Watanzania zaidi ya 1,400 wanatarajia kupata ajira za moja kwa moja kutokana na kampuni saba za Uturuki kuwekeza nchini.
Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki...
Najua kunamfanya biashara mpya ambaye ndiye anayenunua korosho kwasasa!
Hofu yangu ni kama kweli mfanya biashara huyo anajiamini na biashara yake!
1. kama biashara anayoifanya anategemea kupata...
FBME, one of Tanzania's largest commercial banks, has been cut off from accessing the US financial system on suspicions that the bank has facilitated money laundering, terrorist financing, and...
Habari Mimi ni C.E.O wa website ya daudlibrary Leo nawapa Ofa wafanya biashara wote watangaze biashara zao kwenye website yangu kwa punguzo la bei kutokea elf 20,000 mpaka elf 5,000
Fikia hadhira...
Habarini wadau.
Kuna kitu huwa kinanitokea kila ninapokwenda soko la Karume Dar Es salaam.
Nimekuwa nikienda kununua nguo, viatu na mabegi kwa muda mrefu tu.... kero inakuja pale unapokuwa...
Wanajamvi
Naomba mawazo yenu. Nataka weka tangazo la biashara yangu Zambia. Je ni gazeti gani zuri kuweka tangazo langu?. Target client ni watu wa pato la kati(middle class).
Nawasillisha
NAIROBI (Reuters) - Tanzania’s plan to buy the country’s entire 2018 cashew nut crop could lead to a global shortage, with processors in Vietnam and India likely to be hit first, traders said...
Mimi ni mwanafunzi wa chuo cha kodi IFM, Naomba kufahamishwa tu ni jinsi gani mitandao au internet kiujumla inaweza kunisaidia kutengeneza pesa na sio kuwa vyanzo vyangu vya udaku?. Natumia...
Wanajamvi habari zenu.
Naamini mko vyema na mnaendelea kupambana.
Kuna hii ishu huwa naifikiria sana. Mtaani kuna vijana huwa wanapita na spika wakitangaza kununua pesa mbovu na dola na pesa...
Wana JF nisaidien kupata jibu la swala hili mfano, wewe unaishi kwenye nyumba ya kupanga, mambo yamegoma ukalimbikiza deni la kodi ya miezi 3 sawa na Tsh 300,000/= .
Mwenye nyumba akakupa siku...
Habari wana JF,ningependa ku share ideas na watu wenye uzoefu na biashara, katika biashara kikubwa kinachoangaliwa ni faida , kwa watu wenye uzoefu na biashara mbali mbali nilikua naomba kuuliza...
Ninataka kujua wana wajumbe nchi kuchoma pesa ya nchi ingine kwa madai ya kulinda pesa ya nchi dhidi ya nchi ingine...wanauchumi na wataalami Wa mambo ya fedha na utawala hebu lidadavueni hili
Habari zenu wakuu,
Mimi ni kijana wa kiume nina umri wa miaka 28, nina elimu ya shahada ya kwanza katika sayansi ya chakula na teknolojia kutoka SUA. Ni hivi tokea nimalize masomo nimeangaika...
Niko na plan za kwenda kuinunua hii simu hivi karibuni, kwa wasifu nimeifuatilia inanifaa kwa matumizi yangu na ni latest kwa namna navyotaka! Nilikuwa nahitaji taarifa za bei halisi ya hii simu...
Ndugu zangu rejeeni mada tajwa hapo juu naomba kupata msaada kwa wale wataalamu wa mapambo ninataka kuanzisha biashara hiyo ningependa kupata muongozo wa jinsi ya upatikanaji wa vitambaa rangi...
Waafrika bado tupo nyuma kimaendeleo kwasababu hatuna foundation. Nani aliyesababisha? ukisoma history utajua tatizo tulikuwa watumwa wa wazungu. Wazungu hawakujenga shule nyingi wakati walipokuwa...
Wazo la kuwa na kampuni ya private pension, wanachama wanapata malipo yao mara baada ya kustaafu.
Kushawish waajiriwa na wafanyabiashara kujiunga. Hata wale wenye pension kwenye mifuko mengine...
Shirika la Etihad airways lilikuwa na safari za kuwaleta wageni Tanzania, je wamesitisha safari zake lini? Kwanini wamesitisha safari hizo?
Je, yapo mashirika yaliyositisha au kupunguza safari...
Umofia kwenu!!
Nataka nimuanzishie Uncle wangu biashara ya kuuza slippers, mzigo anachukua Karume na kuuza pale Makumbusho! Naombeni Mwenye uzoefu tafadhali atupatie changamoto zake.
Asanteni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.