Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Watu wengi wanapopanga kuanzisha biashara, huwa wamekuwa wakihangaika na kutafuta wazo lipi bora la biashara kwao kufanya. Wengi hutafuta fursa kubwa na za mbali na kusahau fursa za karibu ambazo...
13 Reactions
15 Replies
15K Views
Mi nadhani focus kubwa ingekua kwenye kuweka akiba kupitia precious metals hasa gold and silver kuliko hizo paper currency. Mana whether ni tzsh au currency nyingine yoyote paper currency Zina...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau mwezi wa saba mwaka huu nilikua katika harakati za kuanzisha biashara ya car wash. Kama kawaida yangu nikaanza kufanya research sehemu mbali mbali hasa humu JF na kwa watu mbali mbali ambao...
9 Reactions
30 Replies
9K Views
Habari wapendwa, Nilikuwa natembelea mtandao wa PAYPAL nikagundua kuwa watanzania wanaruhusiwa kutumia huduma ya Paypal ambayo imeonekana kuwa salama sana kwa kuepusha kutapeliwa LAKINI Ikitokea...
2 Reactions
20 Replies
5K Views
Greece is Current World Champion in Tax Increases | GreekReporter.com
0 Reactions
1 Replies
715 Views
Niko katika wakati mgumu sana baada ya kununua korosho tani kama 4.5 na kuona hakuna dalili yoyote ya kulipwa sasa wadau nimebakiza kiasi hicho hapo juu na usheee naomba kuelekezwa juu ya wap...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Katika pitapita zangu youtube nikakutana na video inayoonyesha jinsi wanavyotengeneza karatasi kutokana na nnya ya tembo. It is amazing aisee, paper from elephant poo..hii ndo recycling sasa:D
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari zenu! Niende kwenye mada nilikuwa natafuta mbia wa kuweza kuingia naye makubaliano na kuwekeza kwa pamoja kwenye kilimo hasa cha mboga mboga kwani ndicho chenye faida kwa sasa Tanzania...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau habari. Mimi leo nimenunua hisa 1000 kwenye kampuni sasa nilitaka kujua baada ya gawio la mwaka nitatakiwa kununua hisa zingine kama wanachama wapya au hizo hisa zangu 1000 zitaendelea...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello Tanzania na East Africa kwa ujumla. Kwa kipindi kirefu sasa kumekuwa na ongezeko la watu mashuhuri kutoka pande tofauti tofauti za dunia ambao kimsingi kupitia vyombo mbali mbali vya habari...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
je unajua hapa tanzania kuna blog zaidi ya 5000 na tovuti yaani websites nyingi ..Tanzania kwa sasa inakuwa kwa kasi kwenye masuala ya mtandao.kulingana na ukuaji wa uchumi,biashara na viwanda...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Nawezaje kukuza kipato changu nikiwa na capital ya 500,000
0 Reactions
0 Replies
752 Views
Binafsi sikua Niki ifahamu kikuu sasa majuzi kati nimeifahamu na bidhaa pia lakini pia bei zake nazo ni cheap mno. Sasa nimehitaji kununua bidhaa shida yangu ni kwamba sie wa mikoani kuna...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Vodacom Plc inafurahi kuwaletea KASI Intaneti, njia mpya ya kupata Intaneti isiyokata. Ukiwa na KASI Intaneti unaweza kuperuzi, kutuma barua pepe, kuangalia filamu mtandaoni (yaani kustream), na...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Helo JF members Greatings to you all, Kama title ilivyo hapo. Ebu Leo tufafanue kidogo na tulipe uzito hili neno linaloitwa 'UAMINIFU' whitemens called it Trust.... Tuongelee Uaminifu hasa pale...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa siku kadhaa nimekuwa nikisikia na kushuhudia katika mikoa baadhi ya mikoa juu ya muda utoaji wa TIN. Mwaka 2014 nilimsindikiza rafiki yangu mmoja kwenda kuchukua TIN kwa ajili ya biashara huko...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Hii n moja ya website inayotumika sana hapa Tz lakin ndio website yenye matapeli wengi kuliko website yyte ile kuwa makini na wezi hao wa mitandaoni kitu cha 1M watakuuzia hata 300k ilimradi tuh...
6 Reactions
61 Replies
8K Views
Kwanza kabisa natanguliza shukrani zangu za dhati kwa Muumba wa Mbingu na Ardhi, kwa kutuamsha salama siku nyingine tena, Jana nilimsikia Mkuu wa Nchi akisema kuwa wapo mawaziri na wafanya...
1 Reactions
1 Replies
861 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…