Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Je! Umeshawahi kujiuliza ni kiasi gani cha ghalama utazitumia kuanzisha na mapato yake kwa shamba la Miti ya Mipaina/Milingoti. Hapa nimejaribu kufanya tafiti ndogo kwa mkulima mdogo na kupata...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Awali ya yote nitafurahi kama mods watafungia uzi huu kwa sababu kwa namna moja au nyingine umebeba maudhui na utamaduni sio wa nchi hii. Watanzania utamaduni wetu ni kupongezana sio kukosoana...
2 Reactions
6 Replies
4K Views
Nimeona kiatu kizuri online,bei nimeridhia,wasiwasi wangu.ni juu ya kodi za hapa nyumbani,kiatu kinauzwa dollar 60.Wazoefu mnijuze tafadhali,kwa bei hiyo nawezakutozwa kodi zipi na kwa kiasi gani...
0 Reactions
0 Replies
611 Views
Pongezi kwako JPM na waliokupa taarifa na ushauri juu ya hatua za kuchukua. Sarafu yetu inapopoteza thamani ni mzigo kwetu sote. Mwanzoni mwa mwezi wa tatu hali ilikua mbaya sana na shilingi...
3 Reactions
29 Replies
3K Views
Habar ndugu zangu..poleni na pilika..Niko hapa na ishu ya vitunguu maji ivo basi Kama kuna mdau ambae anaeweza kua na mtandao mzur wa wanunuz wa vitunguu naomba tuwasiliane ikiwezekana tufanye...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe (MB) ameiagiza Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kujipanga kuhudumia shehena ya mzigo wa Malawi kutoka asilimia 20...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu nawasalimu. tafadhali mwenye kujua vyema juu ya bima- conprehensive na thirdparty anifafanulie. faida na hasara na maelezo mengine muhimu. na pia hatua zinafuatwa ili kukata bima hizi...
0 Reactions
10 Replies
8K Views
Wakuu kwema? Nianze kwa Ku declare interest ya kuwa mm ni mwalimu by professional,na nikiwa kama mwalimu na mwenyeji wa halmashauri mpya hii ya BUCHOSA yenye makao makuu yake katka mji wa...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Habari Wakuu, Poleni na majukumu yenu ya kila sku, Niende moja moja kwenye mada. Nahitaji mawazo ya kiwanda gani kidogo kwa Dar naweza anzisha kwa Mtaji wa 20M Natumai nitapata mawazo nkuntu...
1 Reactions
30 Replies
7K Views
Jinsi ya kupata token za kuwa wakala wa kusajili laini ya voda airtel holotel tigo
0 Reactions
12 Replies
17K Views
Naitaji kujua karanga za dodoma zipo katika hali gani juu ya soko lake na bei zake kwa kilo moja? Sent from my iPhone using JamiiForums
0 Reactions
8 Replies
9K Views
Habari za humu wadau. Naomba mawazo ya majina naweza kutumia katika bidhaa zangu na yakasound vizuri. Nataka kuweka kwenye label za Asali, Mafuta ya Kupaka na Sabuni - Herbal.. Naomba product...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
It has been a cry for many asking this company to lower a bit thier fares in order to make them affordable by many. When you meditate the reasons for such higher fares some of them are drinks and...
0 Reactions
3 Replies
976 Views
Kama kijana nimeamua kuja huku ,tupeane ujuzi na ushauri,kuna MTU yuko tayari kunipa mtaji wa biashara,kuanzia 1m kushuka chini,je ungekuwa ndo ww ungefanya bizness IPI yenye mzunguko mzuri wa...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Mmiliki wa makampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL) MOHAMMED DEWJI katika mtandao wake wa twitter amesema kuwa ameiagiza kampuni yake ya kurecycle chupa nyeusi za mo energy...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakuu nimevutika na hii biashara naomba kujua wapi naweza pata baibui safi nzuri kwa jumla bei rahisi ili niprlekr kwetu nikauze nipste chochote kitu mana maisha kushughulika.baibui za mtaani hizi...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Natumaini mko poa, Niingie kwenye mada me ni mwanafunzi wa elimu ya juu nipo hapa mjini niseme baada ya pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii nikakutana na tangazo la ujasiliamali motion in...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Katika pitapita zangu nilikutana na watu waliojiajiri katika biashara zao tukawa tunabadilishana mawazo,mmoja akasema 'usiku wa manane ndio muda mzuri kwa wafanyabiashara/wenye makampuni...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Nimepita sehemu nikakutana na takwimu zikionyesha Kenya ni nchi ya tatu kwa uzalishaji na Exportation ya zao la Chai Dunia only behind China and Sri Lanka at staggering 1.4 billion US$, nikajaribu...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom