kama umetumia visa card yako kufanya malipo ya bidhaa kwenye maduka siku za karibuni basi utaona risit unayopata ina nembo ya Equity Bank (9 out of 10 shops).
Katika kudadisi nika find out our...
Shalom wana JF
Nimefanikiwa kukamata trekta ya Kilimo. Natafuta chuo cha udereva wa opereta wa trekta ya kilimo. Kuna dogo yuko Dar nataka nimkabidhi trekta, lakini kwanza nataka apate mafunzo ya...
Habari wana JamiiForums, naomba mnijuze kwa anayejua mradi wa daladala Dar unavyoendeshwa kwa maswali yafuatayo
Gharama ya ununuzi wa daladala
Malipo kwa dereva na kondakta
Malipo kwa mmiliki wa...
ONYO: siko hapa kugombanisha, kufarakanisha
Hawa Jamaa "Dar Forex Academy" walikuwa wanatoza Kilo 5, (500,000/=) kwa kichwa kimoja, yaani zile "buku buku ziwe mia tano"! Nakumbuka kabla ya ujio...
Kuna Model mbalimbali za biashara hasa ukija kwenye Sales.
Kwenye Salesa kuna Sales za kila siku na kuna za kila wiki an mwezi au miezi 6 au Mwaka.
MFANO
Wale wanao uza Magari hawana Daily sales...
THAMANI ya mauzo ya Tanzania katika Soko la Jumuiya ya Afrika Mashariki imeendelea kuongezeka mwaka hadi mwaka. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba...
Habari wana jamvi,
Mimi nahitaji msaada wa mawazo kutoka kwenu juu ya biashara ya viatu vya kimasai au culture.
Mtaji wangu ni laki 5 ujuzi wa kutengeneza viatu vya kimasai ninao pamoja na...
Ndo kama hivyo...wazo kama nzuri mimi nitaweka huyo pesa...tutashirikiana kuifanya wote,..wewe utakula 35% mimi 65%.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.