1.Usisubiri ruksa wala kibali
Acha kuwa kama wanariadha au wacheza soka kusubiri kipenga(filimbi) ilie ndipo uanze kucheza mechi. Watu wengi linapokuja suala la kutimiza ndoto zao hawana tofauti...
Rafiki Asali ni wajasiliamali wenye elimu ya Ufugaji Nyuki na bidhaa zake. Kazi wanazo zifanya:
1) Tunauza mazao ya Nyuki kama asali na nta.
2) Tunatoa elimu ya ufugaji Nyuki na mazao ya kupanda...
Nauliza hivi,kwa nini watu wenye kipato cha mawazo/duni/masikini ndiyo wanaongoza kwa matumizi mabaya ya pesa?
Mfano mtu kakopa halafu anafanya sherehe za hapa na pale,vibesidei mara...
Iwapo chaza wangekuwa wanakuzwa na kuvunwa lulu kama ilivyo katika nchi nyingine ni wazi mapambo ya plastiki kutoka China yasingekuwa na nafasi na wananchi wangetengeneza ajira na mapato ya...
Nimekuwa nikijiuliza kama tshs 600 B zinaingia kwenye mzunguko kama mishahara ya watumishi wa serikali kila mwezi mbona hazionekani? jibu nimegundua inawezekana sehemu kubwa ya 600B inaenda...
Habari wakuu!
Hivi karibuni, nikiongelea miaka kadhaa nyuma, kuna hali mpya ambayo imetutembelea, hali ambayo inajaribu kuishi na sisi, ikitufunga akili, kutunyima furaha na kadri siku...
Habari za kazi wakuu. Kumekuwa na mtiririko mkubwa sana wa Watanzania kuelekea Msumbiji, wanasema oportunities ziko nyingi kule, binafsi nimevutiwa sana lakini sijapata kuzungumza na Watanzania...
Habar ndugu zangu naomba msaada wenu kwa anaye jua bank ipi inayo husika na PayPal nimejaribu crdb lakini sijafanikiwa naomba msaada wenu kwa anaye faham ili jambo
Wakuu habari.
Jana mchana vodacom walinitumia ujumbe huu
MUHIMU!! Ndg wakala, LITE TILL unayotumia itafungwa leo 1/4/2019 na hutaweza kuitumia tena, Ondoa salio lako na commission yako kuepuka...
Kama kichwa kinavyoeleza wanajamvi,
La zaidi namaanisha uchomeleaji vyuma kwa ajili ya Furniture na hata Mageti n.k
Naomba kusaidiwa nini na nini kinahitajika.
Karibu...
Wakuu,
Mkumbuke kuna mataifa mengine yanabandari kama msumbiji, Angola, Afrika Kusini.
Congo ni mteja wetu mkubwa na mteja ni mfalme lakini awamu hii hamko kibiashara na dalili zinajionesha wazi...
Air Tanzania kuanzisha rasmi safari zake mkoani Iringa mapema tarehe 29 April. Safari hizo zitakua ni mara tatu kwa wiki yaani kila jumatano, ijumaa na jumapili.
IRINGA KAMWENEEEE
Iko hivi:
Wazo la mradi / biashara likitolewa na mtu ambaye hana mtaji - pesa - (star-up capital) huonekana kama ni upuuzi. Sio kwamba huwa ni upuuzi bali upuuzi huwa ndani ya anayelipokea...