Wakuu, habari za muda huu...
Naomba kuelekezwa sehemu yeyote Dar es Salaam ninayoweza kupata mafunzo ya kutengeneza sandals za kimasai. Ikiwa maeneo ya Kimara na Mbezi ya kimara nitafurahi zaidi
Tafadhali rejea hapo juu nataka kukopa kama milioni 10 nimalizie NYUMBA niliyoianza kuijenga mwaka Jana Kwa mkopo mwingine kwa sasa nikipata hiyo m10 nitamaliza bati NA MADIRISHA
Salaam wana jukwaa
Naomba mnijuze/kushauri je kwa utawala huu wa Magufuli ni biashara gani ukiifanya inaweza kukulipa hata kama sio kwa faida kubwa lakini mzunguko wa bidhaa unakua nzuri
Hasa...
My take:
Hapa porojo ya ccm haitoweza, despite Dar es Saalam's passing of law that criminalises questioning of statistics where the government truth is considered absolute; a seriously matoke...
Kaimu Mkurugenzi wa Ulaya na Marekani kutoka Wizara ya Mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Ndugu Jestas Nyamanga amesema Mwekezaji kutoka Ubelgiji atafungua Kiwanda cha cha kubangua...
Members naomba kujua au kutathimini mwenendo wa bei ya hisa hizo za CRDB kwa angalau miezi 6 ijayo ili tuweze kufanya maamuzi sahihi mapema
tafadhali...
Aiseeeeee yani kila sehemu nowadays wanunuzi wanatongozwa kwa maneno matamu ili waandikiwe risiti ya bei tofauti na waliyonunulia inakera sana serikali yangu elekezeni nguvu kubwa kariakoo.
Mara...
Ninajiandaa kufanya mradi wa kuku wa kienyeji/chotara kibiashara.... Nipo moshi..... Nataman kujua juu ya masoko na usafirishaji, kwa mwenye zoefu/kujua naomba masaada....... Plz..
Pia Naomba...
Cashew prices have jumped after John Magufuli, Tanzania’s president, ordered the army to buy the country’s entire 2018 cashew nut harvest.
The African nation is the seventh-largest producer of...
Wapendwa wana jf kwanza nawasalimu,na baada ya salamu kunakitu sijakielewa kabisa,kuhusu mwendelezo wa hizi biashara,hapa Tabora naona milango mingi ya biashara imefungwa,meza za sokoni nyingi...
Wakulima mjini Tunduru wakiri kipokea fedha zao kwenye akaunti zao baada ya kuuza korosho kwa jeshi.
Kiasi cha zaidi ya sh. milioni 500 zimeshapokelewa na wakulima bila usumbufu wowote.
Aidha...
BIASHARA YA MAJI NI DILI
Siku chache zilizopita niweza kufanya mahojiano mafupi na bwana Athuman (si jina halisi) muuza maji kutoka mji mdogo wa madini Makongolosi Katika wilaya ya Chunya.
Na...
DC Hai awashughulikia waliotafuna Sh126 milioni za Saccos
Kwa ufupi
Mkuu wa Wilaya ya Hai amewataka watendani waliohusika na upotevu wa fedha hizo
kuzirejesha kwa wananchama haraka iwezekanavyo...
Nimekuwa mteja wa kubadili pesa mara kwa mara hasa wakati nataka kwenda nje kikazi au hata kutembele jamaa na marafiki.
Awali sikuwa najua kwamba hizi Bureau de Change ni mahsusi kwa ajili ya...
Habari wakuu!
Sikuku inaendaje?
Jamani nilikuwa naomba msada namna ya kuomba TIN number kutoka TRA kwa njia ya mtandaoni, yani online registration for TIN ,
Nasema hivi kwa sababu kuna baadhi ya...
Wadau!
Nimemsikia mkuru flani wa TCRA anasema kila fundi simu, Redio na Tv kuwa na leseni ya TCRA. Pia akaongeza kuwa na wauzaji waote wa vifaa hivi wawe na leseni hiyo (means ya biashara na ya...
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Bw. Japhet Justine amesema kuwa TADB ina mtaji wa kutosha kwa sasa kwa ajili ya kuwahudumia wakulima.
Bw. Justine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.