Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Nakaribia kumaliza chuo Nina mtaji wa laki 8 sijui nikaziweke wapi hizi pesa kibiashara! Lengo La kwanza ni kwenda kuuza bidhaa ndogondogo za urembo.. Option ya pili nikainunue salon ya kiume...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Wakuu! Kwa ambaye amewahi kutumia worldremit kupokea pesa kutoka nje, inachukua muda gani pesa kukufikia? Je njia hii ni salama?
1 Reactions
28 Replies
5K Views
Nimeanza kufanya uchunguzi wa kuwekeza kwenye Kilimo Tanzania kwa kusaidiana na wawekezaji wa US Kwenye Kilimo. US ina tengeneza 40% ya chakula chote duniani wakati wana 10% tu wa eneo. Tatizo...
0 Reactions
0 Replies
647 Views
Hakika tukuyu imebarikiwa ardhi hii ya kijani Unakutana na ndizi imenona hiyo, miwa mitamu hiyo daa,hivi watu wa huku hawataumwa figo aise mahindi matamu hayo siyo ya DSM yaliyovunda kule...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Setups za pairs tutatrade wiki ijayo
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Kupata wazo la biashara na kuanza kulifanyia kazi baadae liwe na mafanikio ni jambo ambalo linawatesa watu wengi sana Natoa offer kwa wale wote ambao wanakiasi cha pesa lakini bado jinsi ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavyouliza, waungwana nauliza je malipo ya korosho yamesitishwa kila nikichungulia account yangu bado hakuna kitu tatizo ni nini ? Kama ukaguzi ulishafanyika na stakabadhi ninazo je...
0 Reactions
0 Replies
515 Views
Naamin humu ndo kisima cha elim, taarifa na maarifa. Labda ndo maana Maxcens kapata tuzo. Juzi nimefanya malipo ya online, ali express kupitia m pesa mastercard. Pesa ilikatwa lakin sikupewa...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Source: https://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Serikali-yafikiria-kupunguza-bei-ya-umeme/1597296-5091618-ha996k/index.html
0 Reactions
0 Replies
827 Views
Source: https://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Biteko--Miradi-mikubwa-mitatu-ya-madini-inakuja/1597296-5092176-4u4vj0z/index.html
0 Reactions
0 Replies
499 Views
Nimeingia mjini mwezi wa 3 Sasa nimepata ripot Kuna jamaa mfanya biashara anakomba pesa za watu kwa njia ya giza.. Binafsi sijawahi shuhudia how this it oparate.. Mimi nimeokoka na mwamini Yesu...
2 Reactions
24 Replies
4K Views
Habari wadau, niende moja kwa moja kwenye mada kuna...kipindi tunataka kuanzisha kuhusu maswala ya ujasiriamali hususani kwa vijana ni lipi jina zuri litaloendana na maudhui ya kipindi. Naombeni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Alama hii ya "R" kwenye mduara imekuwa ipo kweye product yoyote utakayonunua . Je nini maana ya alama hii kutumika kila sehemu wanajamii?
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu zangu naomba msaada wa gharama za tofali za block endapo nitatengeneza mwenyewe na sio kununua. Juz nilienda kijijini kwetu ambako nataka nianzishe mradi wa kufuga nguluwe, hivyo nikaenda...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Watu wengi wakisikia neno bet, moja kwa moja wanahuisha na mpira wa miguu, ni kweli wapo sawa ila betting siyo kwenye mpira wa miguu tu hata kwenye michezo kama cricket, basketball, ngumi na...
18 Reactions
45 Replies
54K Views
Napenda kujua nitapta wapi soko la simblisi haijalishi soko la nje au ndani ninao wengi
1 Reactions
29 Replies
9K Views
Waheshimiwa na wakuu wangu humu wazima. Nimewahi kusikia kwamba biashara ya korosho Adis Ababa inalipa sana kwamba kuna soko huko. Je kuna mtu humu ana fununu au uelewa wa jambo hili aliweke...
0 Reactions
0 Replies
917 Views
Naomba kujua je sararu hii ina soko ama vip
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Rafiki yangu alinunua online raba za kukimbilia (Joging) kwa jumla ya $23.50 Zilipofika posta alidaiwa something like 55,000shs? Naomba kujua formula ya kukokotoa Gharama za parcel iliyotoka nje...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu! Natafta vifaa vya chips used Mbeya mjini Kama kuna yeyote anauza naomba tuwasiliane pm. Nahitaji eneo Mbeya mjini Kama kuna mtu anaeneo naomba tuwasiliane pia.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…