Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Za mda huu wadau wa hapa. Leo nikiwa sehem na baadhi ya watu tunapiga story.mtu mmoja akasema ni kama amesikia tangazo kuwa machinga Mwanza mwisho ni mwezi wa sita maana serikali ina mpango wa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wanabodi wik iliyopita kuna jamaa yangu katika Biashara yake Toma January ana hasara ..mpaka mda huu amechanganyikiwa aende tra kwa makadkilio au afunge Biashara... Je kwa wataalam WA tax... Huyu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari ndugu na jamaa! Nimekuja na ka uzi kadogo haka nikihitaji mawazo yenu. Nipo sekta ya Afya kikazi,nalipwa vizuri pesa kila mwisho wa mwezi, tatizo baada ya siku mbili tatu sielewi pesa...
2 Reactions
53 Replies
5K Views
Umasikini sio kitu kizuri naimani hakuna anaependa kuwa masikini kila mja anapenda kuwa na maisha mazuri but usikubali kuwa masikini kifikra sababu kuwa hivo ni kujichelewesha katika kufikia...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Na Gaudence Msuya,kilimanjaro Mkuu wa wilaya ya Hai,mkoa wa kilimanjaro ndg LENGAI OLLE SABAYA, Amerudisha shamba kwa wananchi chini ya bodi ya LYAMUNGO AMCOS,Lilokuwa likimilikiwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Na Gaudence Msuya,kilimanjaro Mkuu wa wilaya ya Hai,mkoa wa kilimanjaro ndg LENGAI OLLE SABAYA, Amerudisha shamba kwa wananchi chini ya bodi ya LYAMUNGO AMCOS,Lilokuwa likimilikiwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hakika maisha ni vita. Maisha ni mapambano. Mimi pia nimekuwa nikijaribu huku na huku ili kuinua kipato cha familia. Kazi ya kwanza Baada ya kumaliza elimu yangu ya chuo kikuu, nilitafuta kazi...
10 Reactions
20 Replies
5K Views
Team, Naomba kufahamishwa ni taratibu zipi za kisheria kwa mujibu sheria za Tanzania zinatakiwa kupitiwa ili kuweza kuagiza (to import) vinywaji kutoka nje ya nchi? Natanguliza shukurani.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari yenu wana JF, Naomba msaada kwa anaeelewa taratibu za kuagiza vinywaji moto na baridi kutoka nje ya nchi. Gharama za ushuru mpakani zipoje kwa vinywaji? TFDA au TBS ni mamlaka ipi inaruhusu...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Namaana nataka kujua shilingi 10 ya china nishingapi ya tanzania? Sent from my iPhone using JamiiForums
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Ni madini gani, je yanapatikana Mkoa gani Tanzania,Thamani yake ipoje kwa wenye uzoefu, na soko lake lipo wapi Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
0 Replies
1K Views
64Door Tanzania is a subsidiary company of 64Door Factory Ltd based in Kenya. The 64Door Factory manufacturing facility located in Nairobi Kenya is truly state of -the- art door solutions service...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mkurugenzi wa TAHA dada Jaque, tumeona namna nchi za kiarabu zimefunga milango kwa nchi ya Qatar, na kipindi hiki cha mfungo ni vizuri mkaanza kunegotiate deals ili kujaza nafasi zilizoachwa wazi...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Vijana wengi sana siku hizi tunapenda sana kuwa na maisha mazuri ofcourse kila mwanadamu anapenda kuwa na maisha mazuri hata mimi but sio maisha mazuri tyu kwa kuwa na uhakika wa kupata mahitaji...
2 Reactions
6 Replies
4K Views
Samahani wandugu, ningependa kushauriwa biashara nzuri yenya faida nzuri kidogo hata kama sio kwa haraka maana tuna mipango ya muda mrefu kwa kikundi cha watu nane wenye mtaji wa mil 5. Najua...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari za leo wana Jamii Forums,poleni na kazi. Nina malengo ya kuanzisha mradi wa ufugaji wa kuku,na kutokana na kuwa na hitaji la mtaji wa kuanzisha mradi huu,nimeona vema niuze CD ya nyimbo za...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Hidi wana jamvi! Hapa mji kati (dar ) kula uhitaji wa paka weupe!! Asiye na doa hata kidogo (awe mweupe pe!) sasa kama unaye soko liko usikaliye frusaaa!!! Naomba kuwasilishaaa!!! Sent using...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
wadau napenda kuliona hili jukwaa la watu wanaopeana mbinu za kutatua matatizo na sio walalamishi, hivyo basi kama unawazo jipya la biashara liweke hapa au modify waliyoweka wengine. Naanza mimi...
3 Reactions
19 Replies
8K Views
The single most powerful asset we all have is our mind, if it is trained well, it can create enormous wealth... Ahsanteni sana Abdullah_Ally
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari za asubuhi wana jamii,nilikua naomba ushauri wa hizi card za visa na mastercard maana nimefungua ya visa lakini kwenye ku transfer ela inagoma kwa nini.? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom