Maeneo mengi nasoma juu ya hali ngumu kwa wawekezaji, mara hali mbaya kiuchumi, usalama nk
Hebu naombeni tuweke vivid examples za makampuni/wawekezaji walioamua kuondoka TZ na ku relocate maeneo...
Ndugu zangu hili ni pigo kubwa sana kwa wafanya biashara na watu wanaofanya biashara kubwa za kuagiza mizigo nje ya nchi. Mwezi uliopita tu ilikua kwenye 2200
habari zene ndugu wanajamii
me ni mmoja wa watu ambao ninataka kuanza kufanya biashara ya bodaboda
nimepata dereva mzuri ambae ni mwanifu sana kuliko maelezo
nichoomba ni kuwa mfano mkataba wa...
Eneo gani zuri kwa biashara ya game kama vile playstation kwa Arusha? Napenda nije Arusha nichanganye mazingira mapya, sasa sijajua ni sehemu gani ambayo ni nzuri kwa game na makazi pia
Naomba ushauri wenu wa kinaga ubaga nataka kuanzisha biashara hii ....!
Je
Biashara hii inalipa ?
Zipi faida na hasara zake ?
Na nyongeza nyingine nyingi karibuni katika jukwaa tena
Nakaribisha
Wapendwa, habarini zakwenu? ninatoa utabiri wa equity bank kua bank itayokuja kuongoza kwa kutoa huduma bora tanzania, kua na mateja wengi tanzania, kwa ukuaji wa kasi, kwa ubunifu wa huduma...
Uongozi wa juu katika kampuni (executive leadership) ni dira katika kuhakikisha kampuni inafikia malengo yake (corporate objectives). Uono wa kimkakati (strategic vision) ni ufafanuzi juu ya wapi...
Habarini wadau. Nahitaji mkopo kukuzia biashara. Ninaishi kwangu, nina saluni ya kike yenye draya mbili mpya, kioo kikubwa cha saluni, na kabati kubwa LA kioo. Kwa aliye tayari kunikopesha kwa...
Kwanza ukikutana nae hivyo anavyojua kuilaumu serikali ya awamu ya tano, we acha tu!
Atalalamikia mauzo hakuna, atalakamika wateja wamepungua, atalalamikia kodi, atalalamika miundombinu yaani...
Wasalaam!
Kwa yeyote mwenye ufahamu kuhusu usalama wa idea ya kibiashara ambayo sijaisajil rasmi kua property yangu kwenye mamlaka husika, naomba anisaidie kunihakikishie usalama in percentage...
Kuna mdau mmoja kanidokeza na kulalamikia maisha ya mtwara kuwa yapo juu hasa upande wa vyakula tofauti na sehemu yoyote tz.
Wenyeji haya ni ya kweli, kwa jicho la ujasiriamali nahisi kuna fursa.
Habari za jioni wapendwa,
Mimi niko Shinyanga nataka kuanza kuuza madaftari, kalamu na ream papers kwa jumla nataka kuagiza mzigo moja kwa moja toka viwandani lakini sijui hivi viwanda vipo wapi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.