Kama unamiliki biashara hakikisha customer care never die.
Tuache tabia kwamba ukishapata Loyal customers basi unarelax kwamba watakuja tuu.
Always remember to add value
to your product and...
Hivi ni kwa nini wasomi wenye background ya sayansi na engineering ndio wanaofanikiwa sana kibiashara? Angalia mataifa ya magharibi lakini pia hata africa na tanzania specifically , wasomi wengi...
Ndege ya Shirika la Ndege la Air Tanzania (ATCL) Boeing 787-8 Dreamlinner inatarajia kuanza safari zake za nje ya nchi ifikapo Julai mwaka huu.
Hayo yamesemwa jijini Dar es salaam na Mkuu wa...
Wakuu habari
Hii kitu imenitokea juzi juzi nilikuwa na kimgahawa changu kidogo tu ila kilikuwa kinalisha watu wengi sana na ilhali mazingira hayakuwa rafiki kiafya na kifupi haikuwa sehemu yenye...
Mkuu wa wilaya ya Iringa mjini Richard Kasesela amesema ni kosa la Uhujumu Uchumi kwa mtu yeyote mwenye mtaji unaozidi shilingi milioni 4 kutumia Kitambulisho cha mjasiriamali.
Kasesela amesema...
Hongereni wana jamvi kwa kupata neema ya kuamka hii Leo.
Nimekua muuzaji wa Simu used kwa muda kidogo ambazo nlikua nanunua kwa watumiaji wa hapahapa nchini ila nikapata wazo la kupata Simu toka...
Habar za jion ndugu zangu nilikua na wazo la kuanzisha biashara ya kuleta na organise wageni kuja kutembea na kufanya utalii ndani ya nchi (tour company) nilikua naomba muongozo wa kutengeneza...
Husika na mada tajwa hapo juu, mwenye ufahamu juu ya biashara hii anijuzee, Ufafanuzi ktk
Mtaji..
Gharama za vibari..
Gharama ya mashine
Faida
Na process za kibenk kwa ujumla
Karibun..
Huyu tajiri niliwaambia anajua Sana ubunifu.amekuja na Azam ukwaju kaajiri watu wengi Safi sana anaangalia fursa anaifanya kwa Hali.ana bidhaa nyingi huwezi kumfananisha na matajiri wengine .Azam...
Habari zenu wana jukwaa pendwa
napenda kufahamu , mfano nataka ninunue simu online kupitia tovuti zetu pendwa
hasa JUMIA
kwa wale wazoefu ,mpaka mzigo ukufikie mnunuaji hulipia gharama zote...
Kadri biashara inavozidi kuwa ndivyo nawaza kuongeza bidhaa zaidi
Nahitaji kuongeza bidhaa kama mifagio ile ya plastc na taa hizi za betri
Just naomba kujua wapi nitaweza kupata mifagio na hzo...
Mimi ni kijana nimehitimu masomo yangu ya chuo kikuu mwaka jana (Bachelor of education with science) , Sasa nimeamua kujiajiri, Nimekuja na wazo la kuanzisha tuion center kwa hapa Arusha...
Ombwe la serikali kukataa kuichapisha ripoti ya IMF hivi karibuni sio jambo la kwanza kufanywa na serikali ya awamu ya tano.
Kabla ya IMF, mtakumbuka kwamba serikali ya awamu ya tano iliipa kazi...
Salaam..............
Leo naleta uzi huu kwenu wana JF nikiomba kujua vitu vichache na vingi sana toka kwenu, nafahamu kuwa swala la kujiajiri limekuwa swala mtambuka Sana miongoni mwetu vijana...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Mfano ni huyu bwana Jeff Bezos jamaa sahivi anamkimbiza Bill Gates kwenye list na matajiri.
Huyu jamaa mtandao wake unaingizaje hela?
Jack Ma wa AliBaba
Mark...
Kuna ambo moja ambalo nimeona watu wengi wanalifanya
Kuanzisha biashara kwa sababu wana mtaji.
Unakuta mtu anaazisha biashara ya mtaji wa milioni 100 kwa sababu ana milioni 200 na wakati...
Nipo mwanza najihusisha na ujasiriamali wa kutengeneza viatu vya kufunika na vya wazi, sasa biashara ni ngumu kutokana na mtaji mdogo ni mwaka sasa nimeanza(nina flem kabisa) lakin biashara haikui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.